Daktari: Mtu mmoja anatakiwa kufanya ngono mara tatu kwa wiki - Swahili Times

Daktari: Mtu mmoja anatakiwa kufanya ngono mara tatu kwa wiki - Swahili Times

Huyo daktari atupatie na takwimu ya wanaume wanaopoteza maisha kwa sababu ya kufanya mapenzi mara nyingi.
 
Mtu fodingo huko ulipo zingatia ujumbe wa doctor tusichoshane bila sababu,,au doctor aongeze sauti???
 
Kwa huo utafiti sina muda mrefu wa kuishi duniani,kabla ya kutoka kwangu nachakata mbususu na kabla sijafika kazini napita kwa mchepuko wangu Tabata naloweka tena,Eeeh M/Mungu kwa utafiti huu nijaalie kifo chema😭😭
😃😃
 
Wanaume wanaopenda kufanya ngono mara kwa mara wanadaiwa kuwa kwenye hatari ya kufariki mapema tofauti na wanaume ambao hawafanyi kitendo hicho mara kwa mara.

Hayo yamesemwa na daktari bingwa wa afya ya uzazi kutoka Hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar, Dkt. Ummukulthum Omar wakati akitoa mafunzo ya afya ya uzazi kwa wanachama wa Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA) katika mkutano mkuu wa chama hicho uliofanyika eneo la Tunguu, Zanzibar.

Dkt. Omar amebainisha kuwa wanaume wanaopenda kufanya ngono hufariki dunia mapema kwa sababu hutumia nguvu nyingi wanapofanya tendo la hilo, hali inayowasababisha kuishiwa nguvu kwenye miili yao.

Aidha, amesema kitaalamu mtu mmoja anatakiwa kufanya tendo la ndoa mara tatu ndani ya wiki moja ili kuuweka mwili sawa na kwamba anapofanya zaidi ya inavyoelekezwa hujiweka katika hatari.

“Kufanya tendo la ndoa kila siku kunahatarisha afya ya mwili, hivyo ni vyema wanandoa kufanya kitendo hicho kwa kufuata utaalamu kutoka kwa wataalam wa afya na isiwe mnafanya jambo hilo kwa kukomoana,” ametahadharisha Dkt. Omar.
Huyu daktari nae mbona chuplichupli.
Anyways mara tatu kwa wiki inatakiwa ndio iwe minimum.
Wake muanze kutoa mbususu hizo sii mmesikia three times a weeks for a healthy life.
 
Kama bado mnapendana vizuri, sawa.
Ila makwazo yakianza hahahahahahaha mtalala hata mwezi hamjagusana nakwambia.
Kha yaani usimguse mkeo mwezi mweee sasa umeoa ya nini?
Ata tuwe na ugomvi kugegedana ni lazima alafu haya matanda ya six by six ndio yanaleta haya mambo.
Kitanda cha 4 by 6 lazima mgusane na mkigusana tuu tayari...unless mke hana tako🤣🤣🤣🤣
 
Daktari wa michongo huyo.
Je? Nasisi wenye wake watatu anataka tuchapiwe?
Huyu dokta Ni muislam, inamaana hakupitia madrasatul wakamfunda kwamba kuoa wake wengi Ni Sunnah.
Mimi nijuavyo MTU akiwa between 25 and 40 sex Ni Mara tatu kwa siku. Viwili mkianza kulala na kile kitamu wakati wa swalah swalah wapemba wanakiita morning Glory.
Labda kwa wasio na wake sawa.
 
Ushawahi kulala na mwanaume pembeni yako kwa miaka kumi mfululizo? Rahisi sana kuongea...
😅😅😅 kuna kipindi wiki mbili zi apita aisee. Na kila kitu ndani kipo fresh utani mwingi ila hamna game, ile kukaa pamoja kiu inakata
 
Wanaume wanaopenda kufanya ngono mara kwa mara wanadaiwa kuwa kwenye hatari ya kufariki mapema tofauti na wanaume ambao hawafanyi kitendo hicho mara kwa mara.

