Hujui sheria za jeshi kaa kimya
Kwa kawaida, sheria za jeshi huwa na masharti maalum kuhusu umri wa kustaafu. Hata hivyo, kuna hali ambapo jeshi linaweza kuongeza muda wa utumishi kwa wanajeshi baada ya kufika umri wa kustaafu kutegemea na mahitaji ya kimkakati au sera za kijeshi za nchi. Hii mara nyingi hufanyika kwa kuzingatia uwezo na uzoefu wa wanajeshi walio katika huduma.
Sasa si ujibu tu straight kwamba ni uongo au?Soma tena comments zangu.
Mkuu umeandika kwa hisia sana.Hakika suala la kifo ni fumbo sana sana sana sana
Ukibahatika kufa mbele za watu Mwombe Mungu
Leo hii tumepata simulizi nzuri ya EX CDF kumbe magufuli wakati anakufa hakuwa mikononi mwa mtoto wake,Mkewe wala ndugu yoyote ili ni kwa sababu ya cheo chake lakini hata mke hakurusiwa kuwa pale kumuuguzia mumewe?
Wewe ulie na ndoa kumbe usiringe yawezekana siku unakufa hata mkeo hatokuwa karibu na wewe wala watoto ulio wazaa
Aise
Bora maisha ya upadri[emoji3][emoji1787][emoji16][emoji23] fundisho kubwa
Simulizi ya CDF ipo wazi
Magufuli alipata nafasi ya kutubu dhambi zake zake kupitia Baba paroko na Kadinari pengo ili ni daraja la pekee sana sio wote ulipata
Magufuli alitaka akafie nyumbani kwake bira shaka hakupendezwa kuuguzwa paspo mkewe kuwa pale au watoto wake
Magufuli alitaka kujiua kwa kutaka kutolewa hosptali akafie kwake hii ni roho ya mauti uwa inamsumbua kila mmoja anae karbia kufariki uwa anachaguo lake.
Mwisho kwa uhakika
Magufuli kwa simulizi ya ex cdf yupo mbinguni
Je mlio kuwa karibu na Nyerere,Mkapa na Mwinyi Nini kilijili ili sisi tujipange kukutana nao either mbinguni hama motoni?
Malipo ni hapa hapa duniani.alijua ataishi milele
Alikuwa bias. Mbona alimuacha makonda aendelee licha ya kufoji vyeti na majina makonda aliua, hakuwa analipa kodi na ushuru alikuwa anatumia madaraka yake vibaya. Licha ya kuwafukuza wenye vyeti feki ilileta tija gani? Kupitia yeye Jiwe kulikuwa na upotevu wa matrillion.Hivi kweli unaona ni sahihi mtu kufoji cheti Ili apate ajira na baada ya kubainika na kuthibitishwa kuwa amefoji aachwe aendelee na kazi? Mimi nina mashaka na uwezo wako wa kufikiria
Mkuu kwema kabisa. Vipi za pande hizo?Habari za siku nyingi mkuu
Ulitaka amteue nani?Mabeyo hakuwa na sifa ya kuwa CDF alibebwa na ukabila. Magu alikuwa mkabila hasa, mpk leo sijui nchi ingegawanyika mara ngapi.
Binafsi nimeshangazwa na timing ya interview ya Jenerali, why now?? Na si wakati ule ama wakati ujao?Ukimsikiliza Jenerali ni kama vile tuliongozwa na ''busara' na siyo taratibu ndiyo maana kuna wale waliotaka iwe tofauti kwasababu kulikuwa na mwanya huo.
Wasije wakamuona liability tu wakamuwahisha na yeye ohooooKwa kauli yake ‘anadhani kuna wakati washauri wake wanampa ushauri mmbaya’ (hiyo ni cue tosha), juu ya mtazamo wake wa siasa za sasa. Sema kamalizia na diplomatic language tu anashirikisha watu wengi kwenye maamuzi yake na anafanya kazi nzuri.
Tukumbuke kwa sasa general ni mstaafu na wala awezi kuwa na open opinion kuhusu siasa ata angekuwa bado CDF leo; na akuwa na upande kwenye interview yake.
Lile chozi akielezea siku za mwisho za marehemu ndio limenishangaza kuna kitu emotionally kinamsumbua na kile kifo.
Ni swali tu sijahitimisha sababu itakuwa nini ukizingatia ni ngumu sana watu wa level yake kuonyesha public emotions.
Daily news!!Sasa cha kushangaza Mabeyo pamoja na kujitahidi kutabasamu ila chozi lilimshinda nguvu kwa sekundę kadhaa ameonekana akibubijikwa machozi ya hudhuni mbele ya camera. Kumbuka ata alipofiwa na mtoto wake rubani, general akutoa chozi alipofika eneo la tukio.
