Chato: Gari la matangazo ya mikutano la CHADEMA lanusurika kuteketea kwa moto

Baada ya Tundu Lissu kusema afadhali sana Magufuli kuliko Rais Samia, na kuwa ataenda Chato kaburini kwake kuongea nae jinsi Samia alivyoharibu nchi, huko Chato ameonjeshwa ladha ya siasa za Kimagufuli baada ya gari alilokuwa akitumia kuchomwa moto
 
Wahuni tu wa Ccm masilahi ndio wanachafua hali
 
Ndio Siasa za Wanaume Jasiri lazima ukaribishwe kiume 🔥🔥😄😂
 
Hayo ni maelekezo yenye ulinzi kwa watekelezaji.
 
Ukhoto We Sizwe kimtindo
 
mzimu wa marehemu umechukizwa na mnafiki na mzindaki huyu..(kwa HIYO alikuwa anakwenda kumkejeli marehemu,wakati amefariki walijipongeza leo eti ndio wanakwenda kuhani,kama sio unafiki hii ni nini )
 
Kweli hayati hakukosea kumziba mdomo huyo domokaya
 
Ushamba Sana, ukichoma gari, itasaidia nini.
 
Shetani hajawahi kumshinda Mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…