Uchaguzi 2020 Chato: Yaliyojiri Mapokezi ya mgombea Urais wa JMT kupitia CHADEMA, Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 Chato: Yaliyojiri Mapokezi ya mgombea Urais wa JMT kupitia CHADEMA, Tundu Lissu

Nahisi watamzuia kutembelea huo uwanja.Na kwakuwa huko ni nyumbani kwa mgombea yule,nina wasiwasi pia anaweza fanyiwa hujuma katika kampeni zake huko lengo kuhakikisha hapati watu au ashindwe kuhutubia.

Ni imani yangu Lissu haendi kufurahia uwanja,bali anaenda kufanya tathimini physically ya huo uwanja kwa kuingilia kilichojengwa (kupata picha ya kilichojengwa) na ulazima wake pamoja na umuhimu wa kujenga uwanja katika eneo hilo.

Ushauri:Tundu Lissu vaa helmet muda wote ukiwa huko Chato na kuwaambia wananchi kila mtu awe mlinzi kwa kumtupia macho alie jirani yake katika mikutano na misafari atayofanya huko Chato(kwenye msafara wa mamba, hata kenge wamo).

Nasema hivi kwasababu,teyari dalili zinaonyesha kuwa lolote linaweza kutokea leo hii, hivyo ni bora kuchukua tahadhari zote zinazowezekana kuchukuliwa.
Yan chadema Wana matatizo Sana alaf ni waongo Sana.
 
Chato nzima Imesimama wana Chato wameamua kuthibitisha kuwa Nabii hakubaliki kwenye nchi yake.

Watu wamekesha Barabarani kumsubiri Liasu wafanyakazi wameahidi kutoenda kazini, wafanyabiashara hawafungui Maduka ,Hakika saa ya ukombozi ni sasa.
Awap njooni mtubu mmetukosea Sana Watanzania yan dah
 
Haya matukio ya kufanywa na CCM kisha kudai kuwa ni saccos ndiyo upumbavu ambao wananchi wamewaona CCM ni vilaza watupu, iweje ufanye hujuma kisha chadema akilalamikia hujuma zako unakuja na hoja za kishamba kuwa wanasaka huruma, kama chadema ni saccos iweje kutwa mnashinda mkiwabambikia kesi kesi? Iweje mnawapiga risasi? iweje mnatumia Polisiccm na NECCCM Tumeccm kama chombo binafsi cha CCM? acheni uhuru wananchi wajiamlie wenyewe
Hizo ni fikra zako lakini ukweli ndio huo
 
Kampeni manager pigeni spana za kutosha ili kuibomoa CCM, kwenye hili la fao la kujitoa na kikokotoo hapa ni wizi mtupu wanaoibiwa wafanyakazi baad ya ccm kuifilisi mifuko ya Jamii kwa kula na kunywa michango ya wafanyakazi.

Hili linagusa makundi yote kwenye jamii. Atubaliani na kusubiria ufike miaka 60 ndo upewe chako tena bila riba, michango tu ilitakiwa upewe na riba maana wanazungushia pesa zetu, pia kuhusu kikokotoo hichi kinakwenda waumiza kabisa wafanyakazi iweje ustaafu miak 60 na usipewe chako chote bali unapewa kwa mafungu.
Ndio maana yalipewa jina mafao ya uzeeni. Ukiwa kijana unaweza jituma vyovyote vile ukaishi. Ukifika fainali uzeeni unapewa chako kinakufaa.
 
Hapo chato kuna kero manyanyaso mengi mno ndiyo maana maccm yanahaha kumhujumu Tundu lisu akose umakini wa kuongea vizuri
Pigeni makele magasho nyie tuwajibu baadae saa hizi tuko live tunafuatilia gawio la b 100 toka Barrick bila kushitakiwa MIGA kama mlivyoaminishwa na mwanasheria uchwara Lissu.
 
Usiku mmeenda kuchoma nyumba ya katibu mnatumia Polisiccm kuwatisha watu usifikiri Dunia haijui ujinga wenu na wako binafsi wa kuvuta Bangi kisha kuja kusumbua watu mitandaoni
Sasa hivi tuko live kwanza tupokea bil 100 toka Barrick na hatujashitakiwa MIGA, Magufuli oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Kila mgombea ana haki ya kufanya campaign zake popote ndani ya Tanzania na kuakikishiwa usalama wake na polisi.

Halikadhalika wagombea nao inabidi wawe na busara si rahisi kukuta mgombea wa Democrat/Labour/Left au Republican/Conservative/Right; anapoteza muda wake kwenda kufanya campaign kwenye maeneo ambayo ni traditionally strong hold ya upande mwingine.

Na kwa hizi nchi zetu za kiafrica ndio kabisa ukienda strong hold za mshindani wako unaweza ata waletea matatizo hao watu watakao kuandalia huo mkutano, kwa mtu mwenye busara hakuna ulazima wa kufika huko ata kama ni haki yake.

Huyu mtu anahitaji msaada wa kiakili msichukulie poa; as days go anaonyesha jinsi gani anavyosukumwa na hasira katika maamuzi yake badala ya logic.
 
Tuonenesheni picha za mkutano sio maneno ya mtandaoni tuh
Kuna watu basi!! ana kakikundi kake anakosafirishaga siku moja kabla ka vijana toka mikoa mbalimbali wanatanguliaga na mabasi, we fuatilia kwa wamiliki wa mabasi njia anayokwenda Lissu siku moja kabla usafiri unapata kwa shida, wananunuaga tiketi kibao! sasa sijui wanamdanganya nani!! maana siku ya kupiga kura kila mtu anapigia alikojiandikishia ndio watasema oooh tumeibiwa tulikuwa wengi kwenye msafara, yaani wanajitekenya na kucheka wenyewe
 
Hii hesabu feki. Tanzania ni kubwa sana, hakukuwa na sababu ya Lissu kurudi kanda ya ziwa mara ya tatu. Anapoteza muda wake na resources, wasukuma hawezi kuacha kumpa kura mtu wao.

Unashauri awe anapumzika pumzika kama jiwe ili asipoteze muda wake na resources?
 
Kila mgombea ana haki ya kufanya campaign zake popote ndani ya Tanzania na kuakikishiwa usalama wake na polisi.

Halikadhalika wagombea nao inabidi wawe na busara si rahisi kukuta mgombea wa Democrat/Labour/Left au Republican/Conservative/Right; anapoteza muda wake kwenda kufanya campaign kwenye maeneo ambayo ni traditionally strong hold ya upande mmoja.

Na kwa hizi nchi zetu za kiafrica ndio kabisa unaweza ata waletea matatizo hao watu watakao kuandalia huo mkutano, kwa mtu mwenye busara hakuna ulazima wa kufika huko ata kama ni haki yake.

Huyu mtu anahitaji msaada wa kiakili msichukulie poa; as days go anaonyesha jinsi gani anavyosukumwa na hasira katika maamuzi yake badala ya logic.
Hicho ulichokiandika ni kitu cha kipumbavu kwa 100%.
Hivi unajua nini maana ya kampeni?
Unataka kura, basi nenda kwa watu kawashawishi wakupe kura. Hakuna chama chenye mamlaka wala haki ya kumzuia mtu au watu kwenda maeneo fulani.
 
Back
Top Bottom