Uchaguzi 2020 'Charisma' ya Tundu Lissu itazidi kumpa shida sana Magufuli na CCM kwa ujumla

Walau wewe kidogo una akili.

Ila manyumbu wenzio hata akili ya kutambua kuwa Lissu hatoshinda, hawana.
Ni kweli hatoshinda ila sidhani kuwa itakuwa ni vyema kujikatia tamaa kwenda kupiga kura. Walidhani kuwa cdm itaugomea huo uchaguzi wajilambie bwerereree sana leo tunalia kidomo juu. Lissu ni mwiba wa mchongoma kwetu. Jitu lina roho ya paka hili
 
Charisma haikupeleki ikulu. Kuna kasiri ka muhimu sana kanakupeleka ikulu

Kipaji cha Mungu huwezi kukichukuwa ikulu unaweza kuiba kura. Miaka mitano ikiisha Lissu atabaki na kipaji chake na Magu anabaki na kuomba watu wakumbuke aliyofanya. Ukiuliza Mkapa kafanya nini kwa miaka 10 watu hata hawajui! Watanzania wanasahau baada ya mwaka tu
 
SEMA HATOTANGAZWA MSHINDI JAPO ATASHINDA
Endapo watu wakimkubali sana Lissu, hapo ndo itakuwa ugumu sana kwa tume kupindua meza maana machafuko lazima.

Enzi ya kikwete na mkapa ilikuwa rahisi kuiba kura maana at least kikwete na mkapa walikuwa ni viongozi pia wenye mvuto.

Sahiv ni tofauti sana kwa magufuli
 
Wewe shule lazima ulikuwa unakuwa wa mwisho, hakuna ubushi hapo!
Hivi katika maelezo ya hicho kinachoitwa charisma umeona Kuna swali linauliza mshindi ninani? Hivi ukiwa CCM kitugani kinavuruga akili?
Eti mimi nilikuwa nakuwa wa mwisho shuleni.

Sawa, sikatai.

Ila we unayeniambia mimi nilikuwa nakuwa wa mwisho shuleni, hata kuandika kwa usahihi tu kunakushinda!

Hujui wapi pa kutumia herufi kubwa. Maneno mawili unayaunganisha na kuwa neno moja, kinyume na ilivyo.

Hata kwenye msamiati na tahajia umekosea!

‘ubushi’ ndo nini?

Aliyekuwa anakuwa wa mwisho darasani anaukosoa uandishi wako 🤣🤣🤣.

Jiangalie.
 
Ni kweli hatoshinda ila sidhani kuwa itakuwa ni vyema kujikatia tamaa kwenda kupiga kura. Walidhani kuwa cdm itaugomea huo uchaguzi wajilambie bwerereree sana leo tunalia kidomo juu. Lissu ni mwiba wa mchongoma kwetu. Jitu lina roho ya paka hili
Umeongea vema sana,. Lissu anatufundisha pia kutokuwa wanyonge kwenye maisha.

Maisha ni kupambana, anything can happen, CCM wakiendelea kuamini eti lazima washinde, watakuja kujuta sana
 
Hata wewe maelezo yako yanakinzana
Kama ni dhana ya nan kiongozi kuzaliwa au kutengenezwa sijaona mahala popote palipo onyesha mvuto kama ni trait ya kiongozi bora bali kiongozi bora ndani yake kuna uwezo fulani wa kutenda na kufanya vitu vinavyo onekana kwa wale anao waongoza

Hivyo kwa wagombea wote wa kiti cha uraisi
2020 MAGUFULI ni kiongozi
Uongozi sio porojo,
Na pia kiongozi au uongozi hauna fomula moja bali kiongozi huitajika kutokana na nyakati na wakati tofauti tofauti ambapo unaweza kuta viongozi wanatofautiana kwa dhama zao

Hata mitume na manabii au wafalume hawakufanana kiutendaji bali tofauti zao zileendana na huitaji wa nyakati husika.
 
Hatutakubali watende huo uharamia wao,haturudi nyuma maana hili ni suala la kufa na kupona.Tunataka viongozi na siyo watawala.
 
baada ya uchaguzi natarajia kuona unaandika "tumeibiwa kura.."
kujiaminisha visivyo ukweli[emoji3]
 
tambalizeni at work....
 
tulisikia the same juu ya Lowassa...
leo sio rafiki yetu kabisa
Kwa sababu mifumo inayosimamia uchaguzi sio huru, wazi, iso-haki na haiaminiki.

Lissu ni mshindi mioyoni mwa watu wengi...hiyo pekee inatosha.
 
Tapeli Huyu wa MIGA Leo haongelei kabisa habari ya Madini wala kushitakiwa hauitaji mvuto sisi Tunaitaji jembe lenye uthubutu Wa kubishana Wa watu Wa duniani na sio kuwanyeyekeaaa MAGUFURI TANO TENA
 
Lissu hatoshinda.,,
Nimecheka sana ,Mtu huna cheo chochote ccm wala hutambuliki

Mambo haya waachie Bia yetu,Gussie ,Pascal Mayalla huyu ni mzamiaji ccm bado nae hatambuliki

Wewe ni mwananchi wa kawaida ,Wenzako akina Bia yetu ,na Gussie ni insiders au wazee wa propaganda chamani ,Ccm ni kama maisha yao

Wewe mwezangu na mimi unajichosha tu,Hakuna anayekufahamu ccm

Fanya kazi mkuu,unaowatetea hawakufahamu hata sura
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…