Chozi la Jenerali Mabeyo akisimulia siku za mwisho za Hayati Magufuli linaashiria nini?

Nyie ndio mlimuua mbona taarifa za betri hatukusikia kwa madaktari
Nyie kina zitto mlimuua lakini damu ya mtu haiendi bure kumbuka
 
Kifo cha JPM sikuhuzunika wala sikufurahi.
Tangu amelala mauti sijawahi kummis.
Aliyabadilisha sana maisha yangu kutoka mabaya mpaka mabaya sana.
Hata leo ambayo ni kumbukumbu ya tangu kifo chake; sina cha kukumbuka.
Sitaki kuwa mnafki.
 
N
Nami nahoji hicho hicho,pili kuhusu Magufuli kufariki saa 12 sio kweli,maana Samia akiwa Tanga siku ile tangazo lilipotolewa usiku,akiwa jukwaani anasema kuanzia leo umeme hautakatika,inaonyesha taarifa alikuwa keshapewa na ilikuwa mida ya mchana na usiku ndo anatangaza msiba
 
Ukipata bahati ya MUNGU Kukufunulia kifo chako jua wewe MUNGU amekuchagua hiyo nafasi wanapata wachache sana 😢
Kwa taarifa yako, wengi wanaofia hospitalini kwa kuzidiwa hilo huwa wanalijua. Wanaopata ajali mara nyingi ndio huwa hawawezi kujua.
 
Kwa hiyo hata Kuwaita watumishi wa Mungu nayo ni uongo?
 
Kuna mengi nyuma ya pazia bila shaka. Hebu fikiria Jk augue hadi kuzidiwa japo ni mstaafu, itachukua muda gani sa100 kuahirisha ziara yake na kurejea?
Ipo siku watalipwa kwa matendo yao ikiwa ni kweli walishiriki!
 
Kwa taarifa yako, wengi wanaofia hospitalini kwa kuzidiwa hilo huwa wanalijua. Wanaopata ajali mara nyingi ndio huwa hawawezi kujua.
Sio wote ni wachache kama wote wanaofia hospital wanajua hali zao basi tungeona watu wengi wakiombewa wakikaribia kufa
Hiyo nafasi hadi MUNGU akuchague ni wachache na sio wote wala wengi narudia tena ni wachache sana hadi Mungu akuchague
 
Ahukumiwe inavyostahili! Bahati mbaya, alikufa bila kuomba msamaha kwa baba wa Ben Saa Nane, Tundu Lissu na wengine wengi aliowapoteza, aliowaua wakitembea na aliowatesa sanaaa!

Na huyu bwana anatunga hadithi tuuu, hakuwepo!
Ila mungu alimfunulia kifo chake akajua kwamba hatopona akawaita watumishi wa Mungu kumuombea huu ni ushahidi tosha Magufuli alikuwa mtu mwema ni wachache sana Mungu anaowafunulia mwisho wao na ni mpaka Mungu akuchague
Mimi na wewe tuombe Mungu atujalie kifo chema🙏
 
Sidhani kama unaliangalia kiaskari akiwa public kwa level yake anatakiwa kujizuia.

Siku Kabudi, Polepole, Makonda au hata Bashiru wakitoa machozi hakuna wa kushangaa. Lakini sio senior army officer.
Kwani ana moyo?
 
Machozi ya, mamba, no substance, Maghu alikuwa mwizi kama majizi mengine ya ccm,
Mbaguzi wa ki kabila, huyu mabeyo anasikitika msukuma mwenzie kufa mapema, kabla hawajamaliza kupiga maokoto serikalini,
Mjomba yupo hazina, Tribe mate ni CDC, hapo ni wizi tu
 
Ha ha ha ha umenifurahisha sn, kumbe ulitaka tu kuwazindua watu usingizi baada ya kukosekana kwa mjadala wa JIWE. kusema ukweli hata mimi umenizindua aise nilikuwa sijui km leo kuna kumbukizi ya mwendazake. Well-done.
 
Ukimsikiliza vizuri, kuna maswali mengi ya kuukiza.

Yaani Rais mgonjwa anakaribia kufa mkewe yuko nyumbani siku nzima....
Mpaka wanakufa hana habari!?

Wakati Pengo anatafuta alikuwa kwenye ibadan. Je ni ibadan gani hiyo. Usually, catholics siku za kazi huwa na ibada asubuhi sana kwenye saa 12 asubuhi. Kwa jinsi anavyosimulia haionekani kuwa ilikuwa ni asubuhi sana. Hiyo inaweza kuleta hisia kuwa hakufanya siku ya kazi.
 

..sheria unasema kustaafu ni miaka 60.

..Mwamunyange ilikuwa astaafu mwaka 2016 akaongezewa muda na Jiwe.

..Sasa piga hesabu zako utuambie Mwamunyange alizaliwa mwaka gani.

..Pia mitandao inasema Mabeyo alizaliwa mwaka 1956 maana yake akifikisha miaka 60 umri wa kustaafu mwaka 2016.

..Maana yake ni kwamba aliteuliwa CoS akiwa na umri wa kustaafu, na aliteuliwa CdF akiwa ameshavuka umri wa kustaafu.

..Ndio maana nasema kuna walakini ktk uteuzi uliofanywa na Jiwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…