Uchaguzi 2020 'Charisma' ya Tundu Lissu itazidi kumpa shida sana Magufuli na CCM kwa ujumla

Mimi namwomba Mungu atende maajabu tu huku ,mkoloni mweusi inatosha aisee si kwa maumivu haya.
Mungu atusikie maana tukienda miaka mitano mingine kitakachotupata hakifurahishi.
Mkuu mimi nakwambia ukatili litaotutendea hili jitu hiyo miaka 5 ijayo ni Mungu tu ndie anajua! Nawaomba sana Watanzania wenzangu hii ndiyo golden chance yetu kumwadabisha! Let vote en masses tuone ataibaje hizo kura!
 
Hahahahaaa... Suala la ID linaniumiza kichwa sana, ila ntalishughulikia
 
2015 alibebwa na mbeleko ya JK na Mkapa ambao walikuwa wapo vizuri
 
Yaah kampeni zinatakiwa zijikite huko ndani ndani kabisa na ziambatane na elimu ya kupiga kura
 
Umepigilia msumari vizuri umenikumbusha, Sankara alikuwa moto sana nimeisoma historia yake
 
Lissu anashinda asubuhi sana na time lazima wamtangaze wakitaka vurugu mwaka huu basis wafanye hayo mambo zao
Tume wana hali ngumu sana huu mwaka, kujaribu kumbeba mtu asiyebebeka ni kazi ngumu sana, ingewezekana kwa mtu kama JK au Mkapa ila sio kwa Magufuli habebeki
 
Itakuwa unaongea hujui historia, hizi nchi za ulaya na marekani zilianza kuendelea kiuchumi baada ya kupiga hatua kwenye haki za binadamu.

Maendeleo ya watu siku zote ni kitu cha kwanza na cha msingi
 
Itakuwa unaongea hujui historia, hizi nchi za ulaya na marekani zilianza kuendelea kiuchumi baada ya kupiga hatua kwenye haki za binadamu.

Maendeleo ya watu siku zote ni kitu cha kwanza na cha msingi
Hujui unaloliongea. Wazungu wamekuja afrika kuchukua watumwa ili wakajenge viwanda na kulima.

Walishakuwa na makoloni kabla hata ya kufikiria demokrasia kwa tafsiri ya sasa.

Nenda kasome kwanza kabla ya kujadiliana na watu.
 
Hujui unaloliongea. Wazungu wamekuja afrika kuchukua watumwa ili wakajenge viwanda na kulima.

Walishakuwa na makoloni kabla hata ya kufikiria demokrasia kwa tafsiri ya sasa.

Nenda kasome kwanza kabla ya kujadiliana na watu.
Utakuwa unamis point kubwa sana, huwez fananisha moja kwa moja, enzi za utumwa na dunia ya sasa.

Kwahiyo unahalalisha utumwa dhidi ya maendeleo?

Hivi unafikiria vizur kweli?
 
kama kungekuwa na uchaguzi huru na wa haki, ndani ya sanduku la kura ccm kushinda labda kwa asilimia 51 sio zaidi ya hapo
 
Siyo charismatic, ila ni fundi wa kutukana. Na kwa maana hiyo kwenye siasa zetu za kiafrika hiyo inatafasiri ya fundi wa siasa.
 
Utakuwa unamis point kubwa sana, huwez fananisha moja kwa moja, enzi za utumwa na dunia ya sasa.

Kwahiyo unahalalisha utumwa dhidi ya maendeleo?

Hivi unafikiria vizur kweli?
Nakuelimisha wewe unayedhani demokrasia ya mzungu ni sawa na ya kwetu.
 
This time mgombea tunaye aisee
 
Umewaambia ukweli wote.
 
inahitaji uwe umekunywa valuu kumskiza JIWE, hamna mvuto zaidi ya kuanza na Stigla, ndege, Wanawake weupe,
 

Upo sahihi... Watafanyia kazi ushauri wako...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…