Daktari: Mtu mmoja anatakiwa kufanya ngono mara tatu kwa wiki - Swahili Times

Daktari: Mtu mmoja anatakiwa kufanya ngono mara tatu kwa wiki - Swahili Times

Kumbe Ndiyo maana wajane ni wengi kuliko wagane ?!

Aisee inabidi wanaume wakibongo wabadilishe mindsets zao za kuendekeza ngonolization.
Me tunapoteza sana kinga za mwili tunapofika kileleni, ndiyomaana life span yetu imekuwa fupi sana kuanzia rika la 45 yrs hadi 70 maana Ke huwa haendekezi sana ngono labda awe na hulka ya kimalaya au pepo mahaba.

Pia Ke wana proteins za kutosha sana miilini mwao kwenye maziwa, hipsi na makalio ilihali sisi Me tuna proteins kwenye makalio tu.

Ndiyomaana kiuhalisia tu hata kukaa zaidi ya siku 7 bila kula Me tunakuwa tumeshakufa lakini Ke anatusua kirahisi sana hadi siku ya 8 ndipo anakufa.
 
Mie tena sina hiyana. Mtu akinikwaza tu hata uchi hapati tena hata kunigusa tu asijaribu.
Kile kitanda cha kamba kilikuwa kinakutibu kirahisi sana tu, mnalala uchi hasa hapo Dar, ile mkigusana tu na Mwenye mali tayari hasi na chanya zimewasha moto, sasa hivi vitanda vya siku hizi vinawapa viburi sana [emoji847]
 
Si na hayo ni mazoezi jamani [emoji23]
Mazoezi yanayotoa virutubisho vyenye madini mengi sana ambapo kuyarudisha ni vigumu sana.

Chromosomes huumba kijusi kwa kutungisha ujauzito, utalinganishaje na mazoezi ambayo hutoa sumu mwilini na kukupatia pumzi ya kutosha kufanya majukumu mengine? [emoji23]
 
Huyo daktari kama hamkazi mke wake, tutamsaidia sisi kumkaza huyo mke wake.. halafu tutamuacha aendelee kuishi milele akiogopa kufa.
Tangu dunia iumbwe hajawahitokea Bingwa wa kumridhisha Ke na kupewa zawadi, endelea tu kukaza fuvu ukijitekenya na kucheka mwenyewe kama vile hauna akili [emoji16][emoji2960]
 
Mazoezi yanayotoa virutubisho vyenye madini mengi sana ambapo kuyarudisha ni vigumu sana.

Chromosomes huumba kijusi kwa kutungisha ujauzito, utalinganishaje na mazoezi ambayo hutoa sumu mwilini na kukupatia pumzi ya kutosha kufanya majukumu mengine? [emoji23]

Sasa sie tufanyeje 😂🙆🏼‍♂️
 
Nani kazungumzia habari za kuridhisha mwanamke. Mi nazungumzia kukaza, na wewe kama unaogopa kufa mapema mlete mkeo nimkaze.
Nani kazungumzia habari za kuridhisha mwanamke. Mi nazungumzia kukaza, na wewe kama unaogopa kufa mapema mlete mkeo nimkaze.
 
Back
Top Bottom