Hayo yamesemwa na daktari bingwa wa afya ya uzazi kutoka Hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar, Dkt. Ummukulthum Omar wakati akitoa mafunzo ya afya ya uzazi kwa wanachama wa Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA) katika mkutano mkuu wa chama hicho uliofanyika eneo la Tunguu, Zanzibar.

Dkt. Omar amebainisha kuwa wanaume wanaopenda kufanya ngono hufariki dunia mapema kwa sababu hutumia nguvu nyingi wanapofanya tendo la hilo, hali inayowasababisha kuishiwa nguvu kwenye miili yao.

Aidha, amesema kitaalamu mtu mmoja anatakiwa kufanya tendo la ndoa mara tatu ndani ya wiki moja ili kuuweka mwili sawa na kwamba anapofanya zaidi ya inavyoelekezwa hujiweka katika hatari.

“Kufanya tendo la ndoa kila siku kunahatarisha afya ya mwili, hivyo ni vyema wanandoa kufanya kitendo hicho kwa kufuata utaalamu kutoka kwa wataalam wa afya na isiwe mnafanya jambo hilo kwa kukomoana,” ametahadharisha Dkt. Omar.

Wewe na daktari mna shida, lazima useme maana ya mara moja ni nini
 
Kwahio ni kwenye mapenzi tu mwanaume ndio anapoteza nguvu nyingi
Ukitaka kujua nguvu zinaisha, maliza kupiga game kacheze kabumbu uwanjani.. au kapande mlima. Nakumbuka kuna siku nilikwamisha kazi, nilishindwa panda mlimani maana ilikuwa mikali, panda wa kwanza wa pili nikawagomea kati kati, unatetemeka magoti 😅😅😅
 
😅😅😅 kuna kipindi wiki mbili zi apita aisee. Na kila kitu ndani kipo fresh utani mwingi ila hamna game, ile kukaa pamoja kiu inakata
Yaani acha kabisa mkuu, unashangaa wiki zinakata bila bila na upo vizuri tu!!
 
Ukitaka kujua nguvu zinaisha, maliza kupiga game kacheze kabumbu uwanjani.. au kapande mlima. Nakumbuka kuna siku nilikwamisha kazi, nilishindwa panda mlimani maana ilikuwa mikali, panda wa kwanza wa pili nikawagomea kati kati, unatetemeka magoti 😅😅😅
Effect yake hata wiki mpira unakupita tobo tu 😆 hapo ni nguvu huna au viungo tu havina uroto ulee😁
 
Wanaume wanaopenda kufanya ngono mara kwa mara wanadaiwa kuwa kwenye hatari ya kufariki mapema tofauti na wanaume ambao hawafanyi kitendo hicho mara kwa mara.

Hayo yamesemwa na daktari bingwa wa afya ya uzazi kutoka Hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar, Dkt. Ummukulthum Omar wakati akitoa mafunzo ya afya ya uzazi kwa wanachama wa Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA) katika mkutano mkuu wa chama hicho uliofanyika eneo la Tunguu, Zanzibar.

Dkt. Omar amebainisha kuwa wanaume wanaopenda kufanya ngono hufariki dunia mapema kwa sababu hutumia nguvu nyingi wanapofanya tendo la hilo, hali inayowasababisha kuishiwa nguvu kwenye miili yao.

Aidha, amesema kitaalamu mtu mmoja anatakiwa kufanya tendo la ndoa mara tatu ndani ya wiki moja ili kuuweka mwili sawa na kwamba anapofanya zaidi ya inavyoelekezwa hujiweka katika hatari.

“Kufanya tendo la ndoa kila siku kunahatarisha afya ya mwili, hivyo ni vyema wanandoa kufanya kitendo hicho kwa kufuata utaalamu kutoka kwa wataalam wa afya na isiwe mnafanya jambo hilo kwa kukomoana,” ametahadharisha Dkt. Omar.

Ndio maana yule askari Zanzibar kafa mapema..!!
 
Back
Top Bottom