Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Amini kwamba wewe huwezi kunipa taarifa mimi kuhusu chochote hapa tz,lolote lile unalohisi kilijua, mie tayari kitambo.
Ni kweli kabisa unachosema, lakini habari ndio hiyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amini kwamba wewe huwezi kunipa taarifa mimi kuhusu chochote hapa tz,lolote lile unalohisi kilijua, mie tayari kitambo.
Kulikuwa na ulazima wa kutumia risasi kwenye maandamano hayo..?angalia kifo cha mwanafunzi akwilina kilisababishwa na ujeuri wa wanasiasa...hatimaye mtu asiye na hatia akafa, je kama mwenyekiti asinge hamasisha maandamano ha lazima....kifo kinge tokea? hapana. hivyo mambo mengi wanasiasaa wanayafanya kwa kuwatoa muhanga wasio na hatia.....tunataka wawatangulize watoto zao mbele ya maandamano kama kweli wana uchungu wa kukomboa wananchi.
Huwezi ukatuita Washamba tusiostahili kuletewa Maendeleo halafu unakuja kwetu kutuomba kura apigwe tu hakuna namna!!!Kila mgombea ana haki ya kuzunguka eneo lolote ndani ya Tanzania kwa ajili ya Kampeni, kwani nani mwenye hati miliki ya Chato? Nakumbuka Magufuli alienda Singida eneo alipozaliwa Lissu lakini hakuna aliefanya fujo
Ha ha haa... hawa jamaa akili zao wanazijua wenyewe.Lisu ameamuru barabara ifungwe?!!
Kama nani?
Aliyekamatwa amerusha jiwe amepigika hapohapo... habari anayoSasa kama Lisu alikuwa na umati hao vijana walikuwa elfu ngapi mpaka wakadhibiti umati wote?
Lisu ni debe tupu
Tatizo la mataga ndio hiloSasa kama Lisu alikuwa na umati hao vijana walikuwa elfu ngapi mpaka wakadhibiti umati wote?
Lisu ni debe tupu
Mheshimiwa Tundu Lissu aamuru Barabara ya Chato Kufungwa baada ya wafuasi wa CCM kushambulia kwa mawe msafara wake na kuharibiwa gari la vifaa vya muziki (PA).
Uchaguzi 2020 - Chato: Yaliyojiri Mapokezi ya mgombea Urais wa JMT kupitia CHADEMA, Tundu Lissu
View attachment 1599022
View attachment 1599076
Matusi ya Lisu kwa watu wa chato huwezi kuyaelewa mpaka uchukue akili zako ulizomkabidhi akushikieKwa hiyo lissu amewatukana watu wa chato? Unaweza kuweka hilo tusi alilotukana hapa ?
Hajapigwa na amewaita washamba sasaHuwezi ukatuita Washamba tusiostahili kuletewa Maendeleo halafu unakuja kwetu kutuomba kura apigwe tu hakuna namna!!!
Sawa.Kura halali hilo sahau. Cheki mapolisi wanavyovuruga kampeni, cheki NEC( neck) inavyokaba wapinzani?? Kila mbinu chafu imeshanaza kuwa employed kabla ya uchaguzi
Wewe unayoyaona hayo matusi, kwa nini usiyaweke hapa ili wote tuyaone? Huwezi kuyataja?Matusi ya Lisu kwa watu wa chato huwezi kuyaelewa mpaka uchukue akili zako ulizomkabidhi akushikie
Apigwe tu! Tumechoka na matusi yake.Wewe unayoyaona hayo matusi, kwa nini usiyaweke hapa ili wote tuyaone? Huwezi kuyataja?
Mdahalo kamwe hautakubaliwa na CCM, itajiumbua kwani haitakuwa na majibu kwa hoja za upinzani.Kwenye hoja hata mgombea wao huwa anaogopa anakimbilia kutekana na kupiga watu risasi si bure ndio maana hataki kusikia neno mdahalo ataangamia
Nyinyi huku chini hamuelewi kabisa yanayotokea,wanasiasa huwaaminisha vile wanavyotaka.Siasa ni somo pana sana,achilia mbali swala la kuishabikia kama baadhi ya watu wanavyofanya hapa Jf na huko uraiani😃,anaehusika nayo moja kwa moja, atakwambia.Ni kweli kabisa unachosema, lakini habari ndio hiyo.
Muacheni Lisu afundishwe adabu! Bado 28Wewe unayoyaona hayo matusi, kwa nini usiyaweke hapa ili wote tuyaone? Huwezi kuyataja?
Tukutane 28/10
QUOTE]nimetow nimetoa mfano ila unajitoa ufahamu kwa sababu CCM wote huwa ni wajinga tu kama weweKwahiyo unaona arusha kama yenu
tatizo unajimwambafay nyuma ya keyboard ,ingekuwa live mi nakumudu vizuriMuacheni Lisu afundishwe adabu! Bado 28