Chozi la Jenerali Mabeyo akisimulia siku za mwisho za Hayati Magufuli linaashiria nini?

Chozi la Jenerali Mabeyo akisimulia siku za mwisho za Hayati Magufuli linaashiria nini?

Nadhani ilikuwa sahihi asipewe kwanza hizo taarifa za kifo Cha Raisi Makamu wa Raisi taarifa.Kwa kawaida kama keep kikao hata Cha uchaguzi wajumbe wanataka kumjadili mgombea ni kawaida kumtaka mgombea atoke Nchi wajumbe wamjadili bila yeye kuwepo.Sasa Makamu wa Raisi ndie mrithi wa kiti Cha Uraisi .Ilibidi mambo mengi ya kuhusu kurithi kiti ,taratibu za kuapishwa Kwake nk zijadiliwe na kupangwa tayari ili akitaarifiwa kifo Cha Raisi Kila kiti kiwe kimejadiliwa na kimepangika vizuri

Hebu fikiria anapewa taarifa halafu anakuwa sehemu ya mjadala Wengine Wanasema asiapishwe apewe mwingine mbele yake ni very embarrassing.Heri mivitano yoyote ilikuwa huko ndani bila kumhusisha Makamu wa Raisi ingeleta shida mfano mama angegoma kuwa sitaki kama Hali ni hii Nchi ingeingia kwenye mgogoro mkubwa wa kikatiba nk

Nilichoona kwenye Haya mahojiano inaonyesha yalikuweko mambo mengi muda mchache kuyaongea CDF ila Jeshi lilisimama kidete kuhakikisha mwishowe katiba inazingatiwa japo Kwa kuchelewa kinyume na masaa 24 ya katiba Inavyotaka

Yote heri tushukuru Mungu Nchi ilivuka salama
Wewe ni analytical na inawezekana ulikiwa sehemu ya kikao,,siyo wengine wanaona sifa kupinga na kumuattavk General Mabeyo kwa maelezo yake
 
Mtazamo wangu baada ya kuona hii video

Kwanza haikuwa ajabu kwa jiwe kutaka kuzungukwa na wanausalam wakati wa ugonjwa wake, naamini hao ndio ambao alikuwa anawaamini sana ukiangalia na uadui mkubwa aliokuwa nao hapa ndani ya inchi na nje ya inchi

Pili,kuhusu kupewa taarifa kwanza Waziri mkuu kabla ya makamu wa raisi nadhani ni hekima imetumika hapa, mwanamke ni mwanamke tu, namna ya upokeaji wa taarifa kama zile lazima itumike busara kubwa,, kwahiyo wakati mwingine si suala la kufuata utaratibu bali ni kutumia hekima na busara.

Tatu,naungana na wale wote ambao wamesema kuchelewa kuapishwa kwa raisi ndani ya masaa ya 24 ni kutokana na hii ni experience ya Kwanzaa ktk inchi yetu lazima kuna mambo ya kuyaweka sawa na kujadiliana

Jiwe atabakia kuwa Kiongozi wetu bora wa mda wote pamoja na mapungufu ya kibinadamu aliyokuwa nayo.

Ni hayo tu!
 
View attachment 2936820

Hapo akielezea alipopigiwa simu ya mchana kuwa jamaa achomoki kwikwi na chozi juu akaliwahi kufuta.


View: https://m.youtube.com/watch?v=7pAX3f36xOs&pp=ygUkd2h5IGFybXkgZ2VuZXJhbHMgZG9udCBjcnkgaW4gcHVibGlj

Ma-general wakizidiwa sana tear drop tu, kama ukiangalia hiyo video ata huyo US general ni tear drop lakini bado interviewer ameshangaa kidogo general kutoa chozi mpaka kamuuliza kulikoni

Sasa usidhanie general atalia kama Jenista Mhagama mbele ya camera ajiangushe na kujigalalaza kwenye udongo kila mtu amuone.

Huko CCM na serikalini mnajifanya kama amuitambui siku ya leo aina umuhimu wowote kwa taifa.

Shame

Alivuta kamasi na sio alikuwa analia
 
There is a reason amelia. Hawa watu wanajua mengi sana. Sababu za kiusalama, wanakaa nayo milele ndani ya roho zao.

Naombea roho ya marehemu JPM ipumzike kwa amani.
Kama kuna kitu anajua kwanini kama mwenyekiti wa usalama kitaifa haku take action? Hakuna lingine lililofichika zaidi ya alicho simulia hapo.
 
Kama umesikiliza mwishoni ile ni diplomatic language tu kwa nafasi lazima awe responsible kwenye kauli zake kutoingilia siasa zinazoendelea.

