Hivi huu ujinga chadema mtaacha lini?Atavuna anachopanda
Kama mlivyoisusia voda ama siyo.?Kama mna clip ya hawa watu isambazeni watu waanze kuwapuuza hao.
Kwa hiyo nyie chadema mtasusia kama mlivyosusia Voda?Nilishawaonya clouds kuelemea CCM kupitia kipindi Chao Cha clouds 360 ila naona hawajakoma .
Kusaga akumbuke alianzisha kijifundrise chake Cha kipumbavu akihamasisha wenye hell kuchangia kits za covid 19 bila magu kumuonea aibu alimpiga ban kwakukataza huo upuuzi Tena akamwambia Kuna watu nasikia wameanza kuchangisha michango ya covid 19 hivi kusaga hajui ameanza kuanguka? Alitumia mbeleko ya kumsifu ummy mwalimu kusaga kumbuka tuliokuweka hapo juu ni sisi wewe endelea kumsifu mfalme ukasahau ulikotoka .
Soma aya ya mwisho kusaga.
Clouds ni mali ya familia kumbuka ulikabidhiwa wewe toka kwa baba yako mkubwa ambae ndio alibidi apewe clouds wewe ni dogo Sana kwasababu wewe ni mjukuu mdogo wa mtoto mdogo wa mzee kusaga yule dogo wa morogoro baba yake ni mkubwa kwako na Sasa wale watoto wanakuja unajua kwanini wiki hii dogo kaenda mbeya....???
Sasa tunakuambia hivi...
Yule mdogo wako anaevuta bangi mafisa morogoro na kunywa gongo sasahivi akili imepevuka anaanza kudai umiliki wa Mali maanahiyo sio Mali yako ni ya familia endelea kufagilia upande mmoja ukaacha wa pili wanasiasa wanapita ....!
Kumetokea nini tena Mkuu? Nahisi kuna kitu nimepitwaAtavuna anachopanda
TBC inaendelea kuwepo kwa sababu ya kodi zetu lakini siyo kwa kuwa na uwezo wake binafsi. Ni TV station ambayo huwezi kupoteza muda kuiangalia. Utaangalia kwaajili ya kupata nini?Tbc inaangaliwa na mamilioni ya watanzania,nyumbu hawajawahi kususa wakfanikiwa
Mliwahi kususia line za voda,mlipata nini?
Unamsaidia kusaga kulipa mishahara?
Chadema acheni kulia lia
Mkuu huko umeenda mbali! Angalia tu ishu ya voda.Ni ngumu kuwashawishi watu wasisikilize au kutizama clouds media. Narudiankusema kama clouds kufa ingekufa baada ya Kikwete kutoka madarakani, lakini mpaka Leo wanaendelea, watu wameongea sana clouds isuswe lakini sio rahisi, vijana wengi na watu wa lika la kati wanasikiliza clouds kwenye nagari wanapotoka na kwenda kazini, nenda Salun na madukani vijana wengi wa kike na kiume wanasikilixa clouds.
Ukitaka kusikiliza mziki mzuri, uchambuzi wa michezo wengi husikiliza na kutazama clouds so sio rahisi kushawishi watu waisusie. Eleweni wale hucheza na upepo na nyakati
Na Makengeza akipiga disco pale Club Bolicanas!miaka zaidi ya 25 iliyopita wakati ule unapiga Disco coco beach ukiwa na DJ Bonny love
Na kawasababu hiyo imefilisika et?
Sema wewe unaeifuatikia Mana me Sina time nayo Wala sihitaji kufahamu hilo.Na kawasababu hiyo imefilisika et?
Kwani Ccm ni mali ya nani?Watu wanazungumzia content ya tbc chombo cha serikali kuwa mali ya ccm kutangaza hadi ujinga
Hivi vikampeni vyenu uchwara huwa vinawaaibisha sana!Sema wewe unaeifuatikia Mana me Sina time nayo Wala sihitaji kufahamu hilo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ushaambiwa Asante kwa Kushiri!Likichwa la Habari lirefu utadhani Treni ya kwenda Bara, wakati ungeweza tu kuja na Kichwa cha Habari kifupi na chenye Ujumbe ulio toshelezi pia.