MENGELENI KWETU
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 9,552
- 24,166
Sikiliza wee zezeta..Unatembeleaje uwanja unaouponda kila siku? Aende akatembelee na traffic lights.
Airport ya chato imejengwa kwa kodi za watanzania..
Lissu na mtu yoyote ana haki ya kwenda kuangalia nini kilichofanyika kwa kodi yake katika hii Airport..
Jitambue kabla haujaanza kuokota makopo.
Unatembeleaje uwanja unaouponda kila siku? Aende akatembelee na traffic lights.