Lakini body language ndio kila kitu hasa akielezea siku za mwisho ilivyokuwa hadi mauti yanamkuta marehemu.

Itakuwa kuna kitu kinamuumiza mpaka leo yale malengelenge ya machozi sio bure na kushindwa kuzuia emotions zake ata kwenye kuongea kwa majonzi ile się tabia ya army general kushindwa kujizuia. Kwa nafasi yake mtu kama yeye kwa kwa nilichokiona ni big deal kiaskari duniani.
Hivi mnaamini hizo porojo anazosema Mabeho? Kwanza Magufuli hakufariki huo muda anaosema. Pili Magufuli alipelekwa Nairobi na ndiyo maana alikuwa anasema nirudisheni nikafie nyumbani. Ni kweli walimrudisha na akaja kufia Mzena. Tatu, suala la kuapishwa lilicheleweshwa kwa sababu ya mvutano wa kutaka Samia asiapishwe. Kwa kifupi amezungumza ukweli nusu.
 
Nadhani ilikuwa sahihi asipewe kwanza hizo taarifa za kifo Cha Raisi Makamu wa Raisi taarifa.Kwa kawaida kama keep kikao hata Cha uchaguzi wajumbe wanataka kumjadili mgombea ni kawaida kumtaka mgombea atoke Nchi wajumbe wamjadili bila yeye kuwepo.Sasa Makamu wa Raisi ndie mrithi wa kiti Cha Uraisi .Ilibidi mambo mengi ya kuhusu kurithi kiti ,taratibu za kuapishwa Kwake nk zijadiliwe na kupangwa tayari ili akitaarifiwa kifo Cha Raisi Kila kiti kiwe kimejadiliwa na kimepangika vizuri

Hebu fikiria anapewa taarifa halafu anakuwa sehemu ya mjadala Wengine Wanasema asiapishwe apewe mwingine mbele yake ni very embarrassing.Heri mivitano yoyote ilikuwa huko ndani bila kumhusisha Makamu wa Raisi ingeleta shida mfano mama angegoma kuwa sitaki kama Hali ni hii Nchi ingeingia kwenye mgogoro mkubwa wa kikatiba nk

Nilichoona kwenye Haya mahojiano inaonyesha yalikuweko mambo mengi muda mchache kuyaongea CDF ila Jeshi lilisimama kidete kuhakikisha mwishowe katiba inazingatiwa japo Kwa kuchelewa kinyume na masaa 24 ya katiba Inavyotaka

Yote heri tushukuru Mungu Nchi ilivuka salama
Na umeamini yote aliyosema? Mbona hakusema kuwa Magufuli alifariki tangu tarehe 12? Mbona hakusema alipelekwa Nairobi na iliposhindikana ndiyo akarudishwa Mzena? Unajua ni kwa nini amesema Magufuli alikuwa anasema nirudisheni nikafie nyumbani? Ni kwa sababu alikuwa Nairobi!
 

View: https://m.youtube.com/watch?v=9Hyg_T0yb-8

Katika dunia hii mtu wa mwisho ambae unaweza kuona chozi lake hadharani ni senior army officer na army general ndio kabisa awezi kuonyesha weakness hiyo hadharani.

Sasa cha kushangaza Mabeyo pamoja na kujitahidi kutabasamu ila chozi lilimshinda nguvu kwa sekundę kadhaa ameonekana akibubijikwa machozi ya hudhuni mbele ya camera. Kumbuka ata alipofiwa na mtoto wake rubani, general akutoa chozi alipofika eneo la tukio.

Je anajutia kutosikiliza maamuzi ya watu waliomshauri wapindue męża ya katiba huyo mama hiyo nafasi sio size yake na kinachoendelea leo Tanzania.

Kuna kitu cha siri kukbwa kimo ndani yake anachokijua ila anachokiangoea ni kwa ajili ya kutasababisha taharuki. Lakini kwa ujumla kuna uwezekano wa uharifu kufanyika dhidi ya uhai wa JPM

1. Mtu anayetuhumiwa kuchangia kupotea uhai alikuwepo kwenye jopo la matibabu ya JPM muda wote
2. Rais aliyepo madarakani sasa hivi aliapishwa kinyume na sheria kwa kuwa zilipita siku mbili baada ya kifo badala ya saa ishirini na nne kwa mjibu wa sheria na katiba
3. Hata hivyo CDF apongezwe kwa kukataa agiza la JPM la kuwa sehemu ya mauti yake alipoagizwa awaamuru madaktari wamtoe hospitali na kumpeleka nyumbani huo ni msimamo wa ujasiri sana kukataa agizo la amiri jeshi mkuu.
4. Majadiliano kati ya CDF, DGSS, IGP, PM na CS baadae Makubi na Pengo ni yapi?
5. Inasemwa kwamba CJ na Shekhe mkuu waliitwa pia kuna ukweli gani?
6. Kwanini JPM yeye mwenyewe binafsi alitambua hatapona wakati madaktari hawakuwaambia wakuu wa majeshi mpaka JPM alipomwita CDF huku professa mmoja aliyekuwa JKCI alikuwepo muda wote hapo hospitali?

