Chozi la Jenerali Mabeyo akisimulia siku za mwisho za Hayati Magufuli linaashiria nini?

Hakika Jenerali Mabeyo ni hazina kwa taifa. Ni mzalendo wa kweli
 
2. Hata kama madaktari wote wangekuwa ni wanajeshi, huwezi tu ukatoa amri ya kibabe ku override ushauri wa kitaalamu.
Sawa kabisa nakubali, lakini kwenye maelezo ya Jenerali (kama nimemsikiliza vizuri), hakuna mahali ameonyesha kujaribu kuwauliza madaktari juu ya kumruhusu mgonjwa arudishiwe nyumbani! Na wao kusema abaki kwa sababu hii ama Ile!!

Ndiyo maana mwanzo timing ya mahojiano imekosewa cha msingi tuendelee kujadili Mema yaliyotendwa na Hayati Dr. Magufuli kwa nchi hii.

Hata hivyo, naweza kuwa nimekosea pia.
 
Habari za siku nyingi mkuu
 
Waliamini Makamu labda anahusika
 
Alafu eti MUNGU anampa ufunuo wa kifo chake tena anaita na watumishi wa Mungu wampake mafuta ni watu wachache sana wanapata hii bahati ya kufunuliwa kifo chako hadi Mungu akuchague
 
Umesahau alikuwa karibu pia na Viongozi wa Dini
Hadi dakika za mwisho anafariki walikuja kumuombea toba
 
Kwa kuunganisha mambo hamjambo
Sijui ni umasikini au kutokua na fikra nzuri bali mbaya tu
Marehemu alikuwa boss wake na mtu aliemuamini sana kuilinda nchi sasa cha ajabu nini kama akitokwa machozi?
 
Ungewafyeka kwa kutumia nini,mimi naona huyo Samia ilitakiwa wamfyeke akiwa hukohuko Tanga
 
Angekuwa mtu mwenye tamaaa ya madaraka tu usingekuwa raisi
Sio kirahisi hivyo, muda ule ule JPM anakata roho tayari allegiance ya TISS ilihamia kwa Samia so worst outcome ingekua vita au mauaji mfululizo. Na jeshi sio kama wote wangekubali tu ingegawanyika na ingekua civil war na power struggle.

So akiangalia madhara akaona mambo yasiwe mengi.... kimanyema ningeita deterrent theory yaani unafanya maamuzi A hata kama huyapendi kwa kupima madhara ya maamuzi B.
 
Itakuwa maokoto effect tu either Jiwe alichukua maokoto yake baada ya kugundua ana utajiri wa kutisha hivyo anawaza MAPENE yake yaliyoporwa or baada ya kifo cha JIwe akawekwa Pembeni hivyo masotojo ,marosoroso,madikodiko ,umete umate unakata.
 
Kama kuna watu waliweza kujipenyeza na kumuua, pamoja na ule ulinzi wote basi hao watu wana akili sana.
Ukiona mtu anakuzibia mianya ya kuiba na wewe maisha yako umezoea wizi lazima utumie akili sana ili kumuua yule anaye kuzuia kuiba na ukumbuke tayali ulishakuwa na watu wako kwenye systems na kumbuka pesa inatoa roho lakini hairudishi roho
 
Naona zitto kabwe ulifurahi sana
Hakuna anayefurahia kifo hata mimi nitakufa muda ukifika ila siwezi singizia sijui nimewindwa sijui maadui.

Sasa JPM alikua anasema chanjo ni mbaya cha ajabu alitumia betri kuendesha moyo kutoka kwa hao hao mabeberu!! Kama sio unafiki ni nini?

Sasa siku betri imepata hitilafu inahusiama nini na kuuwawa? Angekua hana ugonjwa hapo sawa ila mtu anaumwa miaka 15+ akifariki nini cha ajabu?
 
Bora umemkumbusha watu wasahaulifu kweli.

Wamesahau Samia siku anapokea ripoti ya CAG alisema anaomba ripoti ya miamala ya BoT iliyofanyika January hadi March.( behind the scene hii ilikuwa ni decoy) dakika za mwisho mwisho za Jiwe ilionekana kuna pesa ndefu iliidhinishwa BoT kwa shughuli maalum katika ofisi ya Jiwe ila haikujulikana zimeenda wapi ila kwa makusudio ilikua ni "kuhonga" wakuu wa vitengo mbali mbali ili Mama Abdul awekwe kando.

Pili kuna siku huyu huyu ex CDF mwanzoni mwa utawala wa Samia alisema kwenye hadhara " Mh rais nina jambo la kuongea ila naomba nitakuona ofisini"

Ukiunganisha hizo statement 2 utajua nini kilikuwa kinaendelea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…