Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Umefufuka?Kwani mwanajeshi sio binadam?
Machozi ya mamba hayo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umefufuka?Kwani mwanajeshi sio binadam?
Machozi ya mamba hayo.
Acha uongo hakuna mahali amelia kwenye video, why unaleta misinformation na fake news!!Sasa cha kushangaza Mabeyo pamoja na kujitahidi kutabasamu ila chozi lilimshinda nguvu kwa sekundę kadhaa ameonekana akibubijikwa machozi ya hudhuni mbele ya camera
TISS imejaa makada tupuIntelejensia ya Jeshi vs Intelejensia ya "TISS" kuna sehemu ipo shida.
Yawezekana kuna kundi liloegemea Chama Tawala (CCM)au wapenda maslahi binafsi na kuacha misingi kazi .
Mambo mengi ya msingi hayazingatiwi na utashi wa wengi (wananchi)unapotoshwa.
Mfano:
1.Katiba ya nchi ina kasoro,inajulikana,lakini yanaletwa maneno ya kisiasa kuchelewesha marekebisho.
2.Sheria ya kodi na tozo bado zina mtazamo wa kijamaa(bado kumiliki gari inaonekana ni anasa).Badala ya kupunguza kodi ili wengi waingie kwenye kundi la walipa kodi ili mapato yaongezeke!!
3.Sheria ya uchaguzi kuwa na kasoro(mfano "kipengele kinachosema "mshindi ni aliyetangazwa",hii imetumiwa vibaya na viongozi walioteuliwa kutangaza matokeo yasiyo kuwa na uhalisia,rejea uchaguzi wa mwaka 2020)
Humu mkuu kuna watu wana vituko sana.Cheusi Dawa ndio nani ten huyo 😁
Dogo inaonekana huko deep na vizuri sana.Marekani wamekufa Marais wanne wakiwa madarakani,Wana experience kidogo..
Ila walivyoona raisi anaumwa tu ilibidi waanze kuchukua hatua
View: https://m.youtube.com/watch?v=9Hyg_T0yb-8
Katika dunia hii mtu wa mwisho ambae unaweza kuona chozi lake hadharani ni senior army officer na army general ndio kabisa awezi kuonyesha weakness hiyo hadharani.
Sasa cha kushangaza Mabeyo pamoja na kujitahidi kutabasamu ila chozi lilimshinda nguvu kwa sekundę kadhaa ameonekana akibubijikwa machozi ya hudhuni mbele ya camera. Kumbuka ata alipofiwa na mtoto wake rubani, general akutoa chozi alipofika eneo la tukio.
Je anajutia kutosikiliza maamuzi ya watu waliomshauri wapindue męża ya katiba huyo mama hiyo nafasi sio size yake na kinachoendelea leo Tanzania.
Ni chumbani kwakoKumbukizi la Katibu wa mchungaji ni lini mama mchungaji?🐼
Mkuu kwema? Yani tangu upigwe ban eti siku hizi unasusa jamvinMabeyo alipewa cheo na kila kitu na Jiwe.
Ndio maana analia.
Maana ingekuwa ni UBINADAMU tunheuona kwa kina Azory Gwanda, Tundu Lissu na kina Been Saanane
Mabeyo amesema JPM alikua mgonjwa sasa unachojouliza ni kipi? Au wwe ndio unajua sana kilichomuua kuliko Mabeyo?ila kuna swali kwa kiongozi mkubwa kama yule, amekufaje?
Kumpoteza Magufuli kwa ghafla namna ile iliumiza na bado inaumiza watu wema wengi wanaoitakia mema Nchi hii. 🙏🙏 !Kama umesikiliza mwishoni ile ni diplomatic language tu kwa nafasi lazima awe responsible kwenye kauli zake kutoingilia siasa zinazoendelea.
Lakini body language ndio kila kitu hasa akielezea siku za mwisho ilivyokuwa hadi mauti yanamkuta marehemu.
Itakuwa kuna kitu kinamuumiza mpaka leo yale malengelenge ya machozi sio bure na kushindwa kuzuia emotions zake ata kwenye kuongea kwa majonzi ile się tabia ya army general kushindwa kujizuia. Kwa nafasi yake mtu kama yeye kwa kwa nilichokiona ni big deal kiaskari duniani.
Mkuu vipi na wewe kwenye hiyo avatar picha yako?Huyu jamaa hakufaa kuwa mwanajeshi. Jianaume zima linaliaje mbele ya kamera? Ovyo kabisa
Jamvi gani, Wewe MkiboshoMkuu kwema? Yani tangu upigwe ban eti siku hizi unasusa jamvin
Nadhani ilikuwa sahihi asipewe kwanza hizo taarifa za kifo Cha Raisi Makamu wa Raisi taarifa.Kwa kawaida kama keep kikao hata Cha uchaguzi wajumbe wanataka kumjadili mgombea ni kawaida kumtaka mgombea atoke Nchi wajumbe wamjadili bila yeye kuwepo.Sasa Makamu wa Raisi ndie mrithi wa kiti Cha Uraisi .Ilibidi mambo mengi ya kuhusu kurithi kiti ,taratibu za kuapishwa Kwake nk zijadiliwe na kupangwa tayari ili akitaarifiwa kifo Cha Raisi Kila kiti kiwe kimejadiliwa na kimepangika vizuriKwanini taarifa za kifo cha Rais walianza kupewa W/Mkuu na Katibu Mkuu Kiongozi na sio M/Rais?
Mkuu huko mbele ya safari majibu yatatoka ....kufa ni lazima kwa binadamu ....Hakuna anayebisha mtu kufa, ila kuna swali kwa kiongozi mkubwa kama yule, amekufaje?
Usanii kwenye mambo magumu haulipi. Au ndio nyinyi watu wema msiokufa?
Hata na tezi dume au covid au lolote lile lazima tutakufa.
General amefungua Pandora box. Muda utayamaliza hayo mengine.
Mimi sina lolote la ziada zaidi ya kujiuliza kulikoni