hii miradi kwa tanzania ya sasa haiwezekani maana wateja wenyewe hakuna, ba ndio hao wameacha kuja bongo licha ya miaka 20 ya kuvutia wawekezaji, sasa hao makarani wa barclays ndio watakao kuwa wapangaji na wanunuzi wa hizo bidhaa hapo
Ni Mradi wa ubia na NHC, sitanii, fuatilieni
