Mkuu hata mimi kuna muda huwa najiuliza kwa nini inakuwa hivi yaani baadhi ya vitu Mungu anashindwa kuzuia na uwezo anao.
Bado nasoma kile kitabu uliwahi weka hapa siku nyingi
'Philosophy of religion. An anthology'
Kwa kweli nimejifunza vingi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiswahili unakijua mkuu
Haya sasa ndio umeandika nn au una maana gani hapo
Mungu atafanya kwa wakati wake kazi yetu sisi ni kumuomba sio KUMLAZIMISHA. Waliopo Saudia ni watu sio miungu ni lazima wachukue tahadahari. Hata Yesu katika hali ya ubinadamu aliomba aepushwe na kile kikombe cha mateso, sembuse Wasaudia?Mungu kashindwa kuwanusuru watu wake na janga hili?
Hata wanaokwenda Hijja?
Huyo Mungu yupo kweli au ni hadithi za watu tu?
Kwa hiyo kwa wakati huu kawapotezea?Mungu atafanya kwa wakati wake kazi yetu sisi ni kumuomba sio KUMLAZIMISHA. Waliopo Saudia ni watu sio miungu ni lazima wachukue tahadahari. Hata Yesu katika hali ya ubinadamu aliomba aepushwe na kile kikombe cha mateso, sembuse Wasaudia?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu alishindwa kuumba ulimwengu ambao ngono zembe haijulikani na haiwezekani kufanyika?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilimwambia nani? Unajuaje aliniumba?
Point yako hapo wataka wasizuiwe waende tuh kulingana ni kua wanaenda fanya ibada..aki point yako ni zaifu...huezi kulindwa bila kujilinda yaani upewe akili ya kujikinga afu ufanye kusudi kuruhusu ugonjwa ukitegemea kuepushwaMungu kashindwa kuwanusuru watu wake na janga hili?
Hata wanaokwenda Hijja?
Huyo Mungu yupo kweli au ni hadithi za watu tu?
Kwanza kabisa, point yangu hujaielewa.Point yako hapo wataka wasizuiwe waende tuh kulingana ni kua wanaenda fanya ibada..aki point yako ni zaifu...huezi kulindwa bila kujilinda yaani upewe akili ya kujikinga afu ufanye kusudi kuruhusu ugonjwa ukitegemea kuepushwa
Nilimwambia nani? Unajuaje aliniumba?
Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tahazari ni muhimu..askari wapo wanaokulinda ila kwann huachi mlango wazi ukiwa waondoka..Iran wame cancel Friday prayers.
Mungu kashindwa kuwanusuru watu wake wanaotaka kusali Ijumaa?
Kweli huyu Mungu yupo au ni hadithi za watu za uongo tu?
Iran coronavirus death toll reaches 26, many Friday prayers canceled
Iran said on Thursday its death toll from coronavirus had risen to 26, by far the highest number outside China, and the total number of infected people now stood at 245, including several senior officials.www.reuters.com
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeuliza kwann mungu asiwalinde hao wanaoenda kufanya ibadaKwanza kabisa, point yangu hujaielewa.
Unajua kusoma kwa ufahamu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna msanii aliimba kitu muhim sanaa...trusting God but close your door ....ukiwa na hekima utaelewaWaue Baba... Waue na dini zao... Waje wapambane na wewe kwa hoja tunawataka.
Sent using Jamii Forums mobile app
M kwa herufi kubwa ni kusifu utukufu wakeKiswahili nakijua mkuu,
Narudia tena kukukumbusha
Ni Mungu sio mungu.
(M)[emoji818]️
(m)[emoji808]️
Wewe Unaona magonjwa huwezi jua kusudio la munguKwa hiyo kwa wakati huu kawapotezea?
Imekuewaje Mungu mwenye uwezo wote kaumba ulimwengu ambao magonjwa yanawezekana?
Sent using Jamii Forums mobile app
we mamasKwa hiyo kwa wakati huu kawapotezea?
Imekuewaje Mungu mwenye uwezo wote kaumba ulimwengu ambao magonjwa yanawezekana?
Sent using Jamii Forums mobile app
Magonjwa lazima yawepo ili binadamu wafe bila watu kufa hii dunia ingekuaje saiv..rejea kwenye issue za eco systemKwa hiyo kwa wakati huu kawapotezea?
Imekuewaje Mungu mwenye uwezo wote kaumba ulimwengu ambao magonjwa yanawezekana?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mantiki hiyo, uthibitisho siyo objective kwamba kinatambulika na milango ya fahamu bali kinatambulika kwa akili.Kuonesha jambo kwa njia isiyoacha shaka yoyote.
Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unamaanisha nini unaposema kanipoteza, aliweka kitabu nikakisoma kuona nini kilichomo.Jamaa ameshakupoteza huyo,
yaani Binamu atengeneze gari halafu hiyo gari iwe na uwezo wa kumjua huyo binadamu? Impossible
Mungu tunaemuabudu Sisi,mmoja asie na mshirika
Ndie aliumba Viumbe wote,mpaka maradhi
Anampa ugonjwa amtakae kwa hikma yake,na anamkinga amtakae kwa Hikma zake
Kwa hili
Ndani ya Uchina
Bado wapo waliopatwa na maradhi,lkn hapo hapo ambao hawajaguswa na maradhi hayo
Haya yote
Ni kwa Hikma yake
Ukitaka Mungu,afanye kama utakavyo wewe Kiranga na wafuasi wako,Basi huyo si Mungu,atakuwa mtu
Sent using Jamii Forums mobile app
Utaijuaje haki kama usingeliijua batili? Usamehevu ama huruma itatokeaje ikiwa hakuna lililotendwa baya au ufisadi? Unayohoji ungeyajuaje kama kusingelikuwa na upande B wake? Uwepo wa unayohoji yanahitajika ili kujua uzuri upoje!kwa namna yoyote ile, yeye ni muweza wa yote na ujuzi wote.
Mtu kuacha kufanya ibada yake ya hijja kwa kuhofia Corona ni kiashiria kwamba Mungu kashindwa kuzuia Corona ili waja wake wamuabudu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Poor Argument.Kitendo cha wewe kufumba macho nakuona giza nakufumbua macho na kuona nyota sio giza la mchoni kufuata nyota na wala sio nyota kufuata macho yako inatosha kuthibitisha MUNGU YUPO na yeye ndio alie umba nyota na yeye ndie alieumba giza na akaavipanga vitu katika mahala pake
Wewe ni binadaam huwezi kuwaza kazi za mungu kirahisi rahisi