Chongolo uwe na amani, uchunguzi utafanyika na utatendewa haki. Chama kitaonesha ukubwa wake

Chongolo uwe na amani, uchunguzi utafanyika na utatendewa haki. Chama kitaonesha ukubwa wake

Ccm ni kikundi flan cha wahuni wanaouza nchi na UCHI pia.
 
Kwanza, tunamshukuru Mungu kwa kuzuia hujuma zisizo na huruma kwa CCM yetu baada ya kuepusha kupokwa kwa nafasi ya Katibu Mkuu jana. Shukrani zetu, kama makada waandamizi na wazee wa chama, ni kwa Rais na Mwenyekiti wa CCM Taifa Mama Samia S. Hassan kwa kutusikiliza tulipomshauri cha kufanya.

Hatimaye, Katibu Mkuu wa CCM atapatikana kiutaratibu wa kiustaarabu na adabu. Si majungu ambayo hata Mungu anayapiga rungu. Mwenyekiti wetu, kwakuwa aliomba na kupokea ushauri mashuhuri, amefanikiwa kuukwepa mtego wa kupokwa Ukatibu Mkuu wa CCM.

Uchunguzi umeagizwa ufanyike wakati nafasi hiyo ikikaimiwa na Komredi Anamringi Macha. Uchunguzi wa kina utafanyika kwenye tuhuma zilizoelekezwa kwa Katibu Mkuu Mjiuzulu Daniel Chongolo. Uchunguzi pia utazingatia maelezo yake aliyoyatoa na atakayoyatoa chamani.

Komredi Chongolo, just relax uwe na amani. Kwakuwa Kamati Ndogo ya Uchunguzi imeshaundwa na leo inaanza kazi yake, haki itatendeka. Katika sakata hili la Chongolo, CCM itaonesha ukubwa wake. Haitavumilia chama 'kutekwa' na waroho wa madaraka wenye haraka isiyo na baraka.

Walioratibu mpango dhidi ya Chongolo wanapaswa kujua jambo moja. Chongolo ni mwana wa Serikali na chama. Amefanya kazi ya kutukuka na kusifika Serikalini na chamani. Hawezi kuondoka bila kishindo kikubwa chamani. Ripoti itaanika kila kitu. Ukweli na usio ukweli. Heri au shari.

Katibu Mkuu hatapatikana hadi uchunguzi ukamilike. Wa kusafishwa atasafishwa na wakuwajibishwa atawajibishwa. Hakuna upendeleo wala video kwenye jambo hili. Narudi zangu Kilosa nikifurahi kuilinda nafasi ya Katibu Mkuu kwa ajaye au atakaporejeshwa huyu.

Gekul, yalikuwa ndiyo madaraka ya kulevya?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (safarini kuelekea Kilosa, Morogoro)
Kama unachosema ni kweli,kwanini Mwenyekiti amekubali Barua ya Chongolo kujiuzulu kama ni mwana Mpakwa mafuta wa serikali na Chama!
Kwaiyo aliyetaka kupokea U-Katibu Mkuu ni nani wakati Chongolo mwenyewe yupo kambi ya Wahuni ya Msoga.Mpeni hiyo nafasi Paul Makonda na Naibu Katibu Mkuu awe Polepole na Katibu Mwenezi General Sabaya na Idara ya Organaizesheni Ali Hapi,then muone kazi,makosa tutarekebisha baadaye.
 
Kwanza, tunamshukuru Mungu kwa kuzuia hujuma zisizo na huruma kwa CCM yetu baada ya kuepusha kupokwa kwa nafasi ya Katibu Mkuu jana. Shukrani zetu, kama makada waandamizi na wazee wa chama, ni kwa Rais na Mwenyekiti wa CCM Taifa Mama Samia S. Hassan kwa kutusikiliza tulipomshauri cha kufanya.

Hatimaye, Katibu Mkuu wa CCM atapatikana kiutaratibu wa kiustaarabu na adabu. Si majungu ambayo hata Mungu anayapiga rungu. Mwenyekiti wetu, kwakuwa aliomba na kupokea ushauri mashuhuri, amefanikiwa kuukwepa mtego wa kupokwa Ukatibu Mkuu wa CCM.

Uchunguzi umeagizwa ufanyike wakati nafasi hiyo ikikaimiwa na Komredi Anamringi Macha. Uchunguzi wa kina utafanyika kwenye tuhuma zilizoelekezwa kwa Katibu Mkuu Mjiuzulu Daniel Chongolo. Uchunguzi pia utazingatia maelezo yake aliyoyatoa na atakayoyatoa chamani.

