Daktari: Mtu mmoja anatakiwa kufanya ngono mara tatu kwa wiki - Swahili Times


😂😂😂😂😂😂 bora unajiepusha na mengi ila ndani peleka motooo
 
😂😂😂😂😂😂 bora unajiepusha na mengi ila ndani peleka motooo
Ndio moto napeleka mala tatu kwa mwezi au mbili zatosha kiu yote kutoa sio yeye au mimi, na hivi wengine hatujui kukaa makwetu kutwa , unakaa nje ya kwako miezi mitatu ukirudi unakaa wiki unasepa.. ila haya mambo ukipata mtu mnaendana kimwili kiu inakata kabisa hata mkichapana mala moja au mbili.. ila kama hamja balance lazima mkiwashe sana.. mfano, ukipewa lita moja huku unahitaji lita tatu lazima urudie rudie mala kadhaa ili kiu ikate, ila kama ukapewa lita tatu kwa pamoja unatulia fresh
 
Nimekubali[emoji3]
Hongera[emoji23][emoji23][emoji23], ila pia alichoongea ni jambo la kweli sema ameongea kwakutisha watu na bila kutoa elimu ya undani kwanini hasa hicho kitu hutokea. Mtanzania ukimtisha au kuweka vitu superficial ndio hajali kabisa hilo jambo lako[emoji23][emoji23][emoji23], mimi nishuhuda.
 

Kwa makubaliano yenu sawa
 
😀 😀 😀 Hahahahah hio kitu sio ya kuikosa
 
Kweli kabisa utueleweshe Sasa mdogowangu Ili niongee kabisa na shemeji Yako mapema 😂😂
 
Kweli kabisa utueleweshe Sasa mdogowangu Ili niongee kabisa na shemeji Yako mapema 😂😂
Sijawahi ona mtu akielewa mtandaoni, yaani hata kwa dawa😂😂😂. Ukitaka kuelewa nenda kwa daktari akuelezee😂😂. Hata hivyo enjoy life, maisha yenyewe mafupi, yaani ujue something must kill a man😂😂😂 kama sio moyo basi hata kitu chenye ncha kali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…