Chongolo: Mbowe ana wajomba zake Nyeri na Zitto baadhi ya baba zake wanakaa Bukavu

Hamkutenda Haki kabisa kutokwenda Kumzika Mwendakuzimu kwao Burundi
 
Kama kweli katibu kasema hivyo , ni aibu sana na amepwaya sana kwenye hiyo nafasi ,
Bora wangesema woropokaji Kama yule wa dodoma na yule Geita
Aonywe mapema aachane na siasa za kijinga
Katibu wa chama anatakiwa aongelee Mambo makubwa na ya maana yenye maslahi ya kitaifa
 
Yaani Tanzania wahamiaji kuanzia wamakua wa Msumbiji akina Membe na Nape Nnauye na Wabembe wa kongo akina Zitto Kabwe nk ndio wanajifanya wazalendo sana kuliko wazawa
 
Kwa taarifa yako hakuna watanzania bali kuna Watanganyika
Anajua neno Tanganyika naona utamsumbua sana Ukifatilia sana Tanganyika utakutakuta ni mtanga na nyika Je watanga na nyika walitokea wapi???
 
Ndugai naye ana asili ya islael ndo Mana kila kukicha anamsakama yesu eti alikuwa na mke
 
Umeshtukizwa nini acha uongo bibie, itakuwa umepitwa sehemu. Hii habari inafahamika kwenye public tangu wakati wa Jiwe. Alipokutana na viongozi fulani wa Oman pale Ikulu, aliwachomekea. Aliwaambia kwamba Makamo wa Rais amemtuma Oman kumuwakilisha na anajua kwamba kule kuna wajomba zake.
View attachment 2265433
View attachment 2265440
 
Lakini mbowe na zitto hawajawahi kutumia rasilimali za nchi kwa ajili ya kwenda kusalimia wajomba zao na ikulu kupiga piga na kututangazia, pia hawajawahi kuwafurusha watanzania kwenye maeneo yao kwa ajili ya kuwagawia wajomba zao sehemu ya tanzania
 
"Dhambi ya ubaguzi ni sawa na Kula nyama ya mtu" mkianza izo tabia hamtabaki salama na wanaoharibu hii nchi ni hawa chawa na viongozi wao
 
Ni uvivu wa kusoma history au ni hasadi na udwanzi? Hebu tumieni vyema neema ya akili Mliyopewa na Mola
 
Katibu Mkuu wa hovyo sana kuwahi kutokea pale Lumumba.
 
Mtu kuwa na ndugu nje ya nchi imekua kosa?

Dunia ya leo inabidi kila mtu awe na uraia pacha sio ndugu tu. Kwa akili hizi TZ bado sanaaaaa, hili li nchi bado watu wake wapo zama za ujima kabisa
 
Duh!
 
Labda Ndugai na Palamagamba kwa kuwa wanatokea katikati ya Nchi

Hayati Iddy Simba aliwahi kuzushiwa Mrundi na mashhidi wa Uongo wakataja hadi nyumba aliyozaliwa Bujumbura wakati ni mzaliwa wa Kigamboni
Wengi ni wahamiaji haramu..VP Mpango alipopata Umakamu Rais alipongezwa na Warundi Tena na Serikali yao kabisaa..

Tukitafutana hapa ,wenye Nchi tuko wachache sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…