Komredi Chongolo, just relax uwe na amani. Kwakuwa Kamati Ndogo ya Uchunguzi imeshaundwa na leo inaanza kazi yake, haki itatendeka. Katika sakata hili la Chongolo, CCM itaonesha ukubwa wake. Haitavumilia chama 'kutekwa' na waroho wa madaraka wenye haraka isiyo na baraka.

Walioratibu mpango dhidi ya Chongolo wanapaswa kujua jambo moja. Chongolo ni mwana wa Serikali na chama. Amefanya kazi ya kutukuka na kusifika Serikalini na chamani. Hawezi kuondoka bila kishindo kikubwa chamani. Ripoti itaanika kila kitu. Ukweli na usio ukweli. Heri au shari.

Katibu Mkuu hatapatikana hadi uchunguzi ukamilike. Wa kusafishwa atasafishwa na wakuwajibishwa atawajibishwa. Hakuna upendeleo wala video kwenye jambo hili. Narudi zangu Kilosa nikifurahi kuilinda nafasi ya Katibu Mkuu kwa ajaye au atakaporejeshwa huyu.

Gekul, yalikuwa ndiyo madaraka ya kulevya?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (safarini kuelekea Kilosa, Morogoro)
Ccm sio mama wa mtu au baba wa Mtu, Chongolo ili aweze endesha maisha yake sio lazima kuwa ndani ya ccm, na yapo maisha nje ya ccm ,
 
Kwanza, tunamshukuru Mungu kwa kuzuia hujuma zisizo na huruma kwa CCM yetu baada ya kuepusha kupokwa kwa nafasi ya Katibu Mkuu jana. Shukrani zetu, kama makada waandamizi na wazee wa chama, ni kwa Rais na Mwenyekiti wa CCM Taifa Mama Samia S. Hassan kwa kutusikiliza tulipomshauri cha kufanya.

Hatimaye, Katibu Mkuu wa CCM atapatikana kiutaratibu wa kiustaarabu na adabu. Si majungu ambayo hata Mungu anayapiga rungu. Mwenyekiti wetu, kwakuwa aliomba na kupokea ushauri mashuhuri, amefanikiwa kuukwepa mtego wa kupokwa Ukatibu Mkuu wa CCM.

Uchunguzi umeagizwa ufanyike wakati nafasi hiyo ikikaimiwa na Komredi Anamringi Macha. Uchunguzi wa kina utafanyika kwenye tuhuma zilizoelekezwa kwa Katibu Mkuu Mjiuzulu Daniel Chongolo. Uchunguzi pia utazingatia maelezo yake aliyoyatoa na atakayoyatoa chamani.

Komredi Chongolo, just relax uwe na amani. Kwakuwa Kamati Ndogo ya Uchunguzi imeshaundwa na leo inaanza kazi yake, haki itatendeka. Katika sakata hili la Chongolo, CCM itaonesha ukubwa wake. Haitavumilia chama 'kutekwa' na waroho wa madaraka wenye haraka isiyo na baraka.

Walioratibu mpango dhidi ya Chongolo wanapaswa kujua jambo moja. Chongolo ni mwana wa Serikali na chama. Amefanya kazi ya kutukuka na kusifika Serikalini na chamani. Hawezi kuondoka bila kishindo kikubwa chamani. Ripoti itaanika kila kitu. Ukweli na usio ukweli. Heri au shari.

Katibu Mkuu hatapatikana hadi uchunguzi ukamilike. Wa kusafishwa atasafishwa na wakuwajibishwa atawajibishwa. Hakuna upendeleo wala video kwenye jambo hili. Narudi zangu Kilosa nikifurahi kuilinda nafasi ya Katibu Mkuu kwa ajaye au atakaporejeshwa huyu.

Gekul, yalikuwa ndiyo madaraka ya kulevya?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (safarini kuelekea Kilosa, Morogoro)
Kwamba watamtafute huyo dada aliyekuwa anachati naye?
Kwamba CCM itabeba mtu mwenye anafanya nani online?
 
