Rogojin The Idiot
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 2,969
- 3,392
Kumbe mtaala wa kujifunzia lazima autunge mwanafunzi mwenyewe?
Kwa nini tusijifunze kutokana na uzoefu wa wengine?
^Why isn't you seatbelt on?^
^'Cause I never had an accident.^
Halafu kule kwenye anga za CJ wanasema ^Tumetoa adhabu kali ili iwe funzo kwa...^
Ndio ukweli...jamaa alikuwa ni jiwe kweli kweli. Ila watanzania wanatamani kujua nini kilitokea?Toa neno watu wema, usichanganye watu wema na mtu muovu.
Muhimili huwa ni mitatu(Serikali,Bunge na Mahakama)Je? Muhimili wa Mahakama ukisaulika katika mtiririko wote wa ushauri ,ina maana muhimili wa Mahakama Viongozi wa Juu wanaupuuza?!!!Nadhani ilikuwa sahihi asipewe kwanza hizo taarifa za kifo Cha Raisi Makamu wa Raisi taarifa.Kwa kawaida kama keep kikao hata Cha uchaguzi wajumbe wanataka kumjadili mgombea ni kawaida kumtaka mgombea atoke Nchi wajumbe wamjadili bila yeye kuwepo.Sasa Makamu wa Raisi ndie mrithi wa kiti Cha Uraisi .Ilibidi mambo mengi ya kuhusu kurithi kiti ,taratibu za kuapishwa Kwake nk zijadiliwe na kupangwa tayari ili akitaarifiwa kifo Cha Raisi Kila kiti kiwe kimejadiliwa na kimepangika vizuri
Hebu fikiria anapewa taarifa halafu anakuwa sehemu ya mjadala Wengine Wanasema asiapishwe apewe mwingine mbele yake ni very embarrassing.Heri mivitano yoyote ilikuwa huko ndani bila kumhusisha Makamu wa Raisi ingeleta shida mfano mama angegoma kuwa sitaki kama Hali ni hii Nchi ingeingia kwenye mgogoro mkubwa wa kikatiba nk
Nilichoona kwenye Haya mahojiano inaonyesha yalikuweko mambo mengi muda mchache kuyaongea CDF ila Jeshi lilisimama kidete kuhakikisha mwishowe katiba inazingatiwa japo Kwa kuchelewa kinyume na masaa 24 ya katiba Inavyotaka
Yote heri tushukuru Mungu Nchi ilivuka salama
Ukweli ni kwamba story yako ni ya kutunga tu ndo maana unakosea ata kuandika jina la muhisika. Hongera ata hivyo kwa unayoaminiswa na baadhi yetu tupe hongera kwa kuaminiswa na mabeyo. Yote kwa yote ni uhakika mimi na wewe hatukuwepo karibu hivyo tunapokea story kama zinavyokujaNaweza kuwa mimi ndiye Mabeho nimekuja anonymously! Una ushahidi gani kuwa mimi siyo yeye? Mabeho anaweza kuwa ndiye rafiki aliyeniambia. Una ushahidi kuwa sivyo? Mabeho anaweza kuwa anasema ukweli nusu. Una ushahidi gani yote anayosema ni ukweli? Mabeho anaweza akawa hakuwepo muda wote! Mabeho anaweza kuwa anadanganya kama waziri mkuu alivyodanganya Magufuli ni mzima na anachapa kazi!
Hii nafasi si baada ya kustafu jeshi ndiyo ameipata au kabla.Atakuwa alilipenda kweli jeshi kama ni ivyo. Maana mwenyekiti wa bodi ya TANAPA ni mmoja wa watu wenye mshahara na marupurupu makubwa Tanzania.
Basi tatizo siyo kukosa uzoefu, bali kukosa weledi.Katiba na sheria zao, uzoefu wa utawala, Marekani ni tofauti na Tanzania.
Tanzania waganga njaa wengi sana. Wengine walihudumu nafasi za juu kabisa, ila hawajakubali kuwa ni wastaafu na wakae pembeni.
Kila siku ni kupenyeza hila na majungu waendelee kula kwa upole
Namim ndio nilivyoelewaHivi mnaamini hizo porojo anazosema Mabeho? Kwanza Magufuli hakufariki huo muda anaosema. Pili Magufuli alipelekwa Nairobi na ndiyo maana alikuwa anasema nirudisheni nikafie nyumbani. Ni kweli walimrudisha na akaja kufia Mzena. Tatu, suala la kuapishwa lilicheleweshwa kwa sababu ya mvutano wa kutaka Samia asiapishwe. Kwa kifupi amezungumza ukweli nusu.
