Chuo fulani Kilichoungua leo kina Kashfa Nzito, ila Kinalindwa na Mtanzania Muhimu sana

Hana analojua huyoo achana nae, ana hemkwa pasipo taka povuuu, anaumiaa ndani kwa ndani na hana cha kubalidilishaa.

Wanalia kwa keyboard had kamasi, wakirudi uraiani wanafuta chozi life lina endelea km kawaaa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu rafiki yako kila mahali mnakutana, akipita kona hii nawewe umo, hadi kitaelewaka mwaka huu
 
Mmmh nasikitikaga sana kusikia jambo fulani kisha kuambiwa kiongozi serikalini anajua,au taasisi ya kidini inahusika.Hizi taasisi zinazokuja kwa mwamvuli wa dini zichunguzwe.
 
Mi nimeongea nimeishia ondolewa access ya uzi
 

Unanipa pole ya nini mimi? Nafikiri ungejipa mwenyewe ,kitendo cha kupakuliwa siyo mchezo.

Nyie endeleeni michezo yenu maana mpo wengi ,anakusalimia huyu πŸ‘‡
 
Kwahiyo wewe hauna dhambi?
 
King Kong III wewe ndo wa kuanzisha ligi humu Jf, Acha hizo bana, Id yako ya heshima sana humu Mr.

Hahaha anaudhi sana huyo mtoto ,kuna mdau mmoja alisema tunamlaumu mtoto wa mona kujitangaza shoga na kumkemea while humu ndani wapo MANGAPULILA halafu tunawachekea.

Aaache kutetea ushoga ,kama yeye ni shoga na anajikubali alivyo atulie tu aendelee kuzagamuliwa kimya kimya na siyo kufanya promotion humu halafu tuendelee kumchekea.
 
Itakuwa na yule afande HAJJ MOHAMED IDDY wa ZANZIBAR na yeye alipitia mafunzo hapo chuoni.
Kamanda anadai chama chao wapo wengi tu hapo ZANZIBAR.
 
Genta Chizi katika ubora wake.
Na anayejua kuwa Genta ni Chizi lakini bado anamfuatilia Kutwa hapa JamiiForums kama Wewe ulivyofanya / ufanyavyo huwa anaitwaje?
 
Kweli hii ni kwaresma, GENTAMYCIME ndio umekuwa mpole ivi ?????πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†,ita kuwa kunamtu ka hack hii Id siyo bure.
Nimeamua kubadilika na kuwa Malaika. Halafu siitwi hili Jizi la ID yangu ( Parody ) GENTAMYCIME ili Kusafiria nyota yangu Kiumaarufu hapa JamiiForums bali naitwa GENTAMYCINE sawa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…