Tetesi: Chukueni hii ya Moto Moto kabisa. Inonga, Kapombe, Chama, Manula na Baleke miamala yao ilisoma mapema sana

Ukweli wanaujua sema tu wanajitoa ufahamu
 
1
Masikini. Kweli Simba ina mashabiki machiz wote. Ndio wa kumuelewa huyu anaruka ruka tu?. Unasahau juzi kaamdika nini? Leo atageuza kile alichokiandika jana. Poleni. Ngoja waje Azam wawagonge muwafukuze wachezaji wote
Wacha wajifariji

Azam afanye kweli
 
Ni wapumbavu pekee wataamini haya maujinga. Simba ina kasoro na tuliwahi kuzibainisha humu. Kuna uzi ulizitaja bayana kabisa. Haya mambo ya Manula kuchukua hela sijui Chama ni ujinga kama ujinga mwingine.
Kama una ushahidi weka sio porojo. Ukikaa dk 5 unaleta uzi ukikaa dk 10 unaleta lingine. Hebu ficha ujinga wako
 
Sawa
 
Nakubaliana kabisa na mtoa mada, huyo mwandamizi wa Simba wakati anakupigia simu kukwambia yote hayo tulikuwa wote pale kijijini kwetu " songambele" wilaya ya Bunda vijijini.

Ila umesahau mwandamizi alisema hata Kibu pia alinunuliwa ili ajipigishe shoti ndio maana hata alivyo umia ilikuwa kimagumashi gumashi.
 
Kumbe kipa alishasanuka ni kina kirefu wakamlazimisha avuke daaah!

Kipa asilaumiwe kila akijaribu kuruka wapi mpira wavuni mara tano(05) [emoji2][emoji2]
Mechi imeuzwa kipa katoka kupona nyonga harafu unataka adake mechi ngumu nakubaliana na mkuu genta
 
Asante sana Wewe Mchezaji Mwandamizi Simba SC na Kiongozi ( Mjumbe ) wa Bodi ya Simba SC kwa kunipa Taarifa hii muhimu sana.
Tatizo la simba inawekeza kwenye msneno sana timu ilianza kuonyesha udhaifu wiki mbili zilizopita kwenye mchezo dhidi ya al ahaly timu inahitaji kuongeza utimamu wa kimwili mabeki wa mwisho hawana muunganiko na viuongo lipo gape kubwa sana beki moja ya pembeni mfano ile mechi ya ahaly zilipigwa kona fupi nne na hakuna aliyeshughulika kukaba zote ni chochoro,timu yote inabebwa na kibu D unategemea wa kubadili matokeo ni miqsson au onana jipangeni mnunue wachezaji wa viwango sio maneno ya ahmed alliy yawaaminishe mna timu mpira hauchezwi chumbani hizo fikra zako ina maana nyie pia mnatoa miamala yanga kufungwa na simba zaidi ya goli nne ni mara kibao!
 
Acha uchochezi ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…