Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Ulijiuliza kwa nini walishangilia?Kwa nini iwe yeye na si mwingine?Hapo karma umeigunduaje ufanyaji kazi wake?Hahaha...
Walioshangilia kifo chake wanapata tabu kwelikweli.
Karma is a bitch.
Ulitakiwa usijibu ili uoneshe ulivyonuna.Nimeshakuambia huna credibility ya kunichagulia cha kufanya.
Akili mgando mbona huelewi.
We naye kiazi kwelikweli.Nipe tathimini ya kiuchumi ya ilo daraja refu la busisi , au huko linako elekea Kuna resources gani ambayo itainua uchumi wetu, otherwise ni zawadi kwa mkwe wake kama wanavyosema wengi
Sijawajawahi kuwa serious na ghost kama wewe.Ulitakiwa usijibu ili uoneshe ulivyonuna.
Mna hali ngumu sana, fanyeni kazi viazi nyie.Ulijiuliza kwa nini walishangilia?Kwa nini iwe yeye na si mwingine?Hapo karma umeigunduaje ufanyaji kazi wake?
Mjibu alichokuuliza.Mambo ya mabeberu na malaya umeandika weye.We naye kiazi kwelikweli.
Unaishi kwa maneno yanayosemwa na mafisadi, vyeti feki, malaya, mabeberu na vibaraka wao?
Unatia kinyaa.
Mmeanza kuelewa...Maadhimiisho ya mwaka mmoja wa Uhuru wa mafisadi, wezi na wahujumu uchumi wanaojificha ndani ya nguo za kijani na njano, jembe na nyundo
Labda mbingu ya mungu Zamarindi, yani uuwe watu, utese watu halafu upelekww mbinguni na kadinali Pengo?Yule kwa imani yake na yangu yuko mbinguni alipakwa mafuta ya charisma na Kardinal pengo
na kutubu dhambi zake.
Huu msamaha ni kwa watu wanaoteseka na chuki yao moyoni kwa Magufuli mpendwa.
Mbona una akili kisoda wewe.
Unakwama weye!Liwe somo kwako.Uwe unajipangaSijawajawahi kuwa serious na ghost kama wewe.
Zumbukuku.
Hilo ni swali?Mjibu alichokuuliza.Mambo ya mabeberu na malaya umeandika weye.
Weye unaona ni picha yako hiyo?Hilo ni swali?
Uwe unajibu maswali.Siyo kukwepa kwa vinenoneno vya kuchambulia mchele kibarazani.Mna hali ngumu sana, fanyeni kazi viazi nyie.
Watu wenye roho mbaya na chuki mna shida sana.Mungu ni mwema kwa wote waliompenda na wasiompenda .ila Mungu alimpenda zaidi na alisikia maombi ya wengi ndio maana hayupo.Nchi imekuwa shwari,tuna amani mioyoni mwetu ,watu waliishi kama wako Ukraine why,watanzani walio wengi hawakujua wafanyeje wale waliokua na roho ya "nacist "walishangilia wenzao kufungiwa account, kunyanganywa hela kwa nguvu ,kupotea kwenye mazingira ya kutatanusha na pia kubambikiwa kesi za uhujumu uchumi.Tuanatoa pole kwa familia Mama Janet na Watoto Mungu awape nguvu ila mmepumua sasa hata umenenepa mama yetu ingawa kuondokewa na Mume sio jambo jepesi
Kabla yake mlikuwa mnaishi milele au sasa hivi mtaishi milele?Sherehe ya Leo ni kubwa sana hasa tukikumbuka wapendwa wetu waliouwawa na huyu mtu.
Bora alikufa Tena kifo kibaya