Ni kweli hatoshinda ila sidhani kuwa itakuwa ni vyema kujikatia tamaa kwenda kupiga kura. Walidhani kuwa cdm itaugomea huo uchaguzi wajilambie bwerereree sana leo tunalia kidomo juu. Lissu ni mwiba wa mchongoma kwetu. Jitu lina roho ya paka hiliWalau wewe kidogo una akili.
Ila manyumbu wenzio hata akili ya kutambua kuwa Lissu hatoshinda, hawana.
Charisma haikupeleki ikulu. Kuna kasiri ka muhimu sana kanakupeleka ikulu
Endapo watu wakimkubali sana Lissu, hapo ndo itakuwa ugumu sana kwa tume kupindua meza maana machafuko lazima.SEMA HATOTANGAZWA MSHINDI JAPO ATASHINDA
Eti mimi nilikuwa nakuwa wa mwisho shuleni.Wewe shule lazima ulikuwa unakuwa wa mwisho, hakuna ubushi hapo!
Hivi katika maelezo ya hicho kinachoitwa charisma umeona Kuna swali linauliza mshindi ninani? Hivi ukiwa CCM kitugani kinavuruga akili?
Umeongea vema sana,. Lissu anatufundisha pia kutokuwa wanyonge kwenye maisha.Ni kweli hatoshinda ila sidhani kuwa itakuwa ni vyema kujikatia tamaa kwenda kupiga kura. Walidhani kuwa cdm itaugomea huo uchaguzi wajilambie bwerereree sana leo tunalia kidomo juu. Lissu ni mwiba wa mchongoma kwetu. Jitu lina roho ya paka hili
Kwahiyo wewe na nguruwe wenzio mnajua nani mshindi?Walau wewe kidogo una akili.
Ila manyumbu wenzio hata akili ya kutambua kuwa Lissu hatoshinda, hawana.
Mamako
Hata wewe maelezo yako yanakinzanaCharisma - compelling attractiveness or charm that can inspire devotion in others.
Kwa tafsiri ya kiswahili, Charisma ni ule mvuto mtu anaokuwa nao mpaka unatamani kama anaongea aendelee kuongea.
Katika siasa Charisma ni kitu cha umuhimu sana, kama huna Charisma, huwezi kuvutia watu wakakusikiliza.
CCM wana bahati mbaya sana kukosa viongozi wenye Charisma, ndo mana unaona kwenye kampeni wamekuwa wanatumia sana wasanii wa bongo fleva ili kuweka mvuto ambao ulistahili kuletwa na viongozi wao, kinyume chake ni sahihi kabisa, CHADEMA wana viongozi wenye Charisma ya hali ya juu sana, mtu kama Halima Mdee, Tundu Lissu, Mnyika, au Mbowe wakianza kuongea huwezi tamani ashushe mic, ni viongozi ambao wanaweza kuunganisha maneno mfululizo kwa lisaa lizima wakimwaga point ambazo hadhira inataka kuzisikia.
Nimemsikiliza leo Magufuli akiwa Shinyanga, honestly, unaona kabisa hata namna anavyounganisha sentensi, ni kama vile anakuwa anakosa coordination ya meneno. Magufuli anaweza kuongea sentensi kumi ambazo zinakinzana zenyewe kwa zenyewe, kitu ambacho kwa mtu unayemsikiliza ni rahisi sana kupoteza hamu ya kumsikiliza.
Ndo maana ya ule usemi wa kwamba, 'viongozi wanazaliwa' kama huna Charisma, huwezi kuongoza watu wakakupenda kwa sababu ni ngumu pia kwa mtu asiye na Charisma kuelewa changamoto za wengine. Ndo mana unamsikia Magufuli akituahidi tena kutumia mabilioni mengine ya kununua ndege, ni kama hajasikia na kuelewa vema kilio cha watanzania kwamba hizi ndege sio matumizi ya kipaumbele kwa taifa. Na hii ni moja wapo ya tabia za watu wasio na Charisma, daima hujali sana vipaumbele vyao dhidi ya wanaowazunguka.
Kama mambo yataendelea kwenda hivi, ni kwamba Magufuli ataonekana anaongea bila kuwa na hoja na mambo yanavoenda mvuto wa Magufuli kwa wapiga kura unazidi kupuputika, upande wa pili, Charisma inambeba Lissu kwa nguvu sana, wengine tulishakata tamaa na siasa lakini, namna Lissu anavofanya mambo mpaka sasa, ametuinua sana morali zetu, na hii yote ni nguvu ya Charisma aliyojaliwa ambayo wengine wamenyimwa.
Hatutakubali watende huo uharamia wao,haturudi nyuma maana hili ni suala la kufa na kupona.Tunataka viongozi na siyo watawala.Kilichowazi na ccm wanajua ni kwamba kwanza hawakushinda Zanzibar wala bara 2015 ndio maana ya rais kutangaza vita dhidi ya upinzani alipoingia tu madarakani. Chaguzi za madiwani na wabunge walionunua wote mnakumbuka ilikuwaje. Watz wanajua nn kilitokea December mwaka jana uchaguzi serikali za mitaa.....
Kimsingi na ccm wanajua hakuna
1. Wakulima
2. Wafanyakazi
3. Wafanyabiashara
4. Wanafunzi
Wakuichagua ccm na ndio chanzo cha haya yote kulazimisha kubaki madarakani kwa nguvu ya tume km alivoahidi rais lkn pia kwa nguvu ya dola km alivyosema Bashiru
Huu ni ukweli usionashaka...nmemfuatilia karibu mikutano miwili ya kampeni..huyu Tundu ni mtu makini sana kweny kupanga sentensi. Sema kwa kuwa siasa za kiafrica ni sayansi basi lakini kama si vingnevo huyu atakuapua kura nyingi za wananchi. Na ikulu a naiona kimo cha mbuzi asbui na mapema 28.10.2020!!!
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Sio kwamba ccm hawajui kuwa hawana mvuto, wanajua sana lakini hawawezi kukubali kushindwa, maana wanajua watakosa mlo, na kikubwa zaidi wengi wao wanaogopa kuishia jela kwa wizi na uovu wao kuwa hadharani. Ndio maana ukisema neno mdahalo hapa ccm hawako tayari kwa hilo jambo, maana wanajua wanaenda kuumbuka.
Kwa sababu mifumo inayosimamia uchaguzi sio huru, wazi, iso-haki na haiaminiki.
Lissu ni mshindi mioyoni mwa watu wengi...hiyo pekee inatosha.
Patachimbika.
Save hii comment
From KeyboardsPatachimbika.
Save hii comment
Lissu atashinda kama alivyoshinda EL, tatizo ni kutangazwa mshindi.Lissu hatoshinda.,,
Nimecheka sana ,Mtu huna cheo chochote ccm wala hutambulikiLissu hatoshinda.,,
Lissu hatoshinda.,,
Charisma haikupeleki ikulu. Kuna kasiri ka muhimu sana kanakupeleka ikulu