Kama unachosema ni kweli,kwanini Mwenyekiti amekubali Barua ya Chongolo kujiuzulu kama ni mwana Mpakwa mafuta wa serikali na Chama!
Kwaiyo aliyetaka kupokea U-Katibu Mkuu ni nani wakati Chongolo mwenyewe yupo kambi ya Wahuni ya Msoga.Mpeni hiyo nafasi Paul Makonda na Naibu Katibu Mkuu awe Polepole na Katibu Mwenezi General Sabaya na Idara ya Organaizesheni Ali Hapi,then muone kazi,makosa tutarekebisha baadaye.
Makonda ni 'kichaa' (maniac). Huwezi ukampa 'panga' kali kama lile (la ukatibu mkuu) nchi ikabaki salama. 'Atapigisha shoti kila sehemu'.
Even by virtue of age KM anapaswa awe mtu mzima sana. Mtu aliye kwenye miaka hamsini hadi sitini na kidogo.
 
Kwanza, tunamshukuru Mungu kwa kuzuia hujuma zisizo na huruma kwa CCM yetu baada ya kuepusha kupokwa kwa nafasi ya Katibu Mkuu jana. Shukrani zetu, kama makada waandamizi na wazee wa chama, ni kwa Rais na Mwenyekiti wa CCM Taifa Mama Samia S. Hassan kwa kutusikiliza tulipomshauri cha kufanya.

Hatimaye, Katibu Mkuu wa CCM atapatikana kiutaratibu wa kiustaarabu na adabu. Si majungu ambayo hata Mungu anayapiga rungu. Mwenyekiti wetu, kwakuwa aliomba na kupokea ushauri mashuhuri, amefanikiwa kuukwepa mtego wa kupokwa Ukatibu Mkuu wa CCM.

Uchunguzi umeagizwa ufanyike wakati nafasi hiyo ikikaimiwa na Komredi Anamringi Macha. Uchunguzi wa kina utafanyika kwenye tuhuma zilizoelekezwa kwa Katibu Mkuu Mjiuzulu Daniel Chongolo. Uchunguzi pia utazingatia maelezo yake aliyoyatoa na atakayoyatoa chamani.

Komredi Chongolo, just relax uwe na amani. Kwakuwa Kamati Ndogo ya Uchunguzi imeshaundwa na leo inaanza kazi yake, haki itatendeka. Katika sakata hili la Chongolo, CCM itaonesha ukubwa wake. Haitavumilia chama 'kutekwa' na waroho wa madaraka wenye haraka isiyo na baraka.

Walioratibu mpango dhidi ya Chongolo wanapaswa kujua jambo moja. Chongolo ni mwana wa Serikali na chama. Amefanya kazi ya kutukuka na kusifika Serikalini na chamani. Hawezi kuondoka bila kishindo kikubwa chamani. Ripoti itaanika kila kitu. Ukweli na usio ukweli. Heri au shari.

Katibu Mkuu hatapatikana hadi uchunguzi ukamilike. Wa kusafishwa atasafishwa na wakuwajibishwa atawajibishwa. Hakuna upendeleo wala video kwenye jambo hili. Narudi zangu Kilosa nikifurahi kuilinda nafasi ya Katibu Mkuu kwa ajaye au atakaporejeshwa huyu.

Gekul, yalikuwa ndiyo madaraka ya kulevya?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (safarini kuelekea Kilosa, Morogoro)
Mzee Tupatupa please hadi sasa sijajua uchunguzi unafanyika kwa tuhuma zipi, plz assit tujue tuhuma zinazomkabili Mwagito ili na sisi huku Njombe tuzidishe maombi!
 
Mzee Tupatupa please hadi sasa sijajua uchunguzi unafanyika kwa tuhuma zipi, plz assit tujue tuhuma zinazomkabili Mwagito ili na sisi huku Njombe tuzidishe maombi!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Ile sio barua ya kujiudhuru ya kumpelekea mwenyekiti. Ni barua ya kuweka public kujielezea kwanini anaachia nafasi with intentions za kuonyesha CCM hakuko sawa. Ndio maana habari zikafika mitandaoni kabla ya hata CCM kutangaza.

Barua ya kujiudhuru ni breaf kwa kumbukumbu tu za chama. Maelezo mengine yote yale yalitakiwa kuwa private talk kati yake na mwenyekiti.

Kama kuna mambo yalikuwa haya mfurahishi au anadhani kuna njama chafu juu yake KM anawezaje kulalamika mitandaoni kabla ya kupeleka kwa mwenyekiti wafanyie uchunguzi, apime reaction yao kama wapo upande wake au la.