Je anajutia kutosikiliza maamuzi ya watu waliomshauri wapindue męża ya katiba huyo mama hiyo nafasi sio size yake na kinachoendelea leo Tanzania.
🤣Sikusikia akitaja kilichomwondoa Mheshimiwa,,
Ni nini kimetokea mpaka yaongelewe leo?
Mkuu kama umewahi kushuhudia hatua za mwisho za mtu unaemfahamu huwa sometimes huwa kanakuja ka-feeling flani hivi kakiambatana na machozi kulengalenga. Mgonjwa umemwacha umemwacha muda flani na ukapiga nae story alafu baadae unakuja kumwangalia hajitambui na ana struggle kitandani acha kabisaKwa kauli yake ‘anadhani kuna wakati washauri wake wanampa ushauri mmbaya’ (hiyo ni cue tosha), juu ya mtazamo wake wa siasa za sasa. Sema kamalizia na diplomatic language tu anashirikisha watu wengi kwenye maamuzi yake na anafanya kazi nzuri.
Tukumbuke kwa sasa general ni mstaafu na wala awezi kuwa na open opinion kuhusu siasa ata angekuwa bado CDF leo; na akuwa na upande kwenye interview yake.
Lile chozi akielezea siku za mwisho za marehemu ndio limenishangaza kuna kitu emotionally kinamsumbua na kile kifo.
Ni swali tu sijahitimisha sababu itakuwa nini ukizingatia ni ngumu sana watu wa level yake kuonyesha public emotions.
Niliandika tayari ulichoniuliza. Nitaka uwe na utamaduni wa kusoma kwa ufahamu na usitegemee kutafuniwa.Sasa si ujibu tu straight kwamba ni uongo au?
Unaujinga ulichoandika ni kwamba Mabeyo amedanganyaNiliandika tayari ulichoniuliza. Nitaka uwe na utamaduni wa kusoma kwa ufahamu na usitegemee kutafuniwa.
Watanzania gani, maana Mimi ni mtanzania na Wala sitaki kujua Nini kilitokea maana naona amani imerejea nchini.
Basi tatizo siyo kukosa uzoefu, bali kukosa weledi.
Nakuhakikishia hata tungekuwa na uzoefu kuliko Marekani, hali ingekuwa ileile.
Angalia mfano wa majanga: kuzama kwa meli, ndege kuanguka, ukame, njaa na majanga mengine ya asili kama mafuriko na matetemeko.
Tumejifunza kitu chochote kama taifa au kila tukio linatushtukiza sie ni kama wageni?
Unaujinga ulichoandika ni kwamba Mabeyo amedanganya
Nimekuuliza na swala la Magufuli kuita viongozi wa dini nalo kadanganya
Jibu swali acha kuzunguka zunguka kama chizi anaetafuta mkate jalalani
Experience is the best teacher! Now we have it.Yes ilikuwa interview nzuri sana kwa bahati mbaya sana walioendesha interview hawakuwa na weledi.
Laiti wangalikuwa nao tungejua mambo mengi sana
1. Wakati hali ya Mh Rais ikiwa mbaya kwanini Makamu wa Rais na Waziri mkuu hawakuitwa warudi Dar ?
Kwanini Makamu wa Rais na Waziri mkuu hawakuwepo kusimamia matibabu ya Rais. kwanini walikuwa ziarani?
Ilipofikia mahali Kadinali na Paroko wanaitwa, je, hiyo haikutosha kuwaita viongozi wakuu
2. Kwanini wakuu wa vyombo vya usalama walisimamia jambo hili bila kuwa na support ya Serikali
3. Kwanini Jenerali Mabeyo atafute taratibu ndani ya katiba wakati Mwanasheria mkuu wa serikali yupo?
4. Jenerali Mabeyo ametueleza mambo muhimu sana kuhusu Katiba. Kwamba nchi inaendeshwa bila muongo ndiyo maana kila jambo lilionekana kama ''novelty' na kwamba hakuna anayejua
a. Rais akiwa mahututi nani awepo nani aongoze nini
b. Rais akifariki taratibu gani zifuatwe kutangaza kifo, nani afanye hilo
c. Makamu wa Rais anaapishwaje na vitu kama bendera vinakuwaje
Ukimsikiliza Jenerali ni kama vile tuliongozwa na ''busara' na siyo taratibu ndiyo maana kuna wale waliotaka iwe tofauti kwasababu kulikuwa na mwanya huo. Tunatakiwa tukae chini hili halipaswi kuwa jambo la kubahatisha au kusema 'hatukuwa na experience'' hapana.
JokaKuu