Duc in altum
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 1,781
- 3,591
Mabeyo amepishwa kuwa major general 2014 akapewa na ukuu wa military intelligence siku hiyo hiyo akaapishwa mwakibolwa kuwa major general enzi hizo TZ na Rwanda kunafukuto unapewa ukuu wa MI ujue sio mchezo.Mabeyo hakuwa na sifa ya kuwa CDF alibebwa na ukabila. Magu alikuwa mkabila hasa, mpk leo sijui ingegawanyika mara ngapi.
Hakuna cheo alichoruka mabeyo alikuja kuwa luten general (chief of staff).
Mzazi wako angetumia kondom ty