Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Hawa wanasayansi nawao miyeyusho sana,kila mtu anakuja na theory yake...... wengine mtu anayefanya sana ndiyo anakuwa na afya 😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi yoyote ukifanya bila kupumzika mwili lazm uishe wasisingizie s3x pekeeHapana mzee sio mindset, piga sana machine hata afya inadhoofu.. watu wanakondaga hadi upepo unawakusuma inabidi wasake balance ila walipo acha tu, hata afya ya mwili ikaanza rejea, hilo sio swala la mindset ni harisi.. ukizidisha kupita kiasi afya inadhoofu.. ndio maana nimekupa mfano piga hame kacheze mpira au kapande mlima
Nahisi kuna kitu bado najifunza, kipindi cha nyuma nilikuwa na majukumu mengi sana na ndio kipindi nilikuwa moto kweli kweli.. huenda labda nimechoka, kuna jamaa yangu Extrovert hadi anashangaa navyokimbia mizigo ila sio zamani , nahisi nime expire😅😅😅Majukum yamekuwa mengi unawazae maendeleo
Niliona umepigwa ban ilikuwa
Hahahahahah kila kitu kinaenda kinakinaishaNahisi kuna kitu bado najifunza, kipindi cha nyuma nilikuwa na majukumu mengi sana na ndio kipindi nilikuwa moto kweli kweli.. huenda labda nimechoka, kuna jamaa yangu Extrovert hadi anashangaa navyokimbia mizigo ila sio zamani , nahisi nime expire😅😅😅
kuna sehemu nilitukana
Unakula kimoja cha moto hasa halafu unakirudia hapohapo [emoji23]Inaitaji maelezo zaidi...
Unaju Bru, mapenzi ( sex ) ipo ndani ya mwili, ile ni kama kiu.. inategema kiu yako inaishaje. Na ukiona daily umo ujue hakuna balance na mtu uanae chapana nae.. ila kazi ya sex inachosha wee chapa uzeeni utakuja anzisha hapa thread mie nimekaa hapo 😅😅😅Kazi yoyote ukifanya bila kupumzika mwili lazm uishe wasisingizie s3x pekee
Kila kitu kina expire date mzee 😅😅😅Hahahahahah kila kitu kinaenda kinakinaisha
😂😂Aah mzab weee!!Kama kuna siku umemwaga madini leo umemwaga diamonds. Njoo nikuoe offer ya kinywaji utakacho
We sio wa kumpotezea mtoto CarleenKila kitu kina expire date mzee 😅😅😅
😅 mambo ya kufanya mengi sana, hata mala tatu kwa mwezi inatoshaHata mwanzo wa ndoa, hasa kabla ya kupata watoto mambo lazima yawe bambam, wakija ma-jr kazi inapungua exponentially 🤣🤣
Unajua mpaka sasaivi sijaona maoni yako juu ya huo utafiti[emoji23][emoji23][emoji23], umeukubali au umekataa?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unaona kabisa hutoboi
😅😅😅 aisee nilimzingua, akataka aje huku, nikahamisha pasi nikaumbia naenda b.k siku nikirudi, Itamuambia aje sasaWe sio wa kumpotezea mtoto Carleen
Mwambie aje kweli😅😅😅 aisee nilimzingua, akataka aje huku, nikahamisha pasi nikaumbia naenda b.k siku nikirudi, Itamuambia aje sasa
Pisikali uko wapi nikuzagamuleHebu sema kweli.
Wewe utasimamisha mnara lakini mwenzako hata kulowa hatalowa nakwambia. Utaingiza ujipigie kama unabaka tu.Kha yaani usimguse mkeo mwezi mweee sasa umeoa ya nini?
Ata tuwe na ugomvi kugegedana ni lazima alafu haya matanda ya six by six ndio yanaleta haya mambo.
Kitanda cha 4 by 6 lazima mgusane na mkigusana tuu tayari...unless mke hana tako[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unajua mpaka sasaivi sijaona maoni yako juu ya huo utafiti[emoji23][emoji23][emoji23], umeukubali au umekataa?
😅😅😅 nina hubiri huku mie mzee.. hata wana hapa wanashangaa wanaiona mie mshamba, cha ajabu machine zinakuja kasi sijui shetwani anazituma.. ila zinatoa boko, kwenye miti hakuna wajenzi ndio naiona hii kauli kweli.. Carleen pambaniene alafu kazidi kupendeza anashinda tu ndani na hivi kama kashombe ka mchongo 🤣🤣H
Mwambie aje kweli