std7
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 2,293
- 3,928
Walai bilahi sheikh mpaka nimemeza mate.Ndio nipo nakitafuna hapa; huyu kiumbe ni mtamu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walai bilahi sheikh mpaka nimemeza mate.Ndio nipo nakitafuna hapa; huyu kiumbe ni mtamu sana
Kwani nini kilifata? 😀😀Malizia hiyo story. Baada ya kuyatupia mapepo nini kilifuata?
Acha ubabaishaji wewe.Majini yalibaki kwa nguruwe hayakutoka
😀 😀 😀 mkuu kula usisikilize maneno ya watu, maisha ni haya hayaWalai bilahi sheikh mpaka nimemeza mate.
Mpende jirani yako kama unavyojipenda wewe😆😆😆😆 Shindwa pepo
Wale nguruwe wote walikimbilia baharani wakafa huko.Kwani nini kilifata? í ½í¸í ½í¸
🤝🤝 Kumbe kitimoto hana shida yeyote nikumpika tu vizuri😀 😀 😀 mkuu kula usisikilize maneno ya watu, maisha ni haya haya
Mkwe wangu alikuja kunitembelea, akakuta nakula kitu cha rangi ya dhahabu, ilibidi imani aiweke pembeni na kujongea mezani.🤝🤝 Kumbe kitimoto hana shida yeyote nikumpika tu vizuri
Anyway nitamtafuna kwa nsije wakwaza ndugu katika imani inshaallah.
Luka 8 : 32 - 33Kilichofuata nguruwe walikimbia baada ya kuingiwa na mapepo na ndo maana kwenye sadaka za kuteketezwa walikuwa wanatoa mwanakondoo,hawakuwahi kutoa nguruwe kama sadaka,na ndo maana hata now mfano,sijawah kuona ata mtu kaenda kutoa mahari akapeleka nguruwe
Nihamie huko nami nipate fursa ya kuonja nini?Nchi ya China ndiyo inayoongoza Kwa wananchi wake kwa ulaji wa nguruwe duniani.
Inakadiriwa wananchi wa China hula wastani wa kilo 70 za kitimoto kwa mwaka.
Nchi namba mbili ni Belarusia Ikifuatiwa namba tatu na Korea ya kusini, Jumuiya Ulaya na Vietnam kwa pamoja.
Kwa Afrika, Afrika ya Kusini ndiyo nchi inayoongoza kwa ulaji wa kitimoto.
Kitimoto hoyeeeeNchi ya China ndiyo inayoongoza Kwa wananchi wake kwa ulaji wa nguruwe duniani.
Inakadiriwa wananchi wa China hula wastani wa kilo 70 za kitimoto kwa mwaka.
Nchi namba mbili ni Belarusia Ikifuatiwa namba tatu na Korea ya kusini, Jumuiya Ulaya na Vietnam kwa pamoja.
Kwa Afrika, Afrika ya Kusini ndiyo nchi inayoongoza kwa ulaji wa kitimoto.
Hayaaa…Wale nguruwe wote walikimbilia baharani wakafa huko.
Sheikh wangu anataka kuwaingiza watu chaka.
Ukifuatilia kwa makini nchi zote ambazo watu wake wanatafuna Mbuzi katoliki zina maendeleo makubwa na wananchi wake wana afya bora.Nchi ya China ndiyo inayoongoza Kwa wananchi wake kwa ulaji wa nguruwe duniani.
Inakadiriwa wananchi wa China hula wastani wa kilo 70 za kitimoto kwa mwaka.
Nchi namba mbili ni Belarusia Ikifuatiwa namba tatu na Korea ya kusini, Jumuiya Ulaya na Vietnam kwa pamoja.
Kwa Afrika, Afrika ya Kusini ndiyo nchi inayoongoza kwa ulaji wa kitimoto.
China ina idadi ndogo sana ya watu wenye kuamini dini , wachina wengi ni atheists na hawaamini masuala ya diniChina wana dini 5, buddhism, taoism,christia (protestant na catholics), na islam
Japo kubwa zaid ni buddhim na taoism zaidi sababu ya culture yao
Check facts zako kwanza
😀 😀 😀 nilitaka kesho nichinje nguruwe wangu nikuletee maini, kwa kuwa umeniita pepo nitakuletea utumbo wake tu.Hadi babu Grahams ka like huoni kama kaniunga mkono,,,, Shindwa pepo tena
Nguruwe wako umesema 😆😆haya sawa😀 😀 😀 nilitaka kesho nichinje nguruwe wangu nikuletee maini, kwa kuwa umeniita pepo nitakuletea utumbo wake tu.