Confirmed: Waraka wa Baraza la Maaskofu Wakatoliki(TEC) wasomwa hadharani kwa waumini wote kwa makanisa yote RC Tanzania nzima

Namuabudu mamayo
Kwahiyo wewe unaabdu wanadamu?
Kwahiyo umelaaniwa

Yer 17:5​

BWANA asema hivi, Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu, Amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yake Na moyoni mwake amemwacha BWANA.
 
Kwahiyo wewe unaabdu wanadamu?
Kwahiyo umelaaniwa

Yer 17:5​

BWANA asema hivi, Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu, Amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yake Na moyoni mwake amemwacha BWANA.
Mi namuabudu mamayo
 
Hakuna audio ..hiyo picha hapo anaweza akawa shemasi huyo anasoma taarifa ya sadaka.
 
Haitabadilisha kitu
Km huzijui siasa utaona hakitabadilika kitu. Ila hili swala Lina matokeo chanya na hasi makubwa sana. Ni tamko la hatari pia.

Hili Ni km bomu.

Mpaka ktk ibada za vijana na watoto waraka umesomwa. Ufahamu umekuwa mkubwa.
 
Km huzijui siasa utaona hakitabadilika kitu. Ila hili swala Lina matokeo chanya na hasi makubwa sana. Ni tamko la hatari pia.

Hili Ni km bomu.

Mpaka ktk ibada za vijana na watoto waraka umesomwa. Ufahamu umekuwa mkubwa.
Afu ikishasomwa ndo nini kitatokea?
 
Jidanganye hii , first move Bado Kuna plan nyingine hiyo ni hatari zaidi

Kiufupi , Samia 2025 hatuko naye kama Mgombea

Imeshapitishwa Sasa ni utekelezaji tu
Wachaa weee😄😄😄aiseeee?!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…