Mwaka usiishe huu umuoe huyo bibie usije ongeza idadi ya single mama ππππkusitiriana ni ukomavu wa hali ya juu, mie sina tofauti na wewe, ni vile sijaenda kulisha watu ukumbini tu. Ila maisha yanasonga.
We umeolewa una rights za kuongea unalotaka mamii.Halafu hizi fikra mwanamke anachuja hebu badilikeni,Mwanamke kujitunza mwili wala hauchuji wala sura haitoonyesha umri umeenda πππππ
πππππ hahah sina maana hio. Nafanya rehersal bado.Mwaka usiishe huu umuoe huyo bibie usije ongeza idadi ya single mama ππππ
ππAm hot as fuc.k
Mnachelewesha watoto kwenda shule,umri wa kuishi Dunia umepungua ukigonga 40 una bahati mnooo πππππππππ hahah sina maana hio. Nafanya rehersal bado.
Lazma yupo abnormal huyo, madhara ya migundi mwilini mabaya sana.Hivi huyo wifi ako apati ugonjwa kama akiri kidogo inatikisika tikisika...kwa kufuga nyegez...miako yote hiyo
unaonaje ubadilike sasaHii nadhani ni moja ya sababu siolewi mimi hahahahhahahahaha
Hahah nataka tufyatue kwanza ili babamkwe mahari nimpangie mimiπππ elimu bure Magu karahisisha. Wataenda tu school!Mnachelewesha watoto kwenda shule,umri wa kuishi Dunia umepungua ukigonga 40 una bahati mnooo ππππ
Nina serengeti lite ya 3 hapa.Agiza bia mkuu
Umenikumbusha ex wangu mmoja kwenye suala zima la status za harusi za wenzake.Hivi unakua unacheka vipi au unafurahia vipi wakati unaona wivu hua nachekaga sana nikiangaliaga status za wadada kwenye sherehe za wenzao ambazo wao wwnyewe hawajaolewa wanajichekeshaga sana lakini daah ndo vile tena
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Raha ya JF ni watu waliopo gizani...unarusha tu lijiwe....ukisikia mtu kasema "yalaaaaaaaa" ujue jiwe limegota mahala pake....
Daaaaahna kuoa ni magufuli
Duuh..unampondea balaaa,hata kama ni kweli.Kugongwa atakuwa anataka ila nahisi anawaza na umri huu naanzaje kumvulia mtu nguo? Haya Mambo bwana yana umri wake, kitu 45 plus halafu huna mvuto wowote
Nina serengeti lite ya 3 hapa.
Kibongobongo kuchuja kupo pale pale labda uwe unaishi kwa Trump.Halafu hizi fikra mwanamke anachuja hebu badilikeni,Mwanamke kujitunza mwili wala hauchuji wala sura haitoonyesha umri umeenda [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Simpondi, naelezea kwanini baadhi yetu hatuolewi wakati ndoa tunazitakaDuuh..unampondea balaaa,hata kama ni kweli.
Wa kuwaoa tupo , sema hamtutaki.Eeeeh sasa jamani kama wa kutuoa hawapo tufanyaje.... Kuna vitu vingine huwezi kufosi vitokee acha wanaoolewa waolewe wakati wao umefika
Wema amechuja kwaajili ya make up. Usipozoea sana kupaka make up huwezi chuha harakaKibongobongo kuchuja kupo pale pale labda uwe unaishi kwa Trump.
Nilishangaa kumuona Wema usoni akiwa bila make up wakati ule alipohukumiwa siku saba za kukaa mahabusu
Mkuu
Ushaolewa mkuu ?Duuh..unampondea balaaa,hata kama ni kweli.