Rafiki yako mkubwa aweza kuwa adui kama humjui jui..akili ni nywele.....Museveni rais wa Uganda alikuwa mtoto wa kuasiliwa(adopted) katika familia ya Byanyima wakiishi pamoja na Winnie Byanyima mke wa kiongozi wa upinzani Kizza Besigye aliyetiwa kizuizini na serikali ya Museveni kwa sasa. Amesomeshwa na kukuzwa na hiyo familia mpaka alipoweza kujitegemea.
Maisha yote ya kisiasa ya Kizza Besigye baada ya kuhamia upinzani yamekuwa ya mateso ya kila aina ikiwemo vipigo vya polisi na kuwekwa kizuizini gerezani au nyumbani kila mara licha ya hapo zamani kuwa daktari binafsi wa Museveni, kupigana vita pamoja msituni na Museveni kulelewa katika familia ya baba mkwe wake!
Chanzo ni Mbususu ya Winnie na wivu wa JaneMuseveni rais wa Uganda alikuwa mtoto wa kuasiliwa(adopted) katika familia ya Byanyima wakiishi pamoja na Winnie Byanyima mke wa kiongozi wa upinzani Kizza Besigye aliyetiwa kizuizini na serikali ya Museveni kwa sasa. Amesomeshwa na kukuzwa na hiyo familia mpaka alipoweza kujitegemea.
Maisha yote ya kisiasa ya Kizza Besigye baada ya kuhamia upinzani yamekuwa ya mateso ya kila aina ikiwemo vipigo vya polisi na kuwekwa kizuizini gerezani au nyumbani kila mara licha ya hapo zamani kuwa daktari binafsi wa Museveni, kupigana vita pamoja msituni na Museveni kulelewa katika familia ya baba mkwe wake!
Besigye alimpora m7 wakeMuseveni rais wa Uganda alikuwa mtoto wa kuasiliwa(adopted) katika familia ya Byanyima wakiishi pamoja na Winnie Byanyima mke wa kiongozi wa upinzani Kizza Besigye aliyetiwa kizuizini na serikali ya Museveni kwa sasa. Amesomeshwa na kukuzwa na hiyo familia mpaka alipoweza kujitegemea.
Maisha yote ya kisiasa ya Kizza Besigye baada ya kuhamia upinzani yamekuwa ya mateso ya kila aina ikiwemo vipigo vya polisi na kuwekwa kizuizini gerezani au nyumbani kila mara licha ya hapo zamani kuwa daktari binafsi wa Museveni, kupigana vita pamoja msituni na Museveni kulelewa katika familia ya baba mkwe wake!
alienda kukaa Kenya lini?Kiza nae akili hana hivi kweli unaenda kukaa Kenya? Ameshindwa kutafuta hifadhi ya kisiasa Kwa mataifa kama Marekani & Uingereza?
Binadamu Hawana jemaMuseveni rais wa Uganda alikuwa mtoto wa kuasiliwa(adopted) katika familia ya Byanyima wakiishi pamoja na Winnie Byanyima mke wa kiongozi wa upinzani Kizza Besigye aliyetiwa kizuizini na serikali ya Museveni kwa sasa. Amesomeshwa na kukuzwa na hiyo familia mpaka alipoweza kujitegemea.
Maisha yote ya kisiasa ya Kizza Besigye baada ya kuhamia upinzani yamekuwa ya mateso ya kila aina ikiwemo vipigo vya polisi na kuwekwa kizuizini gerezani au nyumbani kila mara licha ya hapo zamani kuwa daktari binafsi wa Museveni, kupigana vita pamoja msituni na Museveni kulelewa katika familia ya baba mkwe wake!
Hakua na nauliKiza nae akili hana hivi kweli unaenda kukaa Kenya? Ameshindwa kutafuta hifadhi ya kisiasa Kwa mataifa kama Marekani & Uingereza?
Hujui kuwa mara ya mwisho Besigye alikamatwa akiwa Kenya?alienda kukaa Kenya lini?
Kwani alikamatiwa wapi?alienda kukaa Kenya lini?