Hannah
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 9,679
- 39,087
Hongera kipenzi.Mwezi hamjagusana nina ndoa Ina miaka ya kutosha lakini haijawahi tokea hata wiki ikaisha hata tukosane namna gani lazima tupeane tu.
Mungu akusimamie hivyo hivyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera kipenzi.Mwezi hamjagusana nina ndoa Ina miaka ya kutosha lakini haijawahi tokea hata wiki ikaisha hata tukosane namna gani lazima tupeane tu.
Nahisi kuna kitu bado najifunza, kipindi cha nyuma nilikuwa na majukumu mengi sana na ndio kipindi nilikuwa moto kweli kweli.. huenda labda nimechoka, kuna jamaa yangu Extrovert hadi anashangaa navyokimbia mizigo ila sio zamani , nahisi nime expire😅😅😅
kuna sehemu nilitukana
Ndio moto napeleka mala tatu kwa mwezi au mbili zatosha kiu yote kutoa sio yeye au mimi, na hivi wengine hatujui kukaa makwetu kutwa , unakaa nje ya kwako miezi mitatu ukirudi unakaa wiki unasepa.. ila haya mambo ukipata mtu mnaendana kimwili kiu inakata kabisa hata mkichapana mala moja au mbili.. ila kama hamja balance lazima mkiwashe sana.. mfano, ukipewa lita moja huku unahitaji lita tatu lazima urudie rudie mala kadhaa ili kiu ikate, ila kama ukapewa lita tatu kwa pamoja unatulia fresh😂😂😂😂😂😂 bora unajiepusha na mengi ila ndani peleka motooo
Hongera[emoji23][emoji23][emoji23], ila pia alichoongea ni jambo la kweli sema ameongea kwakutisha watu na bila kutoa elimu ya undani kwanini hasa hicho kitu hutokea. Mtanzania ukimtisha au kuweka vitu superficial ndio hajali kabisa hilo jambo lako[emoji23][emoji23][emoji23], mimi nishuhuda.Nimekubali[emoji3]
Ndio moto napeleka mala tatu kwa mwezi au mbili zatosha kiu yote kutoa sio yeye au mimi, na hivi wengine hatujui kukaa makwetu kutwa , unakaa nje ya kwako miezi mitatu ukirudi unakaa wiki unasepa.. ila haya mambo ukipata mtu mnaendana kimwili kiu inakata kabisa hata mkichapana mala moja au mbili.. ila kama hamja balance lazima mkiwashe sana.. mfano, ukipewa lita moja huku unahitaji lita tatu lazima urudie rudie mala kadhaa ili kiu ikate, ila kama ukapewa lita tatu kwa pamoja unatulia fresh
Hahahahah hio kitu sio ya kuikosa😅😅😅 nina hubiri huku mie mzee.. hata wana hapa wanashangaa wanaiona mie mshamba, cha ajabu machine zinakuja kasi sijui shetwani anazituma.. ila zinatoa boko, kwenye miti hakuna wajenzi ndio naiona hii kauli kweli.. Carleen pambaniene alafu kazidi kupendeza anashinda tu ndani na hivi kama kashombe ka mchongo 🤣🤣
Makwazo yakianza nipo tayari kusaidia majukumu ya huyo uliekwazana nae 😀 weka hilo akilini.Kama bado mnapendana vizuri, sawa.
Ila makwazo yakianza hahahahahahaha mtalala hata mwezi hamjagusana nakwambia.
Mie tena sina hiyana. Mtu akinikwaza tu hata uchi hapati tena hata kunigusa tu asijaribu.Makwazo yakianza nipo tayari kusaidia majukumu ya huyo uliekwazana nae [emoji3] weka hilo akilini.
Hahahahahah asijaribujeMie tena sina hiyana. Mtu akinikwaza tu hata uchi hapati tena hata kunigusa tu asijaribu.
Kweli kabisa utueleweshe Sasa mdogowangu Ili niongee kabisa na shemeji Yako mapema 😂😂Hongera[emoji23][emoji23][emoji23], ila pia alichoongea ni jambo la kweli sema ameongea kwakutisha watu na bila kutoa elimu ya undani kwanini hasa hicho kitu hutokea. Mtanzania ukimtisha au kuweka vitu superficial ndio hajali kabisa hilo jambo lako[emoji23][emoji23][emoji23], mimi nishuhuda.
We kiumbe cha Mungu, muumba wa vitu vyote unasema 😒😒Ama kweli mwanaume mpumbavu hujisababishia kifo chake mwenyewe.
Mtakufwa sana umbwa nyie🤣🤣🤣We kiumbe cha Mungu, muumba wa vitu vyote unasema 😒😒
Msitupe sasa 🤣🤣🤣Mtakufwa sana umbwa nyie🤣🤣🤣
Sijawahi ona mtu akielewa mtandaoni, yaani hata kwa dawa😂😂😂. Ukitaka kuelewa nenda kwa daktari akuelezee😂😂. Hata hivyo enjoy life, maisha yenyewe mafupi, yaani ujue something must kill a man😂😂😂 kama sio moyo basi hata kitu chenye ncha kali.Kweli kabisa utueleweshe Sasa mdogowangu Ili niongee kabisa na shemeji Yako mapema 😂😂
Hata jogoo hawezi kuvumiliaKwa mwezi kiafya zaidi mala moja kwa mwaka iwe mala 12 zinawatosha..
Kweli.Kila siku hata kamoja inatosha tu ila kawe karefuuu kwenye kamoja iwe viwili
Umeonaa eeKweli.
Kwa nini jamani usiloweWewe utasimamisha mnara lakini mwenzako hata kulowa hatalowa nakwambia. Utaingiza ujipigie kama unabaka tu.