Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Chadema wanapenda mihemko. Sasa wamelitia moto gari lao ili wapate la kuongea au vipi? Na mikoa mingine waliolala gesti auGari lililokuwa linatumika kufanya matangazo (PA) ya mikutano ya Makamu Mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Tundu Lissu, lenye namba za usajili T 658 DQL limenusurika kuteketea kwa moto usiku huu Chato mkoani Geita baada ya watu wasiojulikana kutaka kufanya jaribio la kulichoma moto likiwa limepaki na magari mengine eneo la Twiga Lodge.
Jeshi la Zimamoto na Uokoaji lillifika eneo la tukio na kuzima moto kabla hayajatokea madhara zaidi.
View attachment 2705711
View attachment 2705712
View attachment 2705713
Mhe: Hayati wetu, kwa imani yake alikuwa ni mtu wa kuwaonea watu huruma. Huruma hiyo ya Mungu ndiyo inayomuongoza hadi leo huko aliko. Kwa mantiki hiyo Mhe: Lissu akifika pale kaburini ndio ataomba msamaha. Kwa huruma yake atamsamehe na hii itampa Marehemu wetu furaha. Raha ya Milele Umpe ee Bwana na Mwanga wa Milele Umuangazie.Kwa picha hizo limenusurika vipi hapo, mbona kama limeungua tayari.
UVCCM Chato walipiga mkwara eti asiende kwenye kaburi la Magufuli; utadhani wao ndio wamekuwa wasemaji wa familia yake.
UVCCM ambao awakwenda hata kwenye misa ya kumbukumbu yake, mtu pekee aliekuwa kavaa nguo za CCM siku ya kumbukumbu ya Magufuli ni kale ka binti ka Samia ndio kiliwakilisha UVCCM kamekaa peke yake. Wenyewe UVCMM Chato hawakufika leo wanajifanya wanaumia sana na kaburi lake.
Kiwango cha unafiki wa CCM kinapitiliza swala la Lissu kwenda kwenye kaburi la Magufuli ni uamuzi wa mjane wake na familia yake; sisi wengine alituhusu.
Kwenda kaburini kwa Kanumba tu hapo Kinondoni Watu wanafanyiwa Figisu ndio iwe kwenda kuchota Baraka kaburini kwa Shujaa Magufuli?!! ππππ₯π₯NAONA CHADEMA WAMESHAANZA KUFANYA MAMBO YAO YA KITOTO!
Ili kupata huruma kwa ummaππππ
Akili za kitoto sana hizi..
Duu naona ni Kiki ya Kizamani sana. Wameona wakiingia hasara kutengeneza Kiki wamelitafuta Gari Bovu na Kulipiga Moto.Gari lililokuwa linatumika kufanya matangazo (PA) ya mikutano ya Makamu Mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Tundu Lissu, lenye namba za usajili T 658 DQL limenusurika kuteketea kwa moto usiku huu Chato mkoani Geita baada ya watu wasiojulikana kutaka kufanya jaribio la kulichoma moto likiwa limepaki na magari mengine eneo la Twiga Lodge.
Jeshi la Zimamoto na Uokoaji lillifika eneo la tukio na kuzima moto kabla hayajatokea madhara zaidi.
=====
Taarifa za awali, Gari ya matangazo (PA) M4C T 658 DQL niliyotangulia nayo kwaajili ya matangazo imenusurika kuteketea kwa moto baada ya ccm kufanya jaribio la kuichoma kama inavyoonekana kwenye picha hapo juu usiku huu saa 1:10 Usiku.
Gari husika baada ya kumaliza mkutano uliofanyika Jimbo la Mbogwe jioni niliondoka nalo kuelekea chato na kuanza matangazo baada ya matangazo lilihifadhiwa TWIGA LODGE ambapo yapo magari ya watu tofauti zaidi ya matano (5) yaliohifadhi pia ila yote yako salama isipokuwa M4C ya chama.
Jeshi la zima moto na uokoaji lilifika eneo la tukio na kuzima moto husika kabla hayajatokea madhara zaidi.
Kinachoendelea sasa ni mimi, DJ Othuman na Dreva Ally kutafutwa hapa chato muda huu kila Lodge wanagonga chumba kwa chumba at wakisema ni zamu yetu kuchomwa moto.
Upuuzi huu unafanywa na Dola + Uvccm.
Yohana Kaunya
KM - Bavicha Taifa ,
Chief of staff Team ya Makamu Mwenyekiti chadema (Mhe. Tundu lissu)
Saa 1:30 Usiku (Chato)
02,Augost 2023.
________
View attachment 2705711
View attachment 2705712
View attachment 2705713
Kwa hiyo mmeshindwa kwa hoja sasa mmeamua viroja!Msifieni na mpeni umwamba na ukubwa wa kijinga tu. Mshaurini aache tukana viongozi.
Hakuna haja ya Lissu kwenda pale aachane naoKwa picha hizo limenusurika vipi hapo, mbona kama limeungua tayari.
UVCCM Chato walipiga mkwara eti asiende kwenye kaburi la Magufuli; utadhani wao ndio wamekuwa wasemaji wa familia yake.
UVCCM ambao awakwenda hata kwenye misa ya kumbukumbu yake, mtu pekee aliekuwa kavaa nguo za CCM siku ya kumbukumbu ya Magufuli ni kale ka binti ka Samia ndio kiliwakilisha UVCCM kamekaa peke yake. Wenyewe UVCMM Chato hawakufika leo wanajifanya wanaumia sana na kaburi lake.
Kiwango cha unafiki wa CCM kinapitiliza swala la Lissu kwenda kwenye kaburi la Magufuli ni uamuzi wa mjane wake na familia yake; sisi wengine alituhusu.
Kwani kwani kaburi huwa na Baraka ?Kwenda kaburini kwa Kanumba tu hapo Kinondoni Watu wanafanyiwa Figisu ndio iwe kwenda kuchota Baraka kaburini kwa Shujaa Magufuli?!! ππππ₯π₯
Nchi ya kijinga sn hiiπππ₯π₯
Kaisari akararua vazi lake kwa hasira akasema " amekufuru"
Utasikia Naniliu amezuiwa na sirikali kwenda kaburini kwa Shujaa kwa sababu za kiusalama π€£π€£π€©
Waulize wanaolalaga Juu ya kaburi la KanumbaKwani kwani kaburi huwa na Baraka ?
Nadhani Wananchi ndio Wajinga!Nchi ya kijinga sn hii
Vyombo vya uchunguzi vipi?NAONA CHADEMA WAMESHAANZA KUFANYA MAMBO YAO YA KITOTO!
Ili kupata huruma kwa umma[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Akili za kitoto sana hizi..
#Mtoa Mada umetuhumu direct/moja kwa moja, je Vyombo Vya uchunguzi vimeshafanya kazi yake juu ya tukio hilo? Kwa hao uliowatuhumu?/unaweza kuingizwa hatiani kwa tuhuma zisizo sahihi.
Sure hawajui haki zao wala kesho yao CCM ndiyo inaamua nini cha kufanya badala ya wao kuamuaNadhani Wananchi ndio Wajinga!