Mtumishi wa Bwana89
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 3,191
- 4,220
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguani unanipotezea mdaKarma ifanye kazi yake as usual
Kwa hisani...Then my perception is nchi ilipinduliwa Kwa siku kadhaa ikarejeshwa baada ya kuapishwa Kwa Rais mpya....Maana Katiba ilikuwa clear kwamba Rais akishindwa majukumu ni Makamu ndiye Rais by default kama akienda nje ya nchi anapomwachia ofisi, Sasa CDF alikuwa ana amua wakati anayetakiwa kuamua akiwa Hana habari...Huoni hapo Kuna shida?Hapo kulikuwa na wavunja kabita na wafuata katiba ambao walikuwa wanaongozwa na CDF
Umemsikiliza vizuri Mabeyo kwenye hii interviewHivi wewe unajielewa lakini? Katiba ipi ambayo haikufuatwa? Samia si ndio Rais Kwa mujibu wa Katiba au? Hao wenye Rais wa mfukoni ni kina nani?
Usipaniki ndugu calm downPunguani unanipotezea mda
Dah navizia nondo na madini ya GT Pascal Mayalla kwenye huu uzi.
Of course kuna shida, naona umeandika kitu ambacho sikuwahi kukifikiria, kweli nchi ilikuwa chini ya jeshi Kwa masaa kadhaaKwa hisani...Then my perception is nchi ilipinduliwa Kwa siku kadhaa ikarejeshwa baada ya kuapishwa Kwa Rais mpya....Maana Katiba ilikuwa clear kwamba Rais akishindwa majukumu ni Makamu ndiye Rais by default kama akienda nje ya nchi anapomwachia ofisi, Sasa CDF alikuwa ana amua wakati anayetakiwa kuamua akiwa Hana habari...Huoni hapo Kuna shida?
Sasa kama unalijua Hilo,Kwa nini uone Magufuli as if hakustahili Kufa? Yeye alikuwa anaimiliki kesho? Muwe mnajifunza sio kusingizia wasiohisika na vifo.
Mtu mgonjwa wa Moyo miaka Mingi still was living a stressful life unategemea nini?
Na huku umefika inaelekea ulikuwa unamchukia sana jiweKifo ni kiboko ya ubabe,ujeuri na Kila kiburi
MmmmhRais Samia ametusahaulisha.
Ametosha na kubaki mpaka tumesahau kama alikuwepo.
Tuliongozwa na 'Busara' za Jenerali Mabeyo, kungeweza kutokea matatizo makubwa sana.
AG (Mwanasheria Mkuu) alitakiwa asimame kutafsiri na kuelekeza Katiba inatamka nini na kama haitamki kisheria kipi kinafanyika.
Makamu wa Rais alipaswa kuapishwa usiku saa 6 na si kusubiri siku 3 au kujiuliza viongozi watapokewaje.
Rais yupo mahututi yupo na CDF, IGP na DGIS , Makamu na Waziri mkuu wanahanja hanja! ni hatari sana.
Jamani tuacheni ubishi, tukaeni chini na kutengeneza katiba ili tupate sheria zenye miongozo
Kusema eti hatuna uzoefu kama Marekani si kweli. Tulitakiwa tutumie uzoefu wa Marekani kufanya vizuri
Ni kama vile 'tunajitahidi kutengeneza kompyuta yetu from the scratch ' badala ya kutumia zilizopo kupiga hatua
Hii interview imeeleza mambo mengi sana
Ndugu yakeHuyu ndiye CDF wa hovyo kuliko wote kuwahi kutokea hapa nchini.
Kwanini hakumpindua dikteta jiwe, badala yake akamuacha aendelee kutoka, kupora na kuua watu?
Damu za watu wasiyo na hatua zinamlilia, ndiyo sababu anajuta kwa kulia hadharani.
Kifo pia ni kiboko ya machawaKifo ni kiboko ya ubabe,ujeuri na Kila kiburi
Kwanini taarifa za kifo cha Rais walianza kupewa W/Mkuu na Katibu Mkuu Kiongozi na sio M/Rais?Mabeyo hakuwa na sifa ya kuwa CDF alibebwa na ukabila. Magu alikuwa mkabila hasa, mpk leo sijui ingegawanyika mara ngapi.
Kumbukizi la Katibu wa mchungaji ni lini mama mchungaji?🐼Punguani unanipotezea mda
View: https://m.youtube.com/watch?v=9Hyg_T0yb-8
Katika dunia hii mtu wa mwisho ambae unaweza kuona chozi lake hadharani ni senior army officer na army general ndio kabisa awezi kuonyesha weakness hiyo hadharani.
Sasa cha kushangaza Mabeyo pamoja na kujitahidi kutabasamu ila chozi lilimshinda nguvu kwa sekundę kadhaa ameonekana akibubijikwa machozi ya hudhuni mbele ya camera. Kumbuka ata alipofiwa na mtoto wake rubani, general akutoa chozi alipofika eneo la tukio.
Je anajutia kutosikiliza maamuzi ya watu waliomshauri wapindue męża ya katiba huyo mama hiyo nafasi sio size yake na kinachoendelea leo Tanzania.
Wa kwanza kupewa alikuwa JKKwanini taarifa za kifo cha Rais walianza kupewa W/Mkuu na Katibu Mkuu Kiongozi na sio M/Rais?