Uchaguzi 2020 China yaionya USA juu ya uchaguzi wa Tanzania 2020

Marekani atii amri kwa China????πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Unachekesha wewe!! Yaani hawa ambao kiwanda cha Urafiki tu kimewashinda kukifufua ndo Marekani atii amri kwake??? Yeye tu anahangaika sasaivi na sanctions za kiuchumi kutoka Marekani
 

uchaguzi wenyewe uko funded na serikali 100%, sasa wao wanataka wahusike vp , i wonder
 
Wewe jamaa muongo sana
Pakistan na Israel zigombanie nini?
Pakistan ni kibaraka wa USA katika maslahi ya central Asia (Iran ,Afghanistan, Oman,UAE ,baharein,Bangladesh nk).
Pakistan anauhasama na India japo wote ni wa USA.
Huyo Russia unaemuongelea hata humjui ,rais Putin mwenyewe nyuma ya upara ameandikwa 'made in tel Aviv'
Irani ayatollah chini ya ndevu zake ameandikwa "made in England"
Sasa wewe mwarabu wa kwa mtogole unabisha tuu
 
Ficha ujinga wako.famba wewe ume andika nini sasa hiki..
 

hapa umenena
 

hahha just shutup tu, hili lilotokea leo nililitabiri probably 3 days back, and i know whats happening! kuna mtu nlibishana nae nkamwambia china ataingilia kati tukabishana na news imetoka, so you better shut up maaana huelewi mambo yanaenda vp, let me check kama ntaiona hio post tena
 
Unaongea kana kwamba America haina washirika na unavyosema haina silaha kama urusi na China bado sijakuelewa
Lakini America ina uchumi mkubwa na akili kubwa pia kiasi cha kumiliki teknolojia zenu ulizotaja hapo
nini kuhusu vita?
Changanya China na urusi pamoja bado hazifikii uchumi wa America
Yote kwa yote hakuna nchi itakayoingia vitani kwa sababu ya tanzania

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Marekani wafanye yao watuachie nchi yetu. Hatukupandisha bendera 9 Dec ili tuendelee kupangiwa nini tufanye na nini tusifanye na mabeberu.
Mbona munadaka hela zao kila saa na dakika? ukila na wewe utaliwa tu, US wafanye hima kuchukua hatua na mapema tayari kuna viashiria vibaya
 

hahaha, ebu wacha nkupe brush up kwanza maaaana uko blank



niendelee ama niishie apa, sasa fanya research apa utajua kwann kuna balistic missles
 
Yaani wewe hujui kuwa maccm ni mademu ya vichina? Vimeona danga lake maji ya shingo ndo vinapayuka .Unajua kwa Nini maccm yalishupalia kuita Lissu kibaraka,jibu ni hili,kwa Mara ya kwanza toka uchaguzi wa vyama vingi maccm yalipoteza uungwaji mkono wa West na sasa West wanehamia upinzani maana milengo ya kina Magu ni kwa vichina huku upinzani ukiwa na mlengo wa itikadi na sera zinazoegemea West ko ni ishu ya kambi ya Marekani na washirika wake vs Urusi/China na washirika wake ndio ya kufaidi Mali za Afrika na kueneza itikadi zao.
Sasa Mara mia kuwa na West kuliko hao wapuuzi,saizi wansichakata Zambia wanavyojiskia.
 
Hivi we jamaa, unadhani hapa wote ni wajinga kama wewe ?, yaani huoni hata haibu kuongea huu ujinga !!
 
Beberu mwingine anatetea,kufadhili na kuushupalia ushoga........mkatatuliwe wenyewe hizo ringi.........
Huu ujinga mkawadanganye wake zenu,Ushoga and the likes inachukuliwa Kama maisha binafsi ya mtu na sio sera ya nchi ndio maana huko huko USA Republican hawaungi mkono mambo ya Ushoga vs Democrats wanaounga mkono,so ustawi wa maisha ndio mambo ya muhimu kuchakatwa Malinda ni ishu yako binafsi hairuhusu,hata sasa kuna watu wanatatuliwa Malinda na watatuzi ni nyie wenyewe sasa mumewafanya nini? Mtaanza kupita kwenye vyumba vya faragha by watu kukagua au?
 



kuna mtu nlimwambia jana hili swala, and limetoka,
Uchaguzi 2020 - Dkt. Magufuli: Jina Langu Lipo Namba Moja, Usihangaike Kuangalia Kwingine

link hii apa, your still a kid dogo kwenye izi taarifa
 
Dictatorial regimes in place and entrenchment.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…