datz
JF-Expert Member
- Nov 17, 2015
- 858
- 972
nani aliyelambwa kwenu?Ngoja corona ikulambe akili zirudi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nani aliyelambwa kwenu?Ngoja corona ikulambe akili zirudi
Siyo blanketi la ujinga mkuu Ni blanketi magufuli linamtesaCorona ipo na wananchi tunatakiwa kuchukua tahadhari zote ndugu, nakushauri uvue hilo blanketi la ujinga ulilojifunika ili upate ufahamu japo kdg.
Unateseka bure na ulichokua unakiabudu. Kilichopo na cha kweli ni hiki magufuri hawezi kuja kwako.ila wewe unaweza kwenda kwake. Kama ukiamua unaweza kwenda hata leo Ni rahisi tu.Watanzania wakielimishwa wanaelewa na utaratibu huu utumike kwenye mambo mengi kwamba ukijikita kutoa elimu juu ya jambo fulani bila kutumia nguvu ni rahisi sana kueleweka na kujiweka mioyoni mwa unaowaelimisha...
Hawa watu waliharibia sana na Mwendazake na hii corona isipopenda madharau ngojea iwabishie hadoCorona ipo na wananchi tunatakiwa kuchukua tahadhari zote ndugu, nakushauri uvue hilo blanketi la ujinga ulilojifunika ili upate ufahamu japo kdg.
Mtoa mada kwanza elewa kuwa Magu hajafa tu bali kaoza tayari,acha kuabudu mifupa! Sio kwamba watz hawatishiki na corona,tatizo hawana uwezo wa kudhibiti na hawana awareness na elimu ya kutosha kuhusu ugonjwa you.Watanzania wakielimishwa wanaelewa na utaratibu huu utumike kwenye mambo mengi kwamba ukijikita kutoa elimu juu ya jambo fulani bila kutumia nguvu ni rahisi sana kueleweka na kujiweka mioyoni mwa unaowaelimisha...
Sie wa CHAMA CHA KAZI IENDELEE tunajipanga kutoa Tamko letuWatanzania wakielimishwa wanaelewa na utaratibu huu utumike kwenye mambo mengi kwamba ukijikita kutoa elimu juu ya jambo fulani bila kutumia nguvu ni rahisi sana kueleweka na kujiweka mioyoni mwa unaowaelimisha...
Ndiyo ukweli wenyewe. Ukweli ambayo hataki kuukubaliMtoa mada kwanza elewa kuwa Magu hajafa tu bali kaoza tayari,acha kuabudu mifupa! Sio kwamba watz hawatishiki na corona,tatizo hawana uwezo wa kudhibiti na hawana awareness na elimu ya kutosha kuhusu ugonjwa you.
[emoji13][emoji13][emoji13]Chadema hata wakiwa mshoga wote wakiongozwa na Lisu haina shida.
Dogo flan msanii wa Marekani! M Google kidogoNdo nani mkuu?
Chadema hata wakiwa mshoga wote wakiongozwa na Lisu haina shida.
SawaDogo flan msanii wa Marekani! M Google kidogo
Lakin serikali ya awamu ya 6 wanaopigia chapuo chanjo kwani wao ni chadema?Ndio maana chadema wanatazitaka sana chanjo, nimeanza kuelewa.
Sasa hivi utasiki Aunt Lissu, Aunt Lema, Aunt Msigwa, Aunt Heche , Aunt mdude, Aunt gaidi
Chadema tumewastukia