Chato: Gari la matangazo ya mikutano la CHADEMA lanusurika kuteketea kwa moto

Limechomwa na mizimu ga JPM katika kukasirishwa na unafiki wao!!
 
Hata 1994,walianza mwendo wa Kobe,kisha mwendo wa mjamaica 😭😭😭😭
 
Safi sana .. wangetumia petrol nyingi wabaguzi wa dini hawa ..nawachukia chadema acha tu
Kuna mda mnakosa akili huyo dj ni mkristo, dereva ni mkristo? Tafutene kingine labda!
 


Unajua maana ya neno kunusurika? Limeungua hilo.
 
Usikurupuke kujaza upuuzi wako humu katika mambo mazito. Sikiliza ili.
 
Tunawaomba Deep State wawe makini na Hawa CCM kuna siku wataleta vita.
 
Waweza kuwa na akili lakini zikawa kama za mbuzi. Hujaelewa hawa wamesema nini?
 
Nyie ndio mpaka mmeshtukiana kwa huu uchawa wenu. No points at all zaidi ya kubwabwaja
Your browser is not able to display this video.
 
Shetani bado yupo kazini ktkl harakati za kuharibu kazi za watu wa Mungu.
Poleni sana CDM, poleni sana watetezi wa raslimali za nchi, Mola yupo na nanyi na shetani hajawi kuwashinda watu wa MUNGU>
 
Masheikh na waislamu wenzangu kwa ujumla kuweni makini kipindi hiki.
 
Jama awakijuwa kua kulikua na kamela ya sisitivi kwenye hiyo ngari na wamelekodiwa
 
Usikurupuke kujaza upuuzi wako humu katika mambo mazito. Sikiliza ili.
KIUTARATIBU HATA HAWA CCM,KATIKA MAONGEZI YAO WANA KOSA FULANI,LAKINI SI KATIKA KUWA TUHUMU MOJA KWA MOJA,KUWA KAMA WAHUSIKA,KILA KITU KINA MIPAKA YAKE,TULIACHIE JESHI LETU LIFANYE UCHUNGUZI KWANI WAPO WAHALIFU AMBAO HUTUMIA KAULI ZA WENGINE KUTEKELEZA UALIFU WAO!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…