Sahiv ni mwendo wa kunyang'anyana maeneo tu. Soon utasikia lile toto la Mseven linasema linaitaka kagera yake ๐
Soma historia wale walikuwa nchi moja ndugu na china anatakiwa achukue nchi nyingi tu jirani zakeChina anashangaza sana.
Kwani ni Lazima Taiwan iwe sehemu yake.
wamuuue kabisa maana wameshazionea nchi nyingi sanawatampa uchizi Biden hawa
Speech za Putin zipo wazi!Alisema NI operation ya cku Sana!
Hawakurupuki hao,,,,,hujui huko ndo alipotokea masta mwenyewe Sun Tzu ,wazee wa art of war......hao sio barbarians kama wamagharibiNancy Pelosi Alikwenda Wakafyata
Akileta nitagSpeech za Putin zipo wazi!
Tupe ushahidi!
Walikua wana andaa mazingira haya ya sasa ila wajinga hawaezi elewaHawakurupuki hao,,,,,hujui huko ndo alipotokea masta mwenyewe Sun Tzu ,wazee wa art of war......hao sio barbarians kama wamagharibi
Hawa wanadhani kila nchi inakurupukia vita kiboya kama zilivyo nchi za magharibiWalikua wana andaa mazingira haya ya sasa ila wajinga hawaezi elewa
Kwamba hajawai kupigwa Vita au hapigiki au vip?USA sio kama warabuni mazee!
Nadhani anaona autumie muda huu maana anahisi Marekani ana mambo mengi yakumuweka busy mfano Ukraine, Israel na Middle East kwa ujumla.Nae kaona apigepige biti kaona wenzie wanakiwasha
Ni kwamba unajitoa ufahamu au?Speech za Putin zipo wazi!
Tupe ushahidi!
Yote mia mimi nataka haraka sana turudishe maeneo yetu yaliyomegwa kutoka Tanganyika baada ya vita vya kwanza vya dunia. Haraka sana nataka tuirudishe majimbo ya Rwanda, Burundi na Kionga Triangle ndani ya Himaya ya Tanganyika Kuu.Tumia akili tsiwani ni china toka zamani au ujui historia..pia kuiacha taiwani kama ilivyo ni kumweka adui USA mlangoni mwa nchi yake .
Nalikumbuka lile biti aisee. Pamoja na mazoezi yoote kwenye pwani ya Taiwan lakini bado Pelosi akatua na kuondoka salama๐๐Mchina nilimtoa maanani kipindi kile alichochimba biti kuwa Spika wa bunge la Marekani asitue Taiwan. Wajuba wakatua, jamaa akaufyata kama sio yeye.
Kwa hiyo waachie tu eneo lao kukufurahisha wewe ?China anashangaza sana.
Kwani ni Lazima Taiwan iwe sehemu yake.