Chozi la Jenerali Mabeyo akisimulia siku za mwisho za Hayati Magufuli linaashiria nini?


Katiba na sheria zao, uzoefu wa utawala, Marekani ni tofauti na Tanzania.

Tanzania waganga njaa wengi sana. Wengine walihudumu nafasi za juu kabisa, ila hawajakubali kuwa ni wastaafu na wakae pembeni.

Kila siku ni kupenyeza hila na majungu waendelee kula kwa upole
 
Ahukumiwe inavyostahili! Bahati mbaya, alikufa bila kuomba msamaha kwa baba wa Ben Saa Nane, Tundu Lissu na wengine wengi aliowapoteza, aliowaua wakitembea na aliowatesa sanaaa!

Na huyu bwana anatunga hadithi tuuu, hakuwepo!
 
Muhimili huwa ni mitatu(Serikali,Bunge na Mahakama)Je? Muhimili wa Mahakama ukisaulika katika mtiririko wote wa ushauri ,ina maana muhimili wa Mahakama Viongozi wa Juu wanaupuuza?!!!
 
Ukweli ni kwamba story yako ni ya kutunga tu ndo maana unakosea ata kuandika jina la muhisika. Hongera ata hivyo kwa unayoaminiswa na baadhi yetu tupe hongera kwa kuaminiswa na mabeyo. Yote kwa yote ni uhakika mimi na wewe hatukuwepo karibu hivyo tunapokea story kama zinavyokuja
 
Hakika suala la kifo ni fumbo sana sana sana sana

Ukibahatika kufa mbele za watu Mwombe Mungu

Leo hii tumepata simulizi nzuri ya EX CDF kumbe magufuli wakati anakufa hakuwa mikononi mwa mtoto wake,Mkewe wala ndugu yoyote ili ni kwa sababu ya cheo chake lakini hata mke hakurusiwa kuwa pale kumuuguzia mumewe?

Wewe ulie na ndoa kumbe usiringe yawezekana siku unakufa hata mkeo hatokuwa karibu na wewe wala watoto ulio wazaa

Aise
Bora maisha ya upadri[emoji3][emoji1787][emoji16][emoji23] fundisho kubwa

Simulizi ya CDF ipo wazi

Magufuli alipata nafasi ya kutubu dhambi zake zake kupitia Baba paroko na Kadinari pengo ili ni daraja la pekee sana sio wote ulipata

Magufuli alitaka akafie nyumbani kwake bira shaka hakupendezwa kuuguzwa paspo mkewe kuwa pale au watoto wake

Magufuli alitaka kujiua kwa kutaka kutolewa hosptali akafie kwake hii ni roho ya mauti uwa inamsumbua kila mmoja anae karbia kufariki uwa anachaguo lake.

Mwisho kwa uhakika

Magufuli kwa simulizi ya ex cdf yupo mbinguni

Je mlio kuwa karibu na Nyerere,Mkapa na Mwinyi Nini kilijili ili sisi tujipange kukutana nao either mbinguni hama motoni?
 
Muda Sasa wa kujaribu kuipunguza maneno ya kiarabu kwenye mifumo yetu ya utawala " Nimetafakari Sana " neno AMIRAT na AMIR na nikiangalia vile vikundi vyenye itikadi Kali navyo vinatumika maneno hayo
 
Basi tatizo siyo kukosa uzoefu, bali kukosa weledi.

Nakuhakikishia hata tungekuwa na uzoefu kuliko Marekani, hali ingekuwa ileile.

Angalia mfano wa majanga: kuzama kwa meli, ndege kuanguka, ukame, njaa na majanga mengine ya asili kama mafuriko na matetemeko.

Tumejifunza kitu chochote kama taifa au kila tukio linatushtukiza sie ni kama wageni?
 
Namim ndio nilivyoelewa
Naunga mkono hoja
 
Hivi kweli unaona ni sahihi mtu kufoji cheti Ili apate ajira na baada ya kubainika na kuthibitishwa kuwa amefoji aachwe aendelee na kazi? Mimi nina mashaka na uwezo wako wa kufikiria
 
Mleta mada kauliza swali juu (title yenyewe ni poser) kwa alichoona na kutafsiri yeye? Hakuna hitimisho rasmi.

Nchi nyingi duniani wananchi wameaminishwa army generals sio watu wa kutoa matone kirahisi au kuwa too emotional mbele ya public. Sasa kama huo ndio ukweli wa jeshi au ni myth tu, mimi sijui ndio maana nimeuliza.

Mwisho lengo halisi la mada baada ya kuona marehemu kama vile jamii aimpi airtime anayostahili siku ya leo nilipokutana na hiyo interview nikahisi nikiweka JF inaweza leta mjadala labda na angle tofauti. Hilo ndio lilikuwa kusudio apate airtime tu.

Otherwise nothing personal kwa mtu yeyote raisi aliyepo, retired CDF na CCM kwa ujumla.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…