Uchaguzi 2020 'Charisma' ya Tundu Lissu itazidi kumpa shida sana Magufuli na CCM kwa ujumla

Uchaguzi 2020 'Charisma' ya Tundu Lissu itazidi kumpa shida sana Magufuli na CCM kwa ujumla

Endapo watu wakimkubali sana Lissu, hapo ndo itakuwa ugumu sana kwa tume kupindua meza maana machafuko lazima.

Enzi ya kikwete na mkapa ilikuwa rahisi kuiba kura maana at least kikwete na mkapa walikuwa ni viongozi pia wenye mvuto.

Sahiv ni tofauti sana kwa magufuli
Uamuzi wa chama tawala kutangaza watakachokifanya wakiwa na ilani mkononi umezingatia matakwa ya siasa za kisasa.
Wameamua kujitambulisha kwa kuweka hadharani wanachokifanya na wanachotarajia kukifanya.

Ni uamuzi wa kisayansi wenye kwenda sambamba na ukweli kwamba Lissu na CDM wakiwa Dodoma basi CCM wanaendelea na kampeni sehemu tofauti..Mam Samia Morogoro, Majaliwa Longido na JPM Shinyanga.

Chama tawala kina ukomavu mkubwa wa kisiasa sio rahisi kuzidiwa maarifa na CDM hii ya sasa.
 
Kwa sisi watu wataalamu wa Sayansi ya Siasa tunaposhuhudia mgombea wa Chama Kikubwa Kikongwe (Vanguard Party ..ya Kijamaa) anapelekeshwa hivi tunajua tuna kitu hakipo sawa!
Kwa hii miaka mitano mfumo wa Utawala ulifsnya jitihada kubwa ,nyingi za kuua CDM matokeo yake Ni kinyume! Je Nini kimesababisha haya!
Mosi,mabadiliko makubwa ya kifikra ,na hii inaashiria Watanzania wao tayari kwa mabadiliko.Kinachosekana Ni wakala wa kuongoza haya mabadiliko! Na Sasa yaelekea Tundu anajaribu kuziba ombwe hili! CCM walitakiwa wajiuluze Sana kwa yaliyotokea 2015! ,Ambapo almanusura watu wampeleke Lowasa Ikulu !
Lowasa angekuwa na uwezo wa kujenga hoja Kama Tundu sijui Hali ingekuwaje!?
Pili,Kuna tatizo kwenye mfumo wa Uongozi wa CCM . Pengine Mwenyekiti Hana washauri wazuri au hashauriki.
Sababu ya tatu Ni Mwenyekiti kushika hatamu! Tumexhuhudia miaka 5 ya Zidumu Fikra za Mwenyekiti! Mawaziri,Wabunge,Wakuu wa Idara na Taasisi ,RC,DC ,WEO,Madiwani wote wanamtukuza Mwenyekiti! Na Bahati mbaya sana hili linafanyika kinafiki.
Nne',Kosa kubwa wanalofanya CCM,ni kutumia nguvu kuwanyamazisga wapinzani.Leo hii nguvu kubwa ileile inatumika kunadi Sera ziluzotukuzwa kwa miaka mitano!
Tano,CCM wameshindwa kubaini kuwa kizazi kiaminifu' na Sera za Chama bila kujali chochote kinapotea kwa Kasi. Hawa walizaliwa ,wamekua na TANU,CCM na Nyerere huwaambii kitu!
Mwisho,CCM Ni muhimu wajiandae kuyapokea mabadilko makubwa Sana katika Fikra za Watanzania. Ni aibu na fedheha mtu mzima akitaka kuongea na wananchi kutumia nguvu kubwa namna hii ..wasanii na wachekeshaji!

Magufuli amefanikiwa kuwakumbusha wananchi kwamba utajiri wetu tuliopewa na Mungu ni fursa ambayo inaonewa wivu na majirani zetu pamoja na baadhi ya “wazungu”.

Anaposema nchi yetu ni tajiri wale wenye kuijua Tanzania wanamuelewa vyema na wanaelewa maana ya ujenzi mkubwa wa miundo mbinu unaofanywa kwa pesa nyingi.

Wapenda siasa wapo lakini hawana wingi kama ule wa wale wanaoelewa ukubwa wa nchi kiuchumi ambao unatafutwa kwa ujasiri.

Siasa za kimagharibi ni za msimu huu wa kuelekea uchaguzi, lakini ujumbe wa kujenga mazingira wezeshi kiuchumi umeshawaingia watanzania wenye kuitazama nchi yao kwa mtazamo chanya.
 
