run CMD
JF-Expert Member
- May 31, 2015
- 3,185
- 3,909
lazima nikusaidie usieneze habari isiyojenga hasa ikiwa inahusu maamuzi binafsiHili ni jukwaa huru,kila mtu yuko huru kutoa maoni yake. Kwa mfano ww ungetulia bila kucomment ungepungukiaa nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
lazima nikusaidie usieneze habari isiyojenga hasa ikiwa inahusu maamuzi binafsiHili ni jukwaa huru,kila mtu yuko huru kutoa maoni yake. Kwa mfano ww ungetulia bila kucomment ungepungukiaa nini?
Miili yetu ina mapokezi tofauti ya chanjo na madawa mengine,ivo kutoa reaction tofauti.kuna watu miili yao haiendani na baadhi ya chemical,mfano mzuri alergy ya karanga au kuwa 'lactose intorelant' unaweza ukawa hata hujaskia lakini watu wana hali hizo ivo chaanjo nazo miili inaweza ikazikataa(hapa sina maana lactose intorelant na karanga alergy zinakufanya ugande damu ukipigwa chanjo ni mifano tu).Waziri wa afya aliliongelea hili vizuri tu,sema ndo watu wapo busy kutafuta video za 'new world order'.Ufafanuzi huu unatia moyo kidogo... Kwa hiyo mkuu baada ya kusimamishwa na kuendelea kuna jambo kililorekebishwa ama ni kamari tu,ukiganda damu bahati mbaya kwako?
Mambo haya hapa:Maoni ya wataalamu mambo ya chanjo wanasema "hakuna hitaji la kisayansi la kusema chanjo lazima ichukue miaka 5 au 10" .
1.Kulikuwa na uelewa wa hii virus tayari na walijuwa wanaelewa kwa asilimia kubwa
(Researchers were not starting from scratch when they learned about SARS-CoV-2, the virus that causes COVID-19.
SARS-CoV-2 is a member of the coronavirus family.) Corona viruses wapo wengi,ni pamoja wale walosababisha SARS(2002) na MERS(2012) ivo ma doctor walikuwa na data za kutosha,kwa ufupi watu wamekuwa wanawasoma corona viruses kwa miaka ZAIDI ya 50.
(Dr. Eric J. Yager, an associate professor of microbiology at Albany College of Pharmacy and Health Sciences in Albany, NY, told MNT that scientists have been studying coronaviruses for over 50 years. This meant scientists had existing data on the structure, genome, and life cycle of this type of virus)
2.WORLDWIDE COLLABORATION.
-Corona ni pandemic na iliumiza dunia nzima ivo mataifa mengi ambayo huwa kwa kawaida wanafichiana elimu zao ilibidi tu watoe data zao ili washirikiane kupata suluisho.ivo waliweka ubabe pembeni ili kunusurika.
3. FUNDING;Kawaida kunakuwaga na research nyingi zinaendelea ivo kupata pesa inakuwaga tabu na hili ni moja ya sababu research wakati mwengine kusimama au kushindikana, corona ilipokuja pesa zilitolewa kiraisi na kufanya zoezi liende kwa kasi.
4.MATATIZO YA ASTRAZENICA na j&j.
Hili watu wengi wameliongelea lakini naona bado wengi limewapita, zote zilisimamishwa kwa mda na zote baadae zikaruhusiwa na zote bado zinatumika.Matatizo ya kuganda damu ni 'very rare' kuliko faida zake.
Unabidi ikumbukwe wazungu wametengeneza chanjo kwa sababu walidhurika sana na wengi walikufa na uchumi kuporomoka,ivo kwao kupata chanjo ni good news ,hata kama wangekuwa wanakufa 10 kwenye watu elfu chanjo zingeendelea sababu its all about survival!
Corona ipo,inaua na haina dawa kama hutaki kuchanja ni haki yako ila tafuta njia mbadala ya kujikinga sababu corona haijaondoka tutakuwa nayo sana tu,na kuna uwezekano mkubwa kuja kwa vatiant nyingine ambayo inaweza kuwa deadly kuliko delta.
Sent from my SM-G960F using JamiiForums mobile app
Wewe ni Juha kabisa. Vipanga wa Muhimbili na wale wa Pharmacy wamesoma mpaka ulaya na Marekani. Huko kote wametuheshimisha kwa ufaulu wa hali ya juu sana.. Wengine wamebaki huko wanategemewa sana.. Kuna ambao wamesoma mpaka Havard na wako pale.. Halafu wewe failure wa Form 4 unakuja hapa kuongea pumba? Hivi unajua ili usome ufikie ubingwa unatakiwa uwe kipanga haswa? Kama kuna daktari kasoma Muhimbili halafu alifeli form 4 kama wewe mtaje.. Uachage ufalaWatu msiojatambua mmekazana wataalam wataalam.
Hivi unajua kama madaktari wote wa Tanzania ni wachuuzi wa madawa ya kigeni tu?
Ni brainwashed people ambao ukimwambia habari ya dawa from scratch haelewi kitu.
Ukitaka kujua kuwa wataalam hakuna ona ambavyo wanashindwa kujibu maswali kuhusu chanjo, na kuhusu kipimo cha korona. Wanatangaza korona kwa kipimo gani?
Kama hoja yako ni ya kuimba ngonjera za "Sikilizeni wataalam" tusipotezeane muda. Bora uwaite hao wataalam wako waje hapa kuongea.