Hivi kweli unaona ni sahihi mtu kufoji cheti Ili apate ajira na baada ya kubainika na kuthibitishwa kuwa amefoji aachwe aendelee na kazi? Mimi nina mashaka na uwezo wako wa kufikiriaChozi la Mabeyo linaungana na machozi ya maelfu ya watanzania waliolia na wanao endelea kulia kutokana na madhira waliyo yapata wakati ule wa mtu yule.
Kwa uchache tu nawakumbuka watumishi 12 Elfu walio ondolewa kazini kwa kuwa eti walifoji vyeti.
Wengine walikuwa wamefanya kazi zaidi ya miaka 20...!
Mleta mada kauliza swali juu (title yenyewe ni poser) kwa alichoona na kutafsiri yeye? Hakuna hitimisho rasmi.Binafsi siioni maajabu general Mabeyo kulia. Watu wanaleta stori za uaskari. Hivi ni wapi mwanajeshi alisomea ukakamavu wa kutolia akiumizwa au kukuguswa na jambo la kusikitisha au kufurahisha. Hapa ndo huwa tunaona watu hasa wa tz wanavyokuwa waoga kutetea haki zao mbele ya askari kwa kudhani askari huyo yeye kaumbwa tofauti na yeye au ana moyo wa chuma. Huyu ni mwanadamu km wewe isipokuwa yeye kaongezewa tu somo la ukakamavu na ujasiri kitu ambacho hata raia kibao tu wanacho hasa wakazi wa mkoa wa Mara, Wamasai nk. Nafikiri hivi karibuni tulishuhudia Wamasai Zanzibar wakiwatia bakora askari wa Zanzibar hadi kukimbia.
Askari nao wana hisia, mzuka, nk. Hakuna mbabe wa hivyo vitu. Ni sawa na kusema general hawezi kuhisi njaa, kitu ambacho siyo kweli, maana hakuna baunsa wa njaa.
Mtu hulia hata kwenye msiba usiomhusu, wakati unaomhusu anaweza kujikaza. Kwa hiyo mazingira huamua hisia za mtu atende nini. Hivyo mtu kulia sababu ya huzuni au furaha husababishwa na factors nyingi, wengine hulia kwa kuvuta kumbukumbu ya matukio ya nyuma yaliyomkuta na kumuumiza, ndo maana mwingine anaweza kulia hadharani sababu ya mapenzi na mwingine asilie. Tena mwingine akavalishwa tu pete akalia tena mbele ya umati wa watu.
So, kulia kwa general publicly is not a big deal, a big deal is why is he crying repeatedly. Alilia siku ya mazishi lakini nashangaa hadi kwenye kumbukizi.
Peleka kwenye vijiwe vyako vya kahawaOhoo sorry. Kumbe anaitwa Mabeyo? Lakini nadhani ujumbe umeupata pamoja na utaahira wangu. Alipelekwa Nairobi na walitumia uwanja wa Wilson airport. Madaktari wakajaribu lakini hawakufanikiwa, akarudishwa akiwa kwenye hali mbaya na kufia Mzena.
Baada ya kustaafuHii nafasi si baada ya kustafu jeshi ndiyo ameipata au kabla.
Siku ya Kiyama parapanda italia, ndipo wafu watafufuliwa kwa ajili ya hukumu au uzima wa milele.Magufuli kwa simulizi ya ex cdf yupo mbinguni
Mswahili mtu hatarii anakuchekea tu na kukukenulia meno. Kuna uzi flani wa GT The Boss je jamaa atawaweza watoto wa mjini?Kama kuna watu waliweza kujipenyeza na kumuua, pamoja na ule ulinzi wote basi hao watu wana akili sana.
Siyo wana akili sana TU bali very dangerous and wicked in their own ways.Kama kuna watu waliweza kujipenyeza na kumuua, pamoja na ule ulinzi wote basi hao watu wana akili sana.
Ukiona Mungu amekupa ufunuo wa kifo chako jua Mungu amekuchagua ni wachache mno wanaopata hiyo nafasiMabeyo hakuwa na sifa ya kuwa CDF alibebwa na ukabila. Magu alikuwa mkabila hasa, mpk leo sijui nchi ingegawanyika mara ngapi.