Uchaguzi 2020 Chato: Yaliyojiri Mapokezi ya mgombea Urais wa JMT kupitia CHADEMA, Tundu Lissu

Chadema hakuna mwenye akili hata mmoja wa kang'amua hayo,!

Sasa hivi akili zao zote zipo kwa kigogo, akitoa tu boko haoo wanajaa na kuitisha press
 

..lakini nyinyi si mmesema nyomi hazina maana yoyote?

..pia TL hawezi kushinda kwa ku-ignore kura za kanda ya ziwa.

..hivyo bado naiona busara ya TL kutafuta kura hata Chato ambako ni ngome ya Jpm.
 

Lissu anaungwa mkono na watu wengi mmo. Wanafika kwenye mikutano yake kwa wingi kwa utashi wao wenyewe.

Wewe ndiye unayedhani una akili kuliko hao watu?

Hivi huko Lumumba huwa mnachokonolewa nini kutokuwa na akili vichwani mwenu kiasi hiki?

Ni njaa ya buku 7 peke yake kweli hii?

Incredible!
 
Lissu kahutubia huku ushirombo bukombe kamaliza kaondoka kuelekea chato naimani atafika kwa wakatiii


Watu kama kawaida tulijitokeza kwa wingi haijawahi tokea katika haya mazingira yetu

Kila la kheri Tundulisu ambaye kabatizwa jina leo la KIMILA MASASI yaani mmeza risasi
 
Unajifanya umesahau?? si kasema yeye akiingia madarakani atavunja sheria zote zinazowakataza watu kushiriki mapenzi ya jinsia moja eti yanadhalilisha na kuingilia uhuru wa faragha! we subiri ndoa tu.
Hiyo sheria kuhusu masuala hayo inasemaje? Au unaweza kushare nasi tuione ya mwaka gani na ni kifungu namba ngapi?
 
..lakini nyinyi si mmesema nyomi hazina maana yoyote?

..pia TL hawezi kushinda kwa ku-ignore kura za kanda ya ziwa.

..hivyo bado naiona busara ya TL kutafuta kura hata Chato ambako ni ngome ya Jpm.
Kama ni nyomi hakuna eneo ambalo Lissu na Magu wamesimama halafu Lissu akakusanya watu kushinda Magufuli.

Nyongeza ya hapo Magufuli anapita mamillioni ya wapiga kura njiani waliojipanga kwa sababu hana ratiba ya kusimama maeneo hayo (Mkuu party affiliation aside ngoja nikutafutie video uone Magufuli anapita watu wengi njiani kutokana na tight schedule yake).

Ni hivi ushindi wa Lissu upo JF tu yaani kuna baadhi ya viongozi wa CDM wanamwita Lissu raisi huko Twitter na tunajua mwenye mamlaka ya kumtangaza raisi wa nchi hii ni tume ya uchaguzi na uchaguzi wenyewe bado sasa watu kama hao wakipelekwa Lupango utasikia wanadai wanaonewa.
 
Bora ya hayo twende kukopa, kuliko hili la kutaka vidume tuoane, huko kanda ya magharibi ndio hawayajui tu mambo hayo, labda akagombee Mombasa
Hivi yule aliyekuwa anataka kura za Sugu kisha akamsugue weee pale ulielewa nini? Maana mnaropoka sana mpaka mnajisahau.
Huku kwenye fuvu mmebeba nini?
 
Hili ushahidi ni upi ili tujiridhishe kuwa hawa ni wengi hawa ni wachacheee
 

..Sawa.

..Lakini ili TL ashinde ni lazima apate kura maeneo yote ya Tz, ikiwemo kanda ya ziwa.

..Hiyo ni tofauti na Jpm ambaye anaweza kushinda kwa kutegemea kura za kanda ya ziwa peke yake.

..kuhusu kampeni za Cdm kumuita TL raisi iko hivi; ni kwamba ktk mpambano huu Cdm hawatakiwi kumuogopa Jpm au CCM.

..Ukiona mgombea wa upinzani, anamuogopa, au anamnyenyekea, mgombea wa CCM, ujue huyo hana nia ya kushinda. Hilo nililiona mwaka 2005 wakati Prof.Lipumba anapambana na Jakaya Kikwete.
 
Kwaa Taarifa yako Wanachama wote wa NSSF wanakwenda kumpigia kura LISSU...huu mwaka mtajibeba ni mburura tu asiyejitambua ataichagua sisiemu
 
Unasoma sana JF ebu ongea na wakazi wa (tafuta ndugu zako kabisa) Magufuli ana support Dar kushinda sehemu nyingine yoyote Tanzania.
 
Nakwambia leo Chato lazima tumpopoe na mawe tunamsubiri kwa hamu.

Kama kweli anajiamini akatize Chato aone!
Acha ujinga huo, haki yako iko tarehe 28 Oktoba, 2020 (sasa hivi JPM yuko, Dar, Rungwe Dom, - sasa huku waliko wagombea wakipopolewa mawe tutakuwa na uchaguzi tena)??????

In short hulazimishwi kuhudhuria mkutano na hulazimishwi kumpigia kura 28/10 vice versa to other contesters
 
Unajifanya umesahau?? si kasema yeye akiingia madarakani atavunja sheria zote zinazowakataza watu kushiriki mapenzi ya jinsia moja eti yanadhalilisha na kuingilia uhuru wa faragha! we subiri ndoa tu.
Weka hapa clip aliyosema maneno hayo na nakuhakikishia kila nitakalo andika hapa JF nitatanguliza na neno " shikamoo Umslopagazi "
 
Lussu anatakakumexpose Yohana kuwa pamoja na kupeleka taa za barabarani na Uwanja wa ndege bado watu wanataka mabadiliko. Wanataka Uhuru, Haki na Maendeleo!!
 
Unasoma sana JF ebu ongea na wakazi wa (tafuta ndugu zako kabisa) Magufuli ana support Dar kushinda sehemu nyingine yoyote Tanzania.

..ninachosema mimi ni kwamba TL hana "luxury" ya kuchagua wapi apige kampeni na wapi asipige.

..TL na Cdm wanatakiwa wapige kampeni maeneo yote kama wana nia ya kweli ya kushinda uchaguzi.
 
Aiseee huna akili kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…