China inaongoza kwa ulaji wa nyama ya Nguruwe Duniani

China inaongoza kwa ulaji wa nyama ya Nguruwe Duniani

🤝🤝 Kumbe kitimoto hana shida yeyote nikumpika tu vizuri
Anyway nitamtafuna kwa nsije wakwaza ndugu katika imani inshaallah.
Mkwe wangu alikuja kunitembelea, akakuta nakula kitu cha rangi ya dhahabu, ilibidi imani aiweke pembeni na kujongea mezani.
 
Kilichofuata nguruwe walikimbia baada ya kuingiwa na mapepo na ndo maana kwenye sadaka za kuteketezwa walikuwa wanatoa mwanakondoo,hawakuwahi kutoa nguruwe kama sadaka,na ndo maana hata now mfano,sijawah kuona ata mtu kaenda kutoa mahari akapeleka nguruwe
Luka 8 : 32 - 33

Palikuwa na kundi kubwa la nguruwe hapo
karibu wakilisha kando kando ya mlima. Wale
pepo wakamsihi Yesu awaruhusu wawaingie
hao nguruwe. Akawaruhusu.
Kwa hiyo wakamtoka yule mtu
wakawaingia wale nguruwe. Kundi lote la
nguruwe likatimka mbio katika ule mteremko
mkali wakatumbukia ziwani na kuzama.

----

Mzee unasali kanisa la Irene Uwoya nini?
 
Nchi ya China ndiyo inayoongoza Kwa wananchi wake kwa ulaji wa nguruwe duniani.

Inakadiriwa wananchi wa China hula wastani wa kilo 70 za kitimoto kwa mwaka.

Nchi namba mbili ni Belarusia Ikifuatiwa namba tatu na Korea ya kusini, Jumuiya Ulaya na Vietnam kwa pamoja.

Kwa Afrika, Afrika ya Kusini ndiyo nchi inayoongoza kwa ulaji wa kitimoto.
Nihamie huko nami nipate fursa ya kuonja nini?
 
Nchi ya China ndiyo inayoongoza Kwa wananchi wake kwa ulaji wa nguruwe duniani.

Inakadiriwa wananchi wa China hula wastani wa kilo 70 za kitimoto kwa mwaka.

Nchi namba mbili ni Belarusia Ikifuatiwa namba tatu na Korea ya kusini, Jumuiya Ulaya na Vietnam kwa pamoja.

Kwa Afrika, Afrika ya Kusini ndiyo nchi inayoongoza kwa ulaji wa kitimoto.
Kitimoto hoyeeee
 
Nchi ya China ndiyo inayoongoza Kwa wananchi wake kwa ulaji wa nguruwe duniani.

Inakadiriwa wananchi wa China hula wastani wa kilo 70 za kitimoto kwa mwaka.

Nchi namba mbili ni Belarusia Ikifuatiwa namba tatu na Korea ya kusini, Jumuiya Ulaya na Vietnam kwa pamoja.

Kwa Afrika, Afrika ya Kusini ndiyo nchi inayoongoza kwa ulaji wa kitimoto.
Ukifuatilia kwa makini nchi zote ambazo watu wake wanatafuna Mbuzi katoliki zina maendeleo makubwa na wananchi wake wana afya bora.
 
China wana dini 5, buddhism, taoism,christia (protestant na catholics), na islam

Japo kubwa zaid ni buddhim na taoism zaidi sababu ya culture yao
Check facts zako kwanza
China ina idadi ndogo sana ya watu wenye kuamini dini , wachina wengi ni atheists na hawaamini masuala ya dini
 
Back
Top Bottom