Ni bad move if anything kuachia nafasi na kuweka info publicly kuna verify fikra za ‘bi tozo’ kuna kundi linamipango mengine na yake ndani ya CCM. Sasa mwenyekiti wa CCM na raisi wa nchi akiamua kutumia madaraka yake kawaida hakuna wa kumsumbua.

Watazamaji yetu macho to how this infighting drama will evolve leading up to the general election.

Alichobugi Chongolo ni kutaka jamii yote ijue, kabla ya CCM kutoa tamko, kuonyesha kuna mfarakano.
Makini sana,na aende tu hafai
 
Makonda ni 'kichaa' (maniac). Huwezi ukampa 'panga' kali kama lile (la ukatibu mkuu) nchi ikabaki salama. 'Atapigisha shoti kila sehemu'.
Even by virtue of age KM anapaswa awe mtu mzima sana. Mtu aliye kwenye miaka hamsini hadi sitini na kidogo.
Acha woga dogo
 
Kina Mwigulu Nchemba ndo walioratibu hili.Ukiona mtu anatukanwa na Kigogo 2014 basi jua hapo kuna mkono wa Mwigulu Nchemba.
Mbona waovu ni wengi CCM, tena waovu kuzidi hata shetani mkuu na hawajawahi kujiuzulu, iweje yeye?

KUNA JAMBO LINAFICHWA.
 
Makonda ni 'kichaa' (maniac). Huwezi ukampa 'panga' kali kama lile (la ukatibu mkuu) nchi ikabaki salama. 'Atapigisha shoti kila sehemu'.
Even by virtue of age KM anapaswa awe mtu mzima sana. Mtu aliye kwenye miaka hamsini hadi sitini na kidogo.


Sababu hasa ya ulazima wa KM kuwa miaka 50 mpaka 60 ni ipi? Ni sheria?
 
Kwanza, tunamshukuru Mungu kwa kuzuia hujuma zisizo na huruma kwa CCM yetu baada ya kuepusha kupokwa kwa nafasi ya Katibu Mkuu jana. Shukrani zetu, kama makada waandamizi na wazee wa chama, ni kwa Rais na Mwenyekiti wa CCM Taifa Mama Samia S. Hassan kwa kutusikiliza tulipomshauri cha kufanya.

Hatimaye, Katibu Mkuu wa CCM atapatikana kiutaratibu wa kiustaarabu na adabu. Si majungu ambayo hata Mungu anayapiga rungu. Mwenyekiti wetu, kwakuwa aliomba na kupokea ushauri mashuhuri, amefanikiwa kuukwepa mtego wa kupokwa Ukatibu Mkuu wa CCM.

Uchunguzi umeagizwa ufanyike wakati nafasi hiyo ikikaimiwa na Komredi Anamringi Macha. Uchunguzi wa kina utafanyika kwenye tuhuma zilizoelekezwa kwa Katibu Mkuu Mjiuzulu Daniel Chongolo. Uchunguzi pia utazingatia maelezo yake aliyoyatoa na atakayoyatoa chamani.

Komredi Chongolo, just relax uwe na amani. Kwakuwa Kamati Ndogo ya Uchunguzi imeshaundwa na leo inaanza kazi yake, haki itatendeka. Katika sakata hili la Chongolo, CCM itaonesha ukubwa wake. Haitavumilia chama 'kutekwa' na waroho wa madaraka wenye haraka isiyo na baraka.

Walioratibu mpango dhidi ya Chongolo wanapaswa kujua jambo moja. Chongolo ni mwana wa Serikali na chama. Amefanya kazi ya kutukuka na kusifika Serikalini na chamani. Hawezi kuondoka bila kishindo kikubwa chamani. Ripoti itaanika kila kitu. Ukweli na usio ukweli. Heri au shari.

Katibu Mkuu hatapatikana hadi uchunguzi ukamilike. Wa kusafishwa atasafishwa na wakuwajibishwa atawajibishwa. Hakuna upendeleo wala video kwenye jambo hili. Narudi zangu Kilosa nikifurahi kuilinda nafasi ya Katibu Mkuu kwa ajaye au atakaporejeshwa huyu.

Gekul, yalikuwa ndiyo madaraka ya kulevya?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (safarini kuelekea Kilosa, Morogoro)
Blah blah nyingi lkn hakielezwi ni nini hawa watu wametenda
 
Back
Top Bottom