#COVID19 Chanjo za Kupambana na Corona (COVID-19): Nini Maoni na Mtazamo wako?
Mkuu dhiki kuu itatokea kabla ya unyakuo, soma ufunuo sura ya 6 yote na sura ya 7. Ukisoma ufunuo 7:2-3 utaona malaika akiwazuia wale malaika waliopewa kuidhuru nchi na bahari wasiidhuru nchi, wala bahari, wala miti, hadi watakapokwisha kuwatia muhuri watumwa wa Mungu juu ya vipaji vya nyuso zao. Baada ya hilo zoezi la kutiwa muhuri ndipo unyakuo ulipofanyika ukisoma ufunuo 7:9, watu kutoka kila taifa, kabila, jamaa na lugha wamesimama mbele ya kile kiti cha enzi, na mbele za mwanakondoo, wamevikwa mavazi meupe, wana matawi ya mitende mikononi mwao.......
Sasa ukisoma ufunuo 6:9, katika kipindi cha dhiki kuu kabla ya unyakuo ulioelezwa kwenye ufunuo 7:9 kuna wale watakaouawa kwa ajili ya neno la Mungu, na kwa ajili ya ushuhuda waliokuwa nao. Kwa hiyo hii inadhihirisha kwamba kipindi cha dhiki kuu kitaanza kabla ya unyakuo......
Ubarikiwe na bwana, asante sana....
 
Natumia fursa hii kutoa ushauri wa kuikataa chanjo Kama vile upande wa waliopokea chanjo kushawishi watu kuchanjwa.

Kutokana na sababu kuu 3 zinazonizuia nisichanje Hata nishikiwe kisu. Sababu hizo ni kiimani, kiafya na usalama.

1. Kiimani
Siku za mwisho imetabiliwa kutokea kwa chapa ya mnyama ambayo italazimisha watu wote waipokee, imetabiriwa kuweka mazingira ya kumlazimisha mtu kuchanja ndio maana baada wataanza na nchi nyingine Kama Ufaransa wameanza kutoa sheria za kumbana mtu kwamba bila kupata chanjo huruhusiwi kununua chakula. Hayo yote soon utasikia na tz bila chanjo na kwenda airport mala no kwenda sokoni, benki n.k
Tukubar au tukatae siku za mwisho zimekaribia na mpango wa chanjo ni ishara moja wapo ya kutimiza unabii.

2. Tumeona nchi za wenzetu pamoja na chanjo still wanakufa, so nichanjwe for what?
Huu ni upumbavu.
Uliwahi sikia wapi viral diseases zina dawa au chanjo?

3. Usalama
Wengi timu shawishi ikiongozwa na rais wanasema mzungu hana lengo baya na afya zetu Kama angekua na lengo baya angekua ametuua mapema kutokana na bidhaa nyingi zinatoka kwao.

This is very stupidity na sijawahi kufikir watu wazima wangeweza kuwaza hayo including waziri Gwajima.

Ipo hivi, kwani hujawahi kusikia maziwa ya unga ya watoto yameingia nchini yenye madhara kwa watoto?

Ok, unafikir kwa nn sahizi asilimia 80 ya wanawake wanapata complications wakati wa kujifungua!? Mama yngu mzazi amenizaa mimi safe, mpaka mdogo wangu wa 4 kufik mtoto wa 5 operation imehusika.

Mzungu ametengeneza vitu vingi vyenye madhara ya wastan kwa sababu small group inatumia bidhaa flan na another hawaitumii lkn kwa issue ya covid vaccin kwa mpango wao inamtaka kila mtu, kila mtu, unaelewa maana yake nini?

Ole wenu serikali mkamchome mwanangu huko shule bila idhini yng mzazi, narudia tena ole wenu.

Big up past Magu, Gwajima askofu gombea urais 2025 hata chadema tu kama Mungu atakua hajalichukua bado kanisa lake watu watakuchagua huku mtaani wanakuombea heri, mkombozi wa Kweli uliyebakia.
 
Acha matusi dadangu....

Kama una stress za kuletewa nyumba ndogo, unachotakiwa kufanya ni kumshitaki mumeo kwa mshenga wake, na ukishindwa, fikisha malalamiko kwa wazazi, or else, keep doing what you love most 👇 👇 👇👇

Hii itakuwa comment yangu ya mwisho kukujibu dogo.

Maana najua ushapaniki kuona Bombadier inakuja kesho (urithi wa Magufuli huo!)

Soma komenti za watu walioko nje ya Tanzania kwenye hii video kama una akili japo kidogo ya kuelewa naamini wasiwasi wako kuhusu urithi wa Magufuli utakwisha. Ifungue kwenye Youtube ili usome comment, usiiplay hapa ndani ya JF.

Halafu nenda ukabishane na dunia sasa kuhusu legacy ya Magufuli.




Dogo Magufuli ameacha urithi wa kimataifa sio huo upumbavu wako wa kudhani eti ni CCM tu ndo amewaachia urithi.
 
IMG-20210729-WA0002.jpg
 
Watoto karibia wote hapa wanachanjo ya polio unafikiri Polio ni nini? Ni Virus mkuu .
Sijaandika hivi kutetea chanjo ya uviko-19 lahasha Bali kukuelewesha hiyo point ya pili ..
 
Anayelinganisha Chanjo ya covid-19 na mpinga Kristo ni mchanga sana KirohoHayajui maandiko na anasoma biblia kama noval na si kwa msaada wa "Roho Mtakatifu"

Atakuja kujua mwenye baadaye kidogo kwamba alijipotosha na kuposha watu.
Huko ufaransa kuanzia julai mwaka huu bila chanjo huruhusiwi kuuza wala kununua super markets, huruhusiwi kutumia public transport, nk! Inafanana kabisa na maelezo ya Biblia kuhusu mpinga Kristo!!
 
Daktari bingwa mwingine anayejua kazi yake huyu hapa, tuachane na madaktari wanaoongozwa na tumbo kama huyu wa kwetu!
 
Chanjo ya corona ya ukweli inawafanya hivi kama huyu mzanzibari anavyoshuhudia!! Kinyume cha hapo wajanja wanachanjana maji matupu wenyewe wanaitwa placebo halafu wewe ukiingia kichwa kichwa wanakuchanja ya corona yenyewe halafu sehemu uliyochanja inakuwa na sumaku!! Hekima ya Kikwete ni muhimu hapa; Akili ya kuambiwa changanya na ya kwako!!
 
Back
Top Bottom