Upo muda kule mbele lazima uchunguzi utafanyika au kuna mtu ataamua kujitoa mhanga kusema ukweli ya kilichotokea ndipo kutakuwa na hali mbaya sana ya mahusiano kati ya wananchi na watawala wa sasa.
 
Hivi mnaamini hizo porojo anazosema Mabeho? Kwanza Magufuli hakufariki huo muda anaosema. Pili Magufuli alipelekwa Nairobi na ndiyo maana alikuwa anasema nirudisheni nikafie nyumbani. Ni kweli walimrudisha na akaja kufia Mzena. Tatu, suala la kuapishwa lilicheleweshwa kwa sababu ya mvutano wa kutaka Samia asiapishwe. Kwa kifupi amezungumza ukweli nusu.
Usilete ujinga wako hapa kama mlimwua ipo siku mtajuta kuzaliwa
 
Kuna kitu cha siri kukbwa kimo ndani yake anachokijua ila anachokiangoea ni kwa ajili ya kutasababisha taharuki. Lakini kwa ujumla kuna uwezekano wa uharifu kufanyika dhidi ya uhai wa JPM

1. Mtu anayetuhumiwa kuchangia kupotea uhai alikuwepo kwenye jopo la matibabu ya JPM muda wote
2. Rais aliyepo madarakani sasa hivi aliapishwa kinyume na sheria kwa kuwa zilipita siku mbili baada ya kifo badala ya saa ishirini na nne kwa mjibu wa sheria na katiba
3. Hata hivyo CDF apongezwe kwa kukataa agiza la JPM la kuwa sehemu ya mauti yake alipoagizwa awaamuru madaktari wamtoe hospitali na kumpeleka nyumbani huo ni msimamo wa ujasiri sana kukataa agizo la amiri jeshi mkuu.
4. Majadiliano kati ya CDF, DGSS, IGP, PM na CS baadae Makubi na Pengo ni yapi?
5. Inasemwa kwamba CJ na Shekhe mkuu waliitwa pia kuna ukweli gani?
6. Kwanini JPM yeye mwenyewe binafsi alitambua hatapona wakati madaktari hawakuwaambia wakuu wa majeshi mpaka JPM alipomwita CDF huku professa mmoja aliyekuwa JKCI alikuwepo muda wote hapo hospitali?

Upo muda kule mbele lazima uchunguzi utafanyika au kuna mtu ataamua kujitoa mhanga kusema ukweli ya kilichotokea ndipo kutakuwa na hali mbaya sana ya mahusiano kati ya wananchi na watawala wa sasa.

Kuna mtu kaeleza hapo kuwa kurudishwa nyumbani alimaanisha kuondolewa Nairobi na Kuja Tanzania ili asifie ugenini.
 
Kama umesikiliza mwishoni ile ni diplomatic language tu kwa nafasi lazima awe responsible kwenye kauli zake kutoingilia siasa zinazoendelea.

Lakini body language ndio kila kitu hasa akielezea siku za mwisho ilivyokuwa hadi mauti yanamkuta marehemu.

Itakuwa kuna kitu kinamuumiza mpaka leo yale malengelenge ya machozi sio bure na kushindwa kuzuia emotions zake ata kwenye kuongea kwa majonzi ile się tabia ya army general kushindwa kujizuia. Kwa nafasi yake mtu kama yeye kwa kwa nilichokiona ni big deal kiaskari duniani.
Maybe kuna watu walimfanyia vibaya marehemu then akaja lifahamu hilo and yeye hakuweza fanya kitu kuzuia hio hali,jiwe alikua na enemies mpk ndani ya system yake mwenyewe
 
Kuna mtu kaeleza hapo kuwa kurudishwa nyumbani alimaanisha kuondolewa Nairobi na Kuja Tanzania ili asifie ugenini.
Hakuna sejhemu CDF mstaafu kaeleza kutolewa Nairobi kwenda Mzena na mwandishi aliyekuwa anamhoji alipotea boya kuhoji kwamba walitoa walimtolea wapi.

Mimi nilivyoelewa ni kwamba kutoka Mzena kwenda Chato ambako ndio nyumbani kwao. Ikulu sio nyumbani kwake ni nyumba ya umma anayopangiwa na wananchi wa Tanzania.