Nimecheka sana ,Mtu huna cheo chochote ccm wala hutambuliki

Mambo haya waachie Bia yetu,Gussie ,Pascal Mayalla huyu ni mzamiaji ccm bado nae hatambuliki

Wewe ni mwananchi wa kawaida ,Wenzako akina Bia yetu ,na Gussie ni insiders au wazee wa propaganda chamani ,Ccm ni kama maisha yao

Wewe mwezangu na mimi unajichosha tu,Hakuna anayekufahamu ccm

Fanya kazi mkuu,unaowatetea hawakufahamu hata sura

Wewe una uhakika kuwa Chadema wanakujua?.

Unaufahamu vyema uwezo wa Kaka Freeman wa kuwatumia watu na kuwatupa baada ya kufanikisha malengo yake?.

Waulize wanaoijua vyema Chadema watakueleza mengi usiyoyajua.
 
Magufuli atumie muda huu wa kampeni kuaga. Tarehe 28/10/2020 hatatoboa. Wajumbe watafanya wanayoyajua.
 
Charisma - compelling attractiveness or charm that can inspire devotion in others.

Kwa tafsiri ya kiswahili, Charisma ni ule mvuto mtu anaokuwa nao mpaka unatamani kama anaongea aendelee kuongea.

Katika siasa Charisma ni kitu cha umuhimu sana, kama huna Charisma, huwezi kuvutia watu wakakusikiliza.

CCM wana bahati mbaya sana kukosa viongozi wenye Charisma, ndo mana unaona kwenye kampeni wamekuwa wanatumia sana wasanii wa bongo fleva ili kuweka mvuto ambao ulistahili kuletwa na viongozi wao, kinyume chake ni sahihi kabisa, CHADEMA wana viongozi wenye Charisma ya hali ya juu sana, mtu kama Halima Mdee, Tundu Lissu, Mnyika, au Mbowe wakianza kuongea huwezi tamani ashushe mic, ni viongozi ambao wanaweza kuunganisha maneno mfululizo kwa lisaa lizima wakimwaga point ambazo hadhira inataka kuzisikia.

Nimemsikiliza leo Magufuli akiwa Shinyanga, honestly, unaona kabisa hata namna anavyounganisha sentensi, ni kama vile anakuwa anakosa coordination ya meneno. Magufuli anaweza kuongea sentensi kumi ambazo zinakinzana zenyewe kwa zenyewe, kitu ambacho kwa mtu unayemsikiliza ni rahisi sana kupoteza hamu ya kumsikiliza.

Ndo maana ya ule usemi wa kwamba, 'viongozi wanazaliwa' kama huna Charisma, huwezi kuongoza watu wakakupenda kwa sababu ni ngumu pia kwa mtu asiye na Charisma kuelewa changamoto za wengine. Ndo mana unamsikia Magufuli akituahidi tena kutumia mabilioni mengine ya kununua ndege, ni kama hajasikia na kuelewa vema kilio cha watanzania kwamba hizi ndege sio matumizi ya kipaumbele kwa taifa. Na hii ni moja wapo ya tabia za watu wasio na Charisma, daima hujali sana vipaumbele vyao dhidi ya wanaowazunguka.

Kama mambo yataendelea kwenda hivi, ni kwamba Magufuli ataonekana anaongea bila kuwa na hoja na mambo yanavoenda mvuto wa Magufuli kwa wapiga kura unazidi kupuputika, upande wa pili, Charisma inambeba Lissu kwa nguvu sana, wengine tulishakata tamaa na siasa lakini, namna Lissu anavofanya mambo mpaka sasa, ametuinua sana morali zetu, na hii yote ni nguvu ya Charisma aliyojaliwa ambayo wengine wamenyimwa.
Charisma ya kuongea tu haileti maendeleo kwa taifa. Magufuli hata sasa akiukwaa ububu, ameisha prove kwamba ni kiongozi wa aina gani! Vitendo vyake vinatosha kumtangaza! Lissu ni maneno tu ya vijiweni ya Yanga na Simba!

Kwa mfano, Kutiririka maneno kama - mmeona raisi wa awamu ipi amejenga reli? Reli zilijengwa na wajerumani na waingereza - TAZARA na mchina enzi za Nyerere!. Yaani anabeza utawala wa JPM kujenga SGR! Hiyo ndiyo Charisma ya kuongea unayotueleza!?

Kuongea tu hatutaki sisi wananchi - Kuongea tu kumepitwa na wakati tunataka kazi na vitendo na matokeo yaonekane!
 
