Pangamalasy
Senior Member
- Jun 5, 2020
- 127
- 110
Msajiri wa vyama yuko wapo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SijazionaIngia Google utaziona
Porojo za aina hii zawafaa sana wa rika yako kule chekecheaKuna mtu ndani ya CHADEMA alimuagiza Mbowe alewe chakali kiasi cha kuhisi yuko kwenye chopa akaamua kuruka na parachute akaporomoka kwenye ngazi na kuumiza mguu? Mjinga akiamua kufanya ujinga wake hahitaji kuagizwa na mtu.
Bila shaka ni maelekezo ya yesu wa Chato asiyejiaminiView attachment 1482608
Hii ndio taarifa mpya kwa sasa , ambapo kabla hata kipyenga hakijapulizwa haya yanatendeka , Je ni nani aliyeagiza upuuzi huu ?
Mwaka 2014 kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa chadema ilishinda mitaa yote ya jimbo hilo , ikiwemo mtaa anaoishi Magufuli
Thubutu ! afadhali hata John TendwaMsajiri wa vyama yuko wapo?
uliza uelekezweWewe umekubuhu kwa uwongo
Mkuu chama sikimekufa? Mnaogopa mzimu au nini?
We muhutu usijipendekeze kwa watanzania!.Bendera zichomwe Watanzania hatutaki kuziona
Zikisha chomwa what next?Choma moto vyendera vya magaidi
We muhutu usijipendekeze kwa watanzania!.
uliza uelekezwe
Sio hujui kusearchSijaziona
Siku zote injustice ina malipo hata rwanda walipoitana cockroach asili haikuwasamehe iliwalipa sawia.Choma moto vyendera vya magaidi