Mzunguko wote huu hausaidii ipo siku itajulikana kilichotokea bayana
 
Kama umesikiliza mwishoni ile ni diplomatic language tu kwa nafasi lazima awe responsible kwenye kauli zake kutoingilia siasa zinazoendelea.

Lakini body language ndio kila kitu hasa akielezea siku za mwisho ilivyokuwa hadi mauti yanamkuta marehemu.

Itakuwa kuna kitu kinamuumiza mpaka leo yale malengelenge ya machozi sio bure na kushindwa kuzuia emotions zake ata kwenye kuongea kwa majonzi ile się tabia ya army general kushindwa kujizuia. Kwa nafasi yake mtu kama yeye kwa kwa nilichokiona ni big deal kiaskari duniani.
Watanzani bwana kwa kujifanya wajuvi wa mambo
 
Usilete ujinga wako hapa kama mlimwua ipo siku mtajuta kuzaliwa
Mimi ningepata wapi uwezo wa kumuua Magufuli aliyekuwa anachungwa na kila aina ya watu na zana? Sikiliza: Kwa hao wakuu wa vyombo vya usalama walitakiwa kuwajibika kwa sababu ya kifo chake. Walikuwa wanajua kabisa kuwa kwenye suala la covid, rais alikuwa kwenye risk group kwa sababu alikuwa na pacemaker, hivyo alitakiwa aji-isolate kadiri iwezekanavyo lakini wao wakaogopa kutumia powers zao kumshurutisha na badala yake wakamwachia ajichange na watu. Kusema kweli hawakutimiza wajibu wao. Mbona ugonjwa uliponza aliji-isolate kwa kwenda kukaa Chato? Kwanini walimuachia arudi?
 
Mimi ningepata wapi uwezo wa kumuua Magufuli aliyekuwa anachungwa na kila aina ya watu na zana? Sikiliza: Kwa hao wakuu wa vyombo vya usalama walitakiwa kuwajibika kwa sababu ya kifo chake. Walikuwa wanajua kabisa kuwa kwenye suala la covid, rais alikuwa kwenye risk group kwa sababu alikuwa na pacemaker, hivyo alitakiwa aji-isolate kadiri iwezekanavyo lakini wao wakaogopa kutumia powers zao kumshurutisha na badala yake wakamwachia ajichange na watu. Kusema kweli hawakutimiza wajibu wao. Mbona ugonjwa uliponza aliji-isolate kwa kwenda kukaa Chato? Kwanini walimuachia arudi?
Una uhakika gani alikuwa na COVID-19?

Wewe ni sehemu ya waliojipenyeza kutumia mwanya wa dhania ya COVID-19 kumwua ipo siku utajuta hili halitasahaulika na kuchwa lipotee bure bila wahusika ..................
 
Kuna kitu cha siri kukbwa kimo ndani yake anachokijua ila anachokiangoea ni kwa ajili ya kutasababisha taharuki. Lakini kwa ujumla kuna uwezekano wa uharifu kufanyika dhidi ya uhai wa JPM

1. Mtu anayetuhumiwa kuchangia kupotea uhai alikuwepo kwenye jopo la matibabu ya JPM muda wote
2. Rais aliyepo madarakani sasa hivi aliapishwa kinyume na sheria kwa kuwa zilipita siku mbili baada ya kifo badala ya saa ishirini na nne kwa mjibu wa sheria na katiba
3. Hata hivyo CDF apongezwe kwa kukataa agiza la JPM la kuwa sehemu ya mauti yake alipoagizwa awaamuru madaktari wamtoe hospitali na kumpeleka nyumbani huo ni msimamo wa ujasiri sana kukataa agizo la amiri jeshi mkuu.
4. Majadiliano kati ya CDF, DGSS, IGP, PM na CS baadae Makubi na Pengo ni yapi?
5. Inasemwa kwamba CJ na Shekhe mkuu waliitwa pia kuna ukweli gani?
6. Kwanini JPM yeye mwenyewe binafsi alitambua hatapona wakati madaktari hawakuwaambia wakuu wa majeshi mpaka JPM alipomwita CDF huku professa mmoja aliyekuwa JKCI alikuwepo muda wote hapo hospitali?

Upo muda kule mbele lazima uchunguzi utafanyika au kuna mtu ataamua kujitoa mhanga kusema ukweli ya kilichotokea ndipo kutakuwa na hali mbaya sana ya mahusiano kati ya wananchi na watawala wa sasa.
Watanzania kujifanya wajuaji kwenye mambo msiyo yajua ,sasa hapa unachambua matukio kwa mawazo na maono yako utadhan kweli wakati hizo ni hisia zako tu
 
Back
Top Bottom