Wewe ni Juha kabisa. Vipanga wa Muhimbili na wale wa Pharmacy wamesoma mpaka ulaya na Marekani. Huko kote wametuheshimisha kwa ufaulu wa hali ya juu sana.. Wengine wamebaki huko wanategemewa sana.. Kuna ambao wamesoma mpaka Havard na wako pale.. Halafu wewe failure wa Form 4 unakuja hapa kuongea pumba? Hivi unajua ili usome ufikie ubingwa unatakiwa uwe kipanga haswa? Kama kuna daktari kasoma Muhimbili halafu alifeli form 4 kama wewe mtaje.. Uachage ufala
Tatizo effects zake siyo lazima uzione leo! Inaweza ikawa baada ya miaka 10, 15 au kizazi kijacho, hasa kama effects hizo ni intentional.Tusubiri hao milioni waliochanjwa na watakaochanjwa wakifa tunakataa mazimaaaaa
Wanajua mapungufu yao, sasa wafanye nini zaidi ya kuimba chanjo ni bora?Bila ya kujali kuwa Rais Samia na kundi lake wamechomwa Janssen au hapana; haituondolei uhalali wa sisi kuhoji na kujadili kwa mapana bila ya kupotosha ufanisi na ubora wa Janssen Vaccine. Aidha, hii ni ukweli kwamba kati yetu sisi hakuna anaeweza thibitisha au kutothibitisha kuwa ni kweli Rais na kundi lake wamechomwa Janssen Vaccine au hapana .
Hili libaki kuwa lao na MUNGU wao.
Kama independent entity;
a. Tulitegemea kuona baada ya kuwasili kwa chanjo, Wizara ya Afya ifanye random trials kwa namna ambayo inafaa kabla ya kuwapa watanzania kutokana na record ya Janssen Vaccine. Hili halijafanyika, je wizara imeamua kutufanya sisi Lab testing rats [emoji232] ?
b. Kamati iliyoundwa juu ya UVIKO-19!ilikuwa ni theoretical based yaani ni ku google na google, na mapendekezo yake yalikuwa ni theoretical based dhidi ya existing research za wengine; kamati kama kamati Ilifanya testing gani katika kuishauri serikali juu ya chanjo za aina mbalimbali? kamati ilipendekeza chanjo ya aina gani? na kwa vigezo gani ambavyo ni experimental ?
c. Short na long term effects za Janssen zimebainishwa kwa mantikia gani? au ndiyo sisi tunatakiwa kuzitolea taarifa hizo long term na short term effects post vaccination?
d. Science kwa sasa ni weapon hatari sana, iweje sisi tunaendea haya mambo bila ya kuweka practical base? Integrity's na authenticity ya wizara ya afya ipo wapi? Dhamana dhidi ya watanzania ni kutusomea documents za wazungu au kututhibitishia by testing and trialing scientifically as independent entity?
La mwisho, lakini ambalo si la mwisho kabisa; nashauri kwamba kama Wizara ya Afya, inataka kufanikiwa katika hii vita, iwe PROACTIVE badala ya kuwa REACTIVE. Ni wakati wa kusikiliza zaidi kwasababu Wizara kama Wizara haijafanya experiment yoyote kwenye Janssen, kilichofanyika ni paper based na kupokea maagizo kutoka juu.
Hata hivyo, nashauri kwamba tusishawishi watu kutokwenda kuchanjwa; Wanasiasa na maigizo yao wasiwe ni sehemu ya kukukataza au kukushawishi kwenda au kutokwenda.
Maisha ni yako na MAAMUZI ya kwenda au kutokwenda yatoke kwako.
Tunazidi kutishana asee. Nenda kwa Dada Doro ukachukue milioni yako sasaWatu wanajifanya hawajasikia!! Ukichomwa chanjo og inakuwa hivi:
View attachment 1874215.
Ukitaka kumpinga mtaalam huyu na wewe anza kwa kutupa CV yako kwanza kama alivyoanza yeye kabla.Manabii wa chanjo nawaambia hatudanganyiki!! Hata huko Marekani zzidj ya asilimia 50 ya raia wa Marekani wamekataa kuchanjwa! Mpaka rais Biden ameamua kuwabembeleza kwa kuwaahidi hongo ya dola 100 kwa kila atakayekubali kuchanjwa!! Pamoja na kuahidiwa dola 100 kwa kuchanjwa bado Biden amegonga mwamba.
Kitendo cha kutoa hongo kwa raia wake ili kuwachanja ni USHAHIDI tosha kuwa hata duniani kote wanatumia HONGO kushawishi watu wachanjwe!! NI AIBU ILIYOJE?
Huwezi kushawishika kuchanjwa wakati wataalam waliobobea kama huyu wakimwaga nondo za uhakika za kuelimisha watu kuhusu uongo uliopo nyuma ya chanjo!
View attachment 1874742
Ikija Tanzania mchungaj Gwajima atageukwa..Nimemsikia Biden akiagiza majimbo yatoe 100$ kila atakaechanjwa
Saudia Arabia mkuu,,tumeshaambiwa mabaharia wote kama hutaki kuchanja,,ticket ya nyumbani tayari.[emoji1787]pole mkuu,hivi hiyo ni ya wap?
Mungu akubariki sana kwa ujumbe huu, kila anayemwamini Mungu asikilize na kuchukua hatua.
Mungu akubariki sana kwa ujumbe huu, kila anayemwamini Mungu asikilize na kuchukua hatua.