kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,695
- 20,633
Mimi hapa mkuuWe uliwahi kukusanywa kwa nguvu??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi hapa mkuuWe uliwahi kukusanywa kwa nguvu??
[emoji16] dhambi ya bure hii kisa upumbavuLissu mbona anazunguka na watu wale wale angalia video zake, wanatangulia na mabasi siku 1 kabla, mnadhani hatujui
Uko sahihi kabisa na ninafikiri waTz wote wenye akili timamu hakuna anayeweza kushangilia uhuni huu uliofanywa Chato, na kwa hakika ni aibu kwa Magufuli (kama anayo hulka ya aibu).Binafsi si support physical attacks kwa raia wala kiongozi yoyote kwa sababu za siasa.
Baada ya kusema hayo lazima tuelewe Tanzania ni kubwa sana na watu wake wana viji culture vinavyopishana in terms of what they can tolerate kutokana na maeneo yao...
Tumia akili izo kidogo ulizonazoHakina fujo zozote bali nilichiona ni watu wa huko hawatak kumsikiliza lissu
Za nini mbona mburahati hakuna?Picha na video za kwenye mkutano hakuna, zipo wakati wanaondoka!
Kuna shida mahala
Kuliko walivyotukanwa kagera?Lisu anaenda chato kufanya nini wakati kila siku anawatukana?
Ipo siku utapigwa mawe pia hauna hati miliki ya nchi kijana unajisifia kuanzisha fujoLissu ulifikiri CHATO ni pa kispotispot ??Nilikuonya tangu asubuhi kuwa makini unavyoingiw CHATO Umeona sasa yaliyokukuta ???
Yaani umepopolewa na mawe ya kutosha shenzitype yaani ulikuwa unatafuta kick CHATO.
Ata mmeo kapataNafikri Lissu imepata jibu chato siyo Singida.
Hii hesabu feki. Tanzania ni kubwa sana, hakukuwa na sababu ya Lissu kurudi kanda ya ziwa mara ya tatu. Anapoteza muda wake na resources, wasukuma hawezi kuacha kumpa kura mtu wao.
Basi kanywe soup mwanafamiliaYeye si alisema anaenda kumdharirisha Magufuli Nyumbani kwake na mimi nikasema akifanya hivyo CHATO hatatoka salama na imekuwa hivyo.
Hairusiwi kimataifa toka mashamba I ya kigaidi Marekani viwanja vyote vya ndege duniani unaenda ukiwa unasafiri au unadindikiza msafiri Huwezi kwenda kutalii sio mbuga ile ndio maana zamani uwanja wa Ndege wa Dar es salaam tulikuwa tukienda kutalii unapanda juu hata harusi tukienda nazo lakini vyote vilipigwa marufuku .Hivyo Huwezi kwenda eti nakuja kutalii sisafiri Wala Nini nakuja tu kutalii
Sawa mwanafamilia wa rais unauchungu kweli na mzeeKwenda zenu mlitaka kupata umaarufu CHATO !!
Nilisema hapa asubuhi akienda huko kuongea shombo atapopolewa na mawe na ndivyo ilivyotokea.
Mashoga warusha maweHahahahaha yaani leo aibu yenu mtaongea mengi hadi mtamalija, iko hivi CHATO siyo sehemu ya mashoga.
Ingekuwa kujaza watu ndo kushinda ni dhahiri Lowasa angakuwa Rais, Mrema angakuwa Rais, Lipumba enzi za ngunguli angekuwa Rais. Tukutane kwenye ballot box tuna hasira na uchungu wa nchi hii. 5 tena.
Hilo ndo swali kuu.Bila kupata majibu ya swali hilo yote yanayofanyika sasa ni kazi bure but let's hope Tume itamtangaza yeyote atakayeshinda.
Sijaelewa KAMANDA!! anachomewa nyumba? KAMANDA huwa ni mtu hatari si rahisi hivyo.
Lakini kama kawaida yenu Chadema kutengeneza matukio kutafuta kick za kisiasa kila mkiona haziendi mnatumia mioto utasikia ohh ofisi ya Chadema YACHOMWA moto ohh moto moto.
Hizo picha zenyewe za moto na kubomelewa mmmmm zinatia shaka
Mwana kulitafuta mwana kulipata.....ngoja tuone!
Walimuita mwitongo kabisa kina madarakaaende na Butiama amwite walimu muovu aone kama atatoka salama
Hakuna mtu mwenye support ya 100% aijawahi tokea ata nyumbani kwao.Uko sahihi kabisa na ninafikiri waTz wote wenye akili timamu hakuna anayeweza kushangilia uhuni huu uliofanywa Chato, na kwa hakika ni aibu kwa Magufuli (kama anayo hulka ya aibu)...