Chozi la Jenerali Mabeyo akisimulia siku za mwisho za Hayati Magufuli linaashiria nini?


..wakati mwingine " masharti maalum " ni upenyo waliopewa watawala kukiuka sheria.

..masharti / mazingira maalum yaliyopelekea Jiwe kuteua mstaafu ni yapi? Unaweza kutudokeza?
 
Kwa hiyo kama ilivyosemekana akina Bashiru na yule jamaa wa Tiss walitaka kusigina Katiba waweke wamtakaye.
 
Mkuu umeandika kwa hisia sana.
 
Hivi kweli unaona ni sahihi mtu kufoji cheti Ili apate ajira na baada ya kubainika na kuthibitishwa kuwa amefoji aachwe aendelee na kazi? Mimi nina mashaka na uwezo wako wa kufikiria
Alikuwa bias. Mbona alimuacha makonda aendelee licha ya kufoji vyeti na majina makonda aliua, hakuwa analipa kodi na ushuru alikuwa anatumia madaraka yake vibaya. Licha ya kuwafukuza wenye vyeti feki ilileta tija gani? Kupitia yeye Jiwe kulikuwa na upotevu wa matrillion.
 
Ukimsikiliza Jenerali ni kama vile tuliongozwa na ''busara' na siyo taratibu ndiyo maana kuna wale waliotaka iwe tofauti kwasababu kulikuwa na mwanya huo.
Binafsi nimeshangazwa na timing ya interview ya Jenerali, why now?? Na si wakati ule ama wakati ujao?

Kwa nini hasa.

Nikija kwenye hoja "busara" ilitumika badala ya taratibu za kikatiba kama kumuapisha baada ya 24 hours... Maswali yanaongezeka.

Ndiyo maana nikashauri tujikite kwenye mema tu aliofanya Hayati Magufuli (R I.P) kwenye mjadala. Pia tujikite kumshauri Mama Dr. Samia katika kutimiza wajibu wake kwa kuwa ni Rais wetu sasa, Maana tumeambiwa na Jenerali kuwa Rais anapenda sana kushirikisha watu kwenye kazi zake.
 
Wasije wakamuona liability tu wakamuwahisha na yeye ohoooo
 
Daily news!!

Hawajampangia cha kusema hawa!!
 
Mkuu kama umewahi kushuhudia hatua za mwisho za mtu unaemfahamu huwa sometimes huwa kanakuja ka-feeling flani hivi kakiambatana na machozi kulengalenga. Mgonjwa umemwacha umemwacha muda flani na ukapiga nae story alafu baadae unakuja kumwangalia hajitambui na ana struggle kitandani acha kabisa
 
Niliandika tayari ulichoniuliza. Nitaka uwe na utamaduni wa kusoma kwa ufahamu na usitegemee kutafuniwa.
Unaujinga ulichoandika ni kwamba Mabeyo amedanganya
Nimekuuliza na swala la Magufuli kuita viongozi wa dini nalo kadanganya
Jibu swali acha kuzunguka zunguka kama chizi anaetafuta mkate jalalani
 
Watanzania gani, maana Mimi ni mtanzania na Wala sitaki kujua Nini kilitokea maana naona amani imerejea nchini.

In the whole world, hakuna anayekubaliana na mambo yote. Hata JPM, kuna waliompinga na waliomkataa.
Wamekataliwa mitume na manabii...
Naposema watanzania namaanisha mimi na wengine waliomkubali.
Sio lazima na wewe uwemo kwenye kundi na haijalishi. Kipendacho roho....
 

Nimesema kama mpaka wale walio juu wanaganga njaa, hawaheshimu hata viapo walivyoapa. Hawana ethics za kazi....what else has remained?

Tusijifananishe na Marekani. Hii njaa yetu ni ya next level 🤣🤣🤣🤣
 
Unaujinga ulichoandika ni kwamba Mabeyo amedanganya
Nimekuuliza na swala la Magufuli kuita viongozi wa dini nalo kadanganya
Jibu swali acha kuzunguka zunguka kama chizi anaetafuta mkate jalalani

Wengine wanapeana hadithi wakiwa na supu ya pweza, gahawa na kadhalika.
Wakimaliza hapo ni kula ubwawa rundo kubwa
 
Experience is the best teacher! Now we have it.

Tutaona huko mbeleni itavyokuwa likija kutokea tukio jingine kama hilo.

NB: umehoji kwa nini makamu wa Rais na waziri mkuu hawakuwepo kusimamia matibabu ya Rais?

Are you serious? Yaani waache kazi za nchi waende wote spitalini kusimamia matibabu ya Rais?

Ulitaka wawepo kwenye chumba cha matibabu wakishuhudia Rais anapodungwa sindano, anapopimwa presha, n.k.?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…