Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SijuiHivi hii michuano ya uefa euro inayoendelea inafanyika wapi... Je huko hakuna Corona...??
Kupima buree kuchagua ni ihali yakoWatanzania bana jitokeze basi utengeneze chanjo yako wewe ili watu wa tumie kama cha jirani mtego
Michuano ya Euro inafanyika katika miji mbalimbali barani ulaya na kutokana na covid-19 huwezi kuingia uwanjani bila chanjo wala negative test. Vivyo hivyo kwa wachezaji na wahusika wengineHivi hii michuano ya uefa euro inayoendelea inafanyika wapi... Je huko hakuna Corona...??
Beberu hajawahi kuwa na urafiki na muafrika
Tajiri hajawahi kuwa na urafiki na masikini
Mwajiri hajawahi kuwa na urafiki na mwajiriwa
Serikali haijawahi kuwa na urafiki na wananchi
Hospitali tu ndio ina urafiki na wagonjwa.
Ikiwa watoto mpaka leo wanapigwa chanjo inayo tengenezwa na mabeberu na tupo wazima mpaka leo(au sijui zile chanjo zime mega nusu ya ubogo[emoji848][emoji23][emoji23])
Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Huu ujinga wenzetu washauona na sisi tunataka kuwafuataView attachment 1829373
Naamini na mimi binafsi na familia yangu HATUCHANJWINa wewe unaamini chapisho uchwara namna hii?
Naamini na mimi binafsi na familia yangu HATUCHANJWI
Yapo malalamiko kutoka nchi nyingi Kenya na UK waliwahi kulalamika kuwa chanjo zimeharibu mizunguko ya HEDHI na kupelekea UGUMBA case zipo nyingi ila wewe unajipofusha kwa kuangalia chapisho.Sawa, ila sio kwa sababu ya hicho kichapisho uchwara cha Uganda.