Clouds Media, kuweni makini na kujiingiza kwenye siasa. Mtasuswa na watanzania!

Clouds Media, kuweni makini na kujiingiza kwenye siasa. Mtasuswa na watanzania!

Atavuna anachopanda
Hivi huu ujinga chadema mtaacha lini?
. Yani unataka kila mtu afuate akili zenu za kichadema?

Hivi ile kampeni yenu ya kususia voda iliishia wapi? Voda imefisilika kwa kukimbiwa na wateja ambao wanafuata msimamo wa kina Lema eti?
 
Kama mna clip ya hawa watu isambazeni watu waanze kuwapuuza hao.
Kama mlivyoisusia voda ama siyo.?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mtalia sana mwaka huu na hapo ndio kwanza tuko June, ikifika oktoba lazima mtembee matumbo wazi
 
Nilishawaonya clouds kuelemea CCM kupitia kipindi Chao Cha clouds 360 ila naona hawajakoma .

Kusaga akumbuke alianzisha kijifundrise chake Cha kipumbavu akihamasisha wenye hell kuchangia kits za covid 19 bila magu kumuonea aibu alimpiga ban kwakukataza huo upuuzi Tena akamwambia Kuna watu nasikia wameanza kuchangisha michango ya covid 19 hivi kusaga hajui ameanza kuanguka? Alitumia mbeleko ya kumsifu ummy mwalimu kusaga kumbuka tuliokuweka hapo juu ni sisi wewe endelea kumsifu mfalme ukasahau ulikotoka .

Soma aya ya mwisho kusaga.

Clouds ni mali ya familia kumbuka ulikabidhiwa wewe toka kwa baba yako mkubwa ambae ndio alibidi apewe clouds wewe ni dogo Sana kwasababu wewe ni mjukuu mdogo wa mtoto mdogo wa mzee kusaga yule dogo wa morogoro baba yake ni mkubwa kwako na Sasa wale watoto wanakuja unajua kwanini wiki hii dogo kaenda mbeya....???

Sasa tunakuambia hivi...

Yule mdogo wako anaevuta bangi mafisa morogoro na kunywa gongo sasahivi akili imepevuka anaanza kudai umiliki wa Mali maanahiyo sio Mali yako ni ya familia endelea kufagilia upande mmoja ukaacha wa pili wanasiasa wanapita ....!
Kwa hiyo nyie chadema mtasusia kama mlivyosusia Voda?
[emoji41][emoji41][emoji41]
 
Tbc inaangaliwa na mamilioni ya watanzania,nyumbu hawajawahi kususa wakfanikiwa
Mliwahi kususia line za voda,mlipata nini?
Unamsaidia kusaga kulipa mishahara?
Chadema acheni kulia lia
TBC inaendelea kuwepo kwa sababu ya kodi zetu lakini siyo kwa kuwa na uwezo wake binafsi. Ni TV station ambayo huwezi kupoteza muda kuiangalia. Utaangalia kwaajili ya kupata nini?

Haina uwezo wa kuelimisha kwa sababu nadhani wafanyakazi wake wanahitaji kuelimishwa.

Huwezi kuiangalia kwa maana ya kuoata habari maana zaidi ya 90%unajua watakachotangaza. Ni TV ya kusifia Serikali tu, panapostahili na pasipostahili.

Ni TV ambayo haijui hata vipaumbele vya Taifa. Unaweza kuona kuna janga kubwa la Taifa, wao wapo busy na ngonjera za kusifia Serikali au wanapiga taarabu.

Huwezi kupeleka tangazo lako la biashara TBC halafu utegemee liwafikie watazamaji wengi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usiseme watasusiwa na watanzania sema mtawasusa nyinyi ambao hamfiki hata 10k.Kwanza naanza rasmi kuwasikiliza redio mawingu kumbe wanavipindi vizuri.
 
Kusaga jaribu kuwaangalia mamluki wanaotumiwa hapa na wanalumumba kukuharibia kituo... kuwataja wachache...

1. watangazaji wa kike wa Leo tena.
2. Yule msoma magazeti (mtu mrefu) na mwenzake wa kiume katika 360 ( Yule ambaye baba yake alihongwa 100 milioni na jiwe eti kisa aligundua Tanzanite nimesahau jina lake).

Huyu hasa ndiye anayeharibu kipindi cha 360....ni mnafiki saana na anaonekana wazi wazi kuwa katumwa
 
Masikini chadema mmekuwa ka wahamiaji haramu kwenye nchi inayoongozwa na vyama vya mlango wa kulia. Hamna anaewataka saizi, pole sana kwa magumu mnayopitia
 
Ni ngumu kuwashawishi watu wasisikilize au kutizama clouds media. Narudiankusema kama clouds kufa ingekufa baada ya Kikwete kutoka madarakani, lakini mpaka Leo wanaendelea, watu wameongea sana clouds isuswe lakini sio rahisi, vijana wengi na watu wa lika la kati wanasikiliza clouds kwenye nagari wanapotoka na kwenda kazini, nenda Salun na madukani vijana wengi wa kike na kiume wanasikilixa clouds.
Ukitaka kusikiliza mziki mzuri, uchambuzi wa michezo wengi husikiliza na kutazama clouds so sio rahisi kushawishi watu waisusie. Eleweni wale hucheza na upepo na nyakati
Mkuu huko umeenda mbali! Angalia tu ishu ya voda.

Hadi kina Lisu na viongozi wote wa juu wa chadema walihamasisha tususie laini za voda, lakini siku walipotiwa ndani kina Lema wakatoa laini zao za voda tuwatumie michango humo.

Ni wajinga sana hawa jamaa hasa hawa mashabiki wao.
Usione hapa wanajitapa hawaangalii tbc ukienda majumbani mwao wametune tbc masaa 24
 
Taasisi yoyote nimuhimu kujifungamanisha na serikali vyema tatizo serikali ni CCM so huwezi epuka kujikuta na CCM.

Kwani ni TV gani chadema wamesema iangaliwe na ikaangaliwa sana maana TBC mnaiponda nabado inaendelea kuwabora. Tatizo Chadema inalazimisha kukubalika kwa ku-take advantage ya kuipinga serikali jambo ambalo lazima utapata wafuasi.

Redio zote zijitahidi kuiheshimu na kuisapoti setikali kwenye mambo yote mazuri na mabaya kwakukosoa kiuungwana sio matusi
 
Cloud media kamate hapohapo! Watz tupo nyuma yenu na pamoja nanyi! Erythrocyte hizo ni zile zilipendwa! Chadema ya enzi hizo za ami a parre siyo chadema hi! Msitishie watu wazima nyau! Halafu umekariri vibaya...yaani wewe na wahuni wenzio wachache mnajidanganya Kuwa bado mna nafasi Tena ktk ulingo huu wa siasa na upuuzi wenu wote mlioumbuka nao! Tafuteni kazi nyingine!
 
Yaani wewe ni Nani hata uwaambie wafuate unachotaka wewe, inazijua gharama zilizotumika kuanzisha clouds TV,

Mwisho wa yote, wewe huwezi wapangia wafanye kipi na waache kipi, kama vipi anzisha ya kwako,

Nakuona ulivyo simamisha na mishipa shingoni kupangia watu matumizi ya vitu vyao, halafu ni kama Una wivu Sana dada! Pole
 
Back
Top Bottom