issenye
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 3,788
- 5,217
Maana hiyo ni kuwa zile kauli za kuwa tunajenga kwa hela zetu wenyewe za ndani, hatuhitaji mikopo/misaada ya mabeberu, sisi ni dona kantre toka kwa mwenyekiti wako ilikuwa ni porojo?Unaanzaje kukataa msaada?? Utakuwa unaakili?? Tumie basi ubongo wenu hata mara moja moja sio mbaya