Kuanzia sasa Lissu amekwishaongeza wapiga kura kutokana na hotuba zake jukwaani. Watu wanataka maendeleo yao na siyo ya vitu.
Huwezi kuwa na maendeleo ya kudumu ya watu pasipo kwanza kuwa na msingi wa maendeleo ya vitu.

Mataifa makubwa yalianza kwa kujenga vitu miaka mingi iliyopita.

Wale black lives matter wanataka minara mingi ya wazungu maarufu ibomolewe kwa sababu ni watu waliofanya biashara ya watumwa waliofanya kazi ngumu ya kuyajenga maendeleo ya vitu, ambayo ndio msingi wa ubepari wenyewe.
 
Charisma ya kuongea tu haileti maendeleo kwa taifa. Magufuli hata sasa akiukwaa ububu, ameisha prove kwamba ni kiongozi wa aina gani! Vitendo vyake vinatosha kumtangaza! Lissu ni maneno tu ya vijiweni ya Yanga na Simba!
Kwa mfano, Kutiririka maneno kama - mmeona raisi wa awamu ipi amejenga reli? Reli zilijengwa na wajerumani na waingereza - TAZARA na mchina enzi za Nyerere!. Yaani anabeza utawala wa JPM kujenga SGR! Hiyo ndiyo Charisma ya kuongea unayotueleza!?
Kuongea tu hatutaki sisi wananchi - Kuongea tu kumepitwa na wakati tunataka kazi na vitendo na matokeo yaonekane!

Inahitajika akili kubwa sana kuweza kuupinga mradi kama ule wa SGR halafu wenye akili timamu waweze kukuelewa.

Anabeza ujenzi wa reli ambazo ni akili za mawakala wa wenye wivu wanapoona kuwa reli ile inakwenda kuimarisha uchumi wa nchi.

Magufuli keshaeleweka anafanya nini na anataka nchi hii ielekee wapi.
 
Charisma - compelling attractiveness or charm that can inspire devotion in others.

Kwa tafsiri ya kiswahili, Charisma ni ule mvuto mtu anaokuwa nao mpaka unatamani kama anaongea aendelee kuongea.

Katika siasa Charisma ni kitu cha umuhimu sana, kama huna Charisma, huwezi kuvutia watu wakakusikiliza.

CCM wana bahati mbaya sana kukosa viongozi wenye Charisma, ndo mana unaona kwenye kampeni wamekuwa wanatumia sana wasanii wa bongo fleva ili kuweka mvuto ambao ulistahili kuletwa na viongozi wao, kinyume chake ni sahihi kabisa, CHADEMA wana viongozi wenye Charisma ya hali ya juu sana, mtu kama Halima Mdee, Tundu Lissu, Mnyika, au Mbowe wakianza kuongea huwezi tamani ashushe mic, ni viongozi ambao wanaweza kuunganisha maneno mfululizo kwa lisaa lizima wakimwaga point ambazo hadhira inataka kuzisikia.

Nimemsikiliza leo Magufuli akiwa Shinyanga, honestly, unaona kabisa hata namna anavyounganisha sentensi, ni kama vile anakuwa anakosa coordination ya meneno. Magufuli anaweza kuongea sentensi kumi ambazo zinakinzana zenyewe kwa zenyewe, kitu ambacho kwa mtu unayemsikiliza ni rahisi sana kupoteza hamu ya kumsikiliza.

Ndo maana ya ule usemi wa kwamba, 'viongozi wanazaliwa' kama huna Charisma, huwezi kuongoza watu wakakupenda kwa sababu ni ngumu pia kwa mtu asiye na Charisma kuelewa changamoto za wengine. Ndo mana unamsikia Magufuli akituahidi tena kutumia mabilioni mengine ya kununua ndege, ni kama hajasikia na kuelewa vema kilio cha watanzania kwamba hizi ndege sio matumizi ya kipaumbele kwa taifa. Na hii ni moja wapo ya tabia za watu wasio na Charisma, daima hujali sana vipaumbele vyao dhidi ya wanaowazunguka.

Kama mambo yataendelea kwenda hivi, ni kwamba Magufuli ataonekana anaongea bila kuwa na hoja na mambo yanavoenda mvuto wa Magufuli kwa wapiga kura unazidi kupuputika, upande wa pili, Charisma inambeba Lissu kwa nguvu sana, wengine tulishakata tamaa na siasa lakini, namna Lissu anavofanya mambo mpaka sasa, ametuinua sana morali zetu, na hii yote ni nguvu ya Charisma aliyojaliwa ambayo wengine wamenyimwa.
Ndio Maana wakampiga Risasi
 
Charisma - compelling attractiveness or charm that can inspire devotion in others.

