Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema iko kwenye familia yako ww unapata mgao wa Bilioni 8CHADEMA iko mioyoni mwa wananchi. We shall overcome
Ila wao wana licence ya kutuua na kututesa.Eee kazi ipo kama ndo hivi? Ila mtu kama hiyu asiuwawe wala kudhurika tunaweza chafua amani.
Hii ni hatari vitendo kama hivi lazima vikemewe vitaleta machafuko very soonNaionea huruma mama Tanzania, maana huko tuendako tutaanza kubaguana hata misibani
Salary Slip mbona umei like hii post yanguSisiimizi sijui sisi nini mnapopeleka watu mtakuja kijuta.
Haki ya Mungu naapa udhalimu wa namna yoyote unamwisho wake. Na mwisho wake sio mzuri.
Unafkir watu km hawa hawapo. Wapo sana. Wakilipuka km hawa kumi tu sisi nini sijui hamta enjoy mali zanu. Streets zote zitajaa watu km sisimizi. Na huo utakua mwisho wa udhalimu.
Hiki kitu sio lazima kitokee sasa hivi. It can take years. Even 30 years. Watoto wenu mnaowarithisa huu uonevu watakuja kujuta. Karma is a bitch. I tell ya
Nalog off.
Waache waendelee kumchezea simba sharubu wakiamini ni mbwa kokoHii ni hatari vitendo kama hivi lazima vikemewe vitaleta machafuko very soon
Mdee anadai wameshamtia ndani!
Kama vile vigogo wa CCM wanavyowajokate au kuwakairuki!Na alivyo mrembo vigogo wa Chadema watamjoyce Mkya soon.
Nakuwa Shonza(Juliana)Kama vile vigogo wa CCM wanavyowajokate au kuwakairuki!