Uchaguzi 2020 Chato: Yaliyojiri Mapokezi ya mgombea Urais wa JMT kupitia CHADEMA, Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 Chato: Yaliyojiri Mapokezi ya mgombea Urais wa JMT kupitia CHADEMA, Tundu Lissu

Kwa mujibu wa sheria ya uchaguzi ratiba ya kampeni inayotolewa ni kwa ajili ya wagombea kufanya mikutano siyo kutembelea maeneo mbalimbali kukagua miradi.

Sasa inapotokea mgombea wa urais anatangaza kwamba wakati wa mkutano wake ataenda kukagua mradi fulani hii inamaanisha nini?

Na tena anaenda kukagua mradi Ni Yeye kama nani?

Je, tume ya uchaguzi ikimfungia siku 7 atalia ameonewa?

Maendeleo hayana vyama!
 
Sasa hivi Lissu anahutubia kakikundi ka vijana na watoto wa wanachadema leo sijasikia neno nyomi, zaidi ya wale makamanda wanaosafirigi na mabasi siku 1 kabla kutoka Tarime, Kagera, Mbeya na Arusha wanaokuaga wanashangilia hata akiachia ushuzi wao wanapiga kelele
Usiku mmeenda kuchoma nyumba ya katibu mnatumia Polisiccm kuwatisha watu usifikiri Dunia haijui ujinga wenu na wako binafsi wa kuvuta Bangi kisha kuja kusumbua watu mitandaoni
 
Katumia vibaya Sana Kodi zetu
1.Kupambana na upinzani badala ya kupambana na shida zetu
2.Kununulia kina makarai, waitara, juakali, Kalanga
3.Kurudia chaguzi feki za kupita bila kupingwa akiwa ndie muasisi wa Mambo ya kupita bila kupingwa.
4.Kujenga uwanja wa ndege na mahoteli kijijini kwake
5.Kumiliki magaidi wasiojulikana ili kuteka watu kuwalawiti kuwatesa kisha kuwatupa kwenye viroba hizi si tabia za kitz.
6.kubambikwa kesi za uhujumu wote wasio na chapa
7.kugharamia mamisafara ya kwenda kuzindua vyoo, stand, nk
8.kujenga na kununua visivyo lazima kwa sasa sababu tayari vina mibadala yake.
9 Kupropaganda watu kwa kuwalipa kina mulaga wadhalilishe watu na kuimba kwaya za kuabudu.
 
Hapo chato kuna kero manyanyaso mengi mno ndiyo maana maccm yanahaha kumhujumu Tundu lisu akose umakini wa kuongea vizuri
Ccm haikubaliki Chato jamaa alipita bila kupingwa kwa kumfanyia figisu mgombea wa chadema kwa kushirikiana na mkurugenzi ajjifiche Hadi mda wa kurejesha form ukapita yeye ndo muasisi founder wa uhuni huu wa kupita bila kupingwa haya ni copy na paste.
 
Updates zimeishia saa4 halafu UZI unadai ni LIVE UPDATES[emoji55]
 
Mapungufu halisi hayana shida, ninavyowajua CCM watayafanyia kazi. Lakini mapungufu ya uzushi, fitina, uongo nakadhalika hayo lazima yapuuzwe!!!
Wewe ni mnufaika wa trilion 1.5 mkamtoa CAG kafara, Wewe ni mnufaika wa tenda ujenzi chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge, Wewe ni mnufaika wa bilion 12 alizotumia Ndungai kujitibu india, Wewe ni mnufaika wa zile Noa za mikataba mipya ya madini ambayo ni siri yako na siri ya mtukufu magufuli, wewe ni mnufaika wa 10% ununuzi wa Ndege kwa cash , ujenzi wa bwawa la umeme, SGR na miradi yote mikubwa, huwezi kuwa mnufaika wa utawala huu dhalimu wa kidikteta lakini utetezi Tumbo lako uendelee kufaidi ufisadi wenu mkubwa.
 
Ilani ya CCM ya sasa ni uonevu uovu unyanyasaji kuwabambikia kesi kuwapiga risasi wakosoaji wote, kwa sasa maccm yote yanaishi kwa kukariri zidumu fikra zisizo sahihi za mtukufu mwenyekiti wa CCM
Nimesema badilisha hiyo avatar kwanza afu urudi hapa.
 
Matusi ni mtu aliyefirisika kiakili nakupa jibu.
Faida 5 za uwanja wa chato kwa wanachato.maana wenye kumudu kupanda ndege ukifanya sensa upati hata watu 10.
1.Kujifunzia kuendeshea bodaboda,
2.kuanikia mazao
3.kuchungia mifugo
4.kuvutia
5.kufanyia mazoezi ya watu wawili usiku
Tundu Lisu ndivyo alivyokufundisha hivyo?
 
Aliyekwambia shida kubwa ya wananchi Wa Chato ni uwanja wa ndege nani? Uwanja wa ndege anauhitaji zaidi Magufuli mwenye uwezo wa kupanda ndege bure, wakazi wa Chato wanahtaji maji safi, huduma bora za afya, usafiri wenye gharama rafiki nk. Sasa hii Gbadolite International Airport inawasaidia nini watu wasio na uwezo hata wa Milo 3 ya uhakika kwa siku?
Umewahi kusikia Lissu akichallenge ujenzi wa Hospitali ya Rufaa Chato?
Yaani mwanao hana viatu vya kuvaa kwenda shule, ghafla unamnunulia baiskeli ya kuchezea?
Sidhani kama hivyo viwanja vingine kama Nyerere, Kia, Mwanza n.k wananchi ndio waliamua viwepo kule, au ndio yalikuwa mahitaji yao kwa kipindi hicho.
 
Sidhani kama hivyo viwanja vingine kama Nyerere, Kia, Mwanza n.k wananchi ndio waliamua viwepo kule, au ndio yalikuwa mahitaji yao kwa kipindi hicho.
wananchi huamua kupitia mijadala ya Bunge, ambayo hufanywa na wawakilishi wao, yaani wabunge, na ukitaka majibu juu ya hilo nenda kwenye hansadi za bunge.
 
Kwa mujibu wa sheria ya uchaguzi ratiba ya kampeni inayotolewa ni kwa ajili ya wagombea kufanya mikutano siyo kutembelea maeneo mbalimbali kukagua miradi.

Sasa inapotokea mgombea wa urais anatangaza kwamba wakati wa mkutano wake ataenda kukagua mradi fulani hii inamaanisha nini?

Na tena anaenda kukagua mradi Ni Yeye kama nani?

Je, tume ya uchaguzi ikimfungia siku 7 atalia ameonewa?

Maendeleo hayana vyama!

Hizi porojo kuna muda huwa zinawasaidia, sio wakati wote.... kwahiyo inahitajika kuwa nani ili utembelee Burigi au Chato I.A?

Hata NEC kuna muda wanajuta kuwabeba, aibu hizi mlamu!
 
Back
Top Bottom