Kwa tafsiri ya kiswahili, Charisma ni ule mvuto mtu anaokuwa nao mpaka unatamani kama anaongea aendelee kuongea.

Katika siasa Charisma ni kitu cha umuhimu sana, kama huna Charisma, huwezi kuvutia watu wakakusikiliza.

CCM wana bahati mbaya sana kukosa viongozi wenye Charisma, ndo mana unaona kwenye kampeni wamekuwa wanatumia sana wasanii wa bongo fleva ili kuweka mvuto ambao ulistahili kuletwa na viongozi wao, kinyume chake ni sahihi kabisa, CHADEMA wana viongozi wenye Charisma ya hali ya juu sana, mtu kama Halima Mdee, Tundu Lissu, Mnyika, au Mbowe wakianza kuongea huwezi tamani ashushe mic, ni viongozi ambao wanaweza kuunganisha maneno mfululizo kwa lisaa lizima wakimwaga point ambazo hadhira inataka kuzisikia.

Nimemsikiliza leo Magufuli akiwa Shinyanga, honestly, unaona kabisa hata namna anavyounganisha sentensi, ni kama vile anakuwa anakosa coordination ya meneno. Magufuli anaweza kuongea sentensi kumi ambazo zinakinzana zenyewe kwa zenyewe, kitu ambacho kwa mtu unayemsikiliza ni rahisi sana kupoteza hamu ya kumsikiliza.

Ndo maana ya ule usemi wa kwamba, 'viongozi wanazaliwa' kama huna Charisma, huwezi kuongoza watu wakakupenda kwa sababu ni ngumu pia kwa mtu asiye na Charisma kuelewa changamoto za wengine. Ndo mana unamsikia Magufuli akituahidi tena kutumia mabilioni mengine ya kununua ndege, ni kama hajasikia na kuelewa vema kilio cha watanzania kwamba hizi ndege sio matumizi ya kipaumbele kwa taifa. Na hii ni moja wapo ya tabia za watu wasio na Charisma, daima hujali sana vipaumbele vyao dhidi ya wanaowazunguka.

Kama mambo yataendelea kwenda hivi, ni kwamba Magufuli ataonekana anaongea bila kuwa na hoja na mambo yanavoenda mvuto wa Magufuli kwa wapiga kura unazidi kupuputika, upande wa pili, Charisma inambeba Lissu kwa nguvu sana, wengine tulishakata tamaa na siasa lakini, namna Lissu anavofanya mambo mpaka sasa, ametuinua sana morali zetu, na hii yote ni nguvu ya Charisma aliyojaliwa ambayo wengine wamenyimwa.
Jamaa anauwezo mkubwa sn wa kujieleza, mwenyewe nilitamani kipindi kiwe hata na masaa ma3
 
Charisma - compelling attractiveness or charm that can inspire devotion in others.

Kwa tafsiri ya kiswahili, Charisma ni ule mvuto mtu anaokuwa nao mpaka unatamani kama anaongea aendelee kuongea.

Katika siasa Charisma ni kitu cha umuhimu sana, kama huna Charisma, huwezi kuvutia watu wakakusikiliza.

CCM wana bahati mbaya sana kukosa viongozi wenye Charisma, ndo mana unaona kwenye kampeni wamekuwa wanatumia sana wasanii wa bongo fleva ili kuweka mvuto ambao ulistahili kuletwa na viongozi wao, kinyume chake ni sahihi kabisa, CHADEMA wana viongozi wenye Charisma ya hali ya juu sana, mtu kama Halima Mdee, Tundu Lissu, Mnyika, au Mbowe wakianza kuongea huwezi tamani ashushe mic, ni viongozi ambao wanaweza kuunganisha maneno mfululizo kwa lisaa lizima wakimwaga point ambazo hadhira inataka kuzisikia.

Nimemsikiliza leo Magufuli akiwa Shinyanga, honestly, unaona kabisa hata namna anavyounganisha sentensi, ni kama vile anakuwa anakosa coordination ya meneno. Magufuli anaweza kuongea sentensi kumi ambazo zinakinzana zenyewe kwa zenyewe, kitu ambacho kwa mtu unayemsikiliza ni rahisi sana kupoteza hamu ya kumsikiliza.

