Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Mnatakiwa kutupunguzia dozi maana hamuoni jinsi Mama zetu wanavyozidi kubakia wajane?
Mnavyozidi kukua nguvu zinaisha tunatakiwa faidi sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnatakiwa kutupunguzia dozi maana hamuoni jinsi Mama zetu wanavyozidi kubakia wajane?
Wewe jumamosiNdo hiyo weekend moja yangu usiisahau, huyu daktari na utafiti wake wa mchongo atuache kidogo
Show za ndani kwa wiki napiga 4,mpango wa kando napiga napo 4 yani safi kabisaWanaume wanaopenda kufanya ngono mara kwa mara wanadaiwa kuwa kwenye hatari ya kufariki mapema tofauti na wanaume ambao hawafanyi kitendo hicho mara kwa mara.
Hayo yamesemwa na daktari bingwa wa afya ya uzazi kutoka Hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar, Dkt. Ummukulthum Omar wakati akitoa mafunzo ya afya ya uzazi kwa wanachama wa Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA) katika mkutano mkuu wa chama hicho uliofanyika eneo la Tunguu, Zanzibar.
Dkt. Omar amebainisha kuwa wanaume wanaopenda kufanya ngono hufariki dunia mapema kwa sababu hutumia nguvu nyingi wanapofanya tendo la hilo, hali inayowasababisha kuishiwa nguvu kwenye miili yao.
Aidha, amesema kitaalamu mtu mmoja anatakiwa kufanya tendo la ndoa mara tatu ndani ya wiki moja ili kuuweka mwili sawa na kwamba anapofanya zaidi ya inavyoelekezwa hujiweka katika hatari.
“Kufanya tendo la ndoa kila siku kunahatarisha afya ya mwili, hivyo ni vyema wanandoa kufanya kitendo hicho kwa kufuata utaalamu kutoka kwa wataalam wa afya na isiwe mnafanya jambo hilo kwa kukomoana,” ametahadharisha Dkt. Omar.
Huyu amekariri. Na wengine walivyo wanafiki unaweza ukakuta mumewe anataka na kufanya kila siku. Kufanya mapenzi ni mazoezi kama mazoezi mengine. Kungekuwa na chembe ya ukweli wengine tungeshakufa hata kabla ya kufikia zaidi ya nusu ya umri wa kawaida wa binadamu.Wanaume wanaopenda kufanya ngono mara kwa mara wanadaiwa kuwa kwenye hatari ya kufariki mapema tofauti na wanaume ambao hawafanyi kitendo hicho mara kwa mara.
Hayo yamesemwa na daktari bingwa wa afya ya uzazi kutoka Hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar, Dkt. Ummukulthum Omar wakati akitoa mafunzo ya afya ya uzazi kwa wanachama wa Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA) katika mkutano mkuu wa chama hicho uliofanyika eneo la Tunguu, Zanzibar.
Dkt. Omar amebainisha kuwa wanaume wanaopenda kufanya ngono hufariki dunia mapema kwa sababu hutumia nguvu nyingi wanapofanya tendo la hilo, hali inayowasababisha kuishiwa nguvu kwenye miili yao.
Aidha, amesema kitaalamu mtu mmoja anatakiwa kufanya tendo la ndoa mara tatu ndani ya wiki moja ili kuuweka mwili sawa na kwamba anapofanya zaidi ya inavyoelekezwa hujiweka katika hatari.
“Kufanya tendo la ndoa kila siku kunahatarisha afya ya mwili, hivyo ni vyema wanandoa kufanya kitendo hicho kwa kufuata utaalamu kutoka kwa wataalam wa afya na isiwe mnafanya jambo hilo kwa kukomoana,” ametahadharisha Dkt. Omar.
Huyu naona kakariri tu bila kutumia zake. Kwa wengi walivyo wanafiki utakuta–––kama ameolewa–––mume wake anachimba kila siku. Kungekuwa na chembe ya ukweli wazee kama sisi tungeishasahaulika. How much sex should couples have? Here's what experts say.Wanaume wanaopenda kufanya ngono mara kwa mara wanadaiwa kuwa kwenye hatari ya kufariki mapema tofauti na wanaume ambao hawafanyi kitendo hicho mara kwa mara.
Hayo yamesemwa na daktari bingwa wa afya ya uzazi kutoka Hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar, Dkt. Ummukulthum Omar wakati akitoa mafunzo ya afya ya uzazi kwa wanachama wa Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA) katika mkutano mkuu wa chama hicho uliofanyika eneo la Tunguu, Zanzibar.
Dkt. Omar amebainisha kuwa wanaume wanaopenda kufanya ngono hufariki dunia mapema kwa sababu hutumia nguvu nyingi wanapofanya tendo la hilo, hali inayowasababisha kuishiwa nguvu kwenye miili yao.
Aidha, amesema kitaalamu mtu mmoja anatakiwa kufanya tendo la ndoa mara tatu ndani ya wiki moja ili kuuweka mwili sawa na kwamba anapofanya zaidi ya inavyoelekezwa hujiweka katika hatari.
“Kufanya tendo la ndoa kila siku kunahatarisha afya ya mwili, hivyo ni vyema wanandoa kufanya kitendo hicho kwa kufuata utaalamu kutoka kwa wataalam wa afya na isiwe mnafanya jambo hilo kwa kukomoana,” ametahadharisha Dkt. Omar.
Natamani ningekuwepp ukanipa nafasi ya kupiga chabo🙈Wewe jumamosi
Ha haha, chabo tena unirecord...wee!Natamani ningekuwepp ukanipa nafasi ya kupiga chabo🙈
Hamna sikurikodi napenda kujifunza vitu vipya tuHa haha, chabo tena unirecord...wee!
Tucheze mechi ya kirafiki neiba.
Ujifunze kwa vitendo, ndio itapendeza zaidi.Hamna sikurikodi napenda kujifunza vitu vipya tu
😂😂😂,Ujifunze kwa vitendo, ndio itapendeza zaidi.
Tufundishane jamani...mbona hivyo unataka kuchungulia tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo daktari kama hamkazi mke wake, tutamsaidia sisi kumkaza huyo mke wake.. halafu tutamuacha aendelee kuishi milele akiogopa kufa.
teh teh teh!! Amazing.Ndo hiyo weekend moja yangu usiisahau, huyu daktari na utafiti wake wa mchongo atuache kidogo
Vipi kipindi cha period au kujifungua?Mwezi hamjagusana nina ndoa Ina miaka ya kutosha lakini haijawahi tokea hata wiki ikaisha hata tukosane namna gani lazima tupeane tu.
Hata Bongo km unajua namna ya kutunza afya yako unadumu milelee. Tatizo hapa kwetu GAYS wengi hawana elimu ya ujinsia, na walishajikatia tamaa, wanaishi ili mradi jua limewaka. Lol.
Afyaa ni muhimu kuliko chochoteee.
Gays hujui n nini??Hapo kwenye GAYS unamaanisha nini?
😂😂Acha upaparaziteh teh teh!! Amazing.
I mean the way you talk to this boy.
He's serious- you know?
Siyo mimi, ni majibu ya scanner.[emoji23][emoji23]Acha upaparazi