jiwe hakuwa sahihi popoteAkili za chawa wanaosifia hata mtu akienda kuoga unafikiri wanaweza kuamini hayo maneno? watu wameenda likizo ya kufikiri wanawaza kuweka tozo kila sehemu na mama yao anahangaika kutafuta sifa kwenda kuzika malkia wakati mambo nyumbani hayaendi kabisa, kuna sehemu nadhani JIwe alikuaga sahihi ila aproach ndio ilikua shida
Uchumi umeyumba, ajira hakuna. Taifa linazalisha vijana kuliko mazao. Vijana wa kike wanauza miili yao na vijana wa kiume wamekuwa panya road. Tozo kila kona, kodi nyingi kuliko vipato vya watu. Tuliambiwa Tanzania ni ya viwanda. Ila makanisa yana faida kuliko viwanda. Wajane, walioumia mioyo, wagonjwa na walalahoi ndo mtaji wao. Watu hutubu na kurudia dhambi zile zile kutokana na ugumu wa maisha!Siko vizuri katika lugha ya malkia lakini nimemwelewa vizuri. Jamani tusomeshe watoto
Lakini hii clip ni ya wayback 2012 hukoMzee kaongea ukweli kumbe kuna muda wanatuonea huruma,,,na kaitaja kabisa Tanzania ,,,,kodi kubwa inaua uchumi,,,ndio mana makampuni makubwa ya marekani wanaenda zao Kenya,,Hii nchi sijui nani kairoga
Ni kweli mkuu lakini huku ni afadhali mara 1000000 kuliko hizo kodi mnazotozwa huko Tanzania ambazo kwa kiasi kikubwa haziwanufaishi watanzania bali zinawanufaisha tu hao wanaoonekana ni watu wazima lakini kumbe akili hawana, hapa canada kodi nalipa kubwa ila nina uhakika wa bima ya afya na huduma nyingi za kijamii kama elimu bora kwa watoto wangu bila mizengwe yoyote... future ya huku inakupa tabasamu uzeeni kuliko huko Tanzania ambapo kadiri unavyozidi kuwa mtu mzima ndivyo unavyozidi kukunja sura kwa misongo ya mawazo inayosababishwa na ugumu wa maisha, tozo na makodi yasiyokunufaisha wewe wala familia yako iliyopo na ile ijayo. Sirudi Tanzania.
Mmmhmwipumbu nchamba
Kweli kuzaliwa bongo ni trap..Habari ndiyo hiyo Mwenye masikio na asikie.
Jamaa wanatujua hadi wanatuonea huruma
View attachment 2360992
Mwipumbu Nchamba 😂😂😂Dah kibaya zaidi katika clip ya dakika 2+ plus, mfano uliotolewa ni Tanzania tu. Hii inaonyesha kabisa kuwa hata donor country hawaielewi PhD ya mwipumbu nchamba.
Kuonegeza kodi ili tu kuaminisha watoa mikopo kuwa tuna uwezo wa kuilipa ni clear reason ya kuwa nchi inaongozwa na vibwengo.
Very true. Asians wamedominate uchumi wetu. Afu hakuna wanachoendekeza bongo. Wanahamisha hela tuTanzania has no future to Majority but minority.
18% na 20% ni mtu na mdogo wakeIla Sasa mbona VAT rate yetu sio 20% Kama anavyodai.
Ni kwa nini wasingewaachia wengine wao wakae pembeni?hata kwenye biashara mwenye bei kubwa ya bidhaa hawezi mzidi mwenye bei ndogo kwa mzunguko, washushe Kodi zinazolipika ili walipaji wawe wengi, kwa sababu hata rushwa zitapungua kwa wakusanya kodiHili sio swala la Mwigulu bali ni swala la Nchi,higher taxes have been there over long period of time..
Na nilimsikia siku moja Mwigulu akisema serikali ingependa kushusha hata VAT kuwa 5% nk ila hawawezi kwa sababu ya kuwa na tax base ndogo Sana kiasi kwamba wakifanya hivyo watakosa pengo la kufidia..
But ushauri Wangu ni kwamba wanaweza endelea kupunguza VAT kwa digit kadhaa kwenye sector za kipaombele na kadiri uwekezaji unavyoongezeka wazidi kupunguza zaidi walau by 2030 tuwe na 8-10% ya VAT huku kwenye salaries Kodi iwe ndogo isizidi 5%..huku biashara ndogo ndogo ziwe zinalelewa kiasi kwamba sio tuu zisitozwe Kodi bali leseni tuu hadi zikue.
Hili liendane na kupunguza urasimu kwa Kodi na tozo mbalimbali kuziqeka pamoja na kusiwe na utitiri wa tozo..
Ili uchumi ukue ni lazima ku stimulate demand na demand itavitia investment ambayo inturn itaongeza uzalishaji..
We.Habari ndiyo hiyo Mwenye masikio na asikie.
Jamaa wanatujua hadi wanatuonea huruma
View attachment 2360992
Habari ndiyo hiyo Mwenye masikio na asikie.
Jamaa wanatujua hadi wanatuonea huruma
View attachment 2360992
We make mistake,we learn ,we correct each and we move on!Habari ndiyo hiyo Mwenye masikio na asikie.
Jamaa wanatujua hadi wanatuonea huruma
View attachment 2360992
Watu weusi tuna laana ya asiliBinafsi mkuu Nina plan ya kuhamia ulaya ,natafuta hela ya kununua apartment nje nisepe. Yaani Bora kizazi changu wakioana na wazungu karibu mpaka kizazi Cha sita hivi nitakuwa Nisha wazungulize kizazi changu mazima.
Na discourage kuzaa na blacks wenzao. Mayweather utajiri ule pale kazi kupiga picha na mahela sijawahi muona Elon musk anafanya ivyo. Anadhani yeye pekee kwa njia yake Ile ndio anapata hela kiume.
Hawazi kizazi chake Cha tatu na tano wataishije. Anabakia eti kumfanyia mwanae birthday ya milioni Mia anajiona mjanja.
Huku ana uwezo wa kuwekeza ama afungue kiwanda matata kifanye kazi hata kwa 500-1000yrs sema blacks iyo akili hatuna tunawaza kuuza Mali za marehemu tule Bata na kununua gari za Bei Kali unajiona wewe mjanja kumbe unanufaisha mwenye kiwanda Cha Lamborghini
Na Huu ndio ukweli mchungu ambao watu wengi hawapendi kuisikiaWazungu wana akili sana. Huu ndiyo ukweli mchungu.
Shida ya viongozi wetu ni ubinafsi. Ni wabinafsi kama fisi. Wao wenyewe hawataki kulipa kodi na wanapewa huduma zote na serikali kama maiti.
Bila kufanya mabafiliko makubwa kwenye mifumo yetu ya kodi na uongozi hatuwezi toboa kamwe
Angalia na level ya uchumi na kipato cha mwananchi WA kawaida Kati ya Europe na Africa
Huwezi kukamua maziwa Kwa ndama