Ndo maana ya ule usemi wa kwamba, 'viongozi wanazaliwa' kama huna Charisma, huwezi kuongoza watu wakakupenda kwa sababu ni ngumu pia kwa mtu asiye na Charisma kuelewa changamoto za wengine. Ndo mana unamsikia Magufuli akituahidi tena kutumia mabilioni mengine ya kununua ndege, ni kama hajasikia na kuelewa vema kilio cha watanzania kwamba hizi ndege sio matumizi ya kipaumbele kwa taifa. Na hii ni moja wapo ya tabia za watu wasio na Charisma, daima hujali sana vipaumbele vyao dhidi ya wanaowazunguka.

Kama mambo yataendelea kwenda hivi, ni kwamba Magufuli ataonekana anaongea bila kuwa na hoja na mambo yanavoenda mvuto wa Magufuli kwa wapiga kura unazidi kupuputika, upande wa pili, Charisma inambeba Lissu kwa nguvu sana, wengine tulishakata tamaa na siasa lakini, namna Lissu anavofanya mambo mpaka sasa, ametuinua sana morali zetu, na hii yote ni nguvu ya Charisma aliyojaliwa ambayo wengine wamenyimwa.
Mkuu nimekuelewa, nimekupata vizuri sana na Mungu akubariki uendelee kutoa hamasa huko uliko ingawa ID yako mkuu kwetu ni tusi sijui unatuachaje sasa? Shida yangu kwa Lissu itakuwa kujulikana kwake kule vijijini ambako watu wanalishwa matangopori eti wapinzani wataleta vita! Siasa za kipumbavu kabisa, halafu na tume nayo imekaa kimya tu! Nashauri chama kichspishe banners za picha ya Lissu na kila mgombea ubunge na udiwani apewe hiyo picha awe anazunguka nayo kwenye kampeni zake kama alivyofanya mzee Nyerere kwa Mkapa mwaka 1995. Watu vijijini hawamjui Lissu tutapigiwa huko!!
 
Anakinzana balaa. juzi aliwadanganya watu wa ikungi eti anampenda lissu akakinzana na ile kauli ya siku ya ripoti ya makinikia kuhusu kazi za wanajeshi kule kwenye vita.

Atuachie nchi yetu hafai. hana utu. muuaji wa demokrasia. siyo mstaarabu.
Jana tena kajikoroga hapa Shinyanga wakati anamnadi Katambi. Anatuambia eti nileteeni huyu kijana nampenda sana. Akawa amesahau kama alishasema waliokimbia uteuzi wake kwenda kugombea ni watu wenye tamaa ya madaraka!
 
Mimi namwomba Mungu atende maajabu tu huku ,mkoloni mweusi inatosha aisee si kwa maumivu haya.
Mungu atusikie maana tukienda miaka mitano mingine kitakachotupata hakifurahishi.
 
Mkuu nimekuelewa, nimekupata vizuri sana na Mungu akubariki uendelee kutoa hamasa huko uliko ingawa ID yako mkuu kwetu ni tusi sijui unatuachaje sasa? Shida yangu kwa Lissu itakuwa kujulikana kwake kule vijijini ambako watu wanalishwa matangopori eti wapinzani wataleta vita! Siasa za kipumbavu kabisa, halafu na tume nayo imekaa kimya tu! Nashauri chama kichspishe banners za picha ya Lissu na kila mgombea ubunge na udiwani apewe hiyo picha awe anazunguka nayo kwenye kampeni zake kama alivyofanya mzee Nyerere kwa Mkapa mwaka 1995. Watu vijijini hawamjui Lissu tutapigiwa huko!!
Naam , CHADEMA inatakiwa iweke mikutano mingi sana midogo midogo ngazi za kata na vijiji na wawe focused ni kijiji au kata ipi raia wake hawawajui wapinzani na faida zao iwapo wakipewa madaraka ili raia wafunguke bila hivyo huo ni upenyo wa ccm kuvukia
Huku mijini wanaeleweka hilo lipo wazi maana watu wa mijini ndiyo wanajua siasa na walichotendewa na utawala huu kwa miaka 5 (wanayo elimu ya uraia kwa upana zaidi)
 
Kiufupi tu ni kwamba jamaa hana charisma, na amekuwa anapata shida sana kujinadi kama mnavyojionea wenyewe. Ndiyo maana kampeni zake zimekuwa kutaja madege, meli, SGR na Stiegler's Gorge kana kwamba sisi tunakula hivyo vitu. Na kwa bahati mbaya sana hata wale wabunge 18 waliopita bila kuenguliwa (sio kupoingwa) hawana pia charisma ya kumsaidia boss wao.

Hii ni aibu kwa chama kikongwe kama CCM kukosa watu watu wa aina hiyo wakati iliwahi kuwa nao huko nyuma.
